Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

DUH!! MTOTO WA WHITNEY HOUSTON AOLEWA NA KAKA YAKE

$
0
0

Mtoto wa aliyekuwa muimbaji wa muziki nchini Marekani Marehemu Whitney Houston, 'Bobbi Kristina'  hivi karibuni atangaza kuolewa rasmi na mwanaume anayejulikana kwa jina la Nick Gordon ambaye hapo awali ilidaiwa kuwa ni kaka yake.

Mtoto huyo alitangaza ndoa hiyo kupitia ukurasa wake wa Twitter ambapo inadaiwa ameamua kuolewa na mpenzi wake huyo wa muda mrefu, ambaye alishawahi kuwa kaka yake 'Adopted Brother' huku ikidaiwa kuwa alishawahi kulelewa na familia ya Whitney kama mtoto wao.

Source:-Pro-24.blogspot.com

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

Trending Articles