Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

ULISHAWAHI KUONA WAZUNGU WAKIWA WAMEBEBANA MISHIKAKI WAKIKATIZA DAR? BASI CHEKI PICHA ZAO HAPA

$
0
0
Sheria za Usalama barabarani zimekuwa zikivunjwa kila siku hasa na madereva na abiria wa pikipiki au maarufu Bodaboda jijini Dar es Salaam na hata mikoani. pichani ni raia wa kigeni wakiwa wamepakiwa kwa staili ya mshikaki katika bodaboda huku wakiwa hawana kofia ngumu za kuwakinga na ajali. Hii ilikuwa Posta mtaa wa Ohio. 
CREDIT : FATHER KIDEVU

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

Trending Articles