Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

FAHAMU HAPA MAANA HALISI YA WIMBO MPYA WA OMMY DIMPOZ, AMBAO UNATARAJIA KUTOKA HIVI KARIBUNI

$
0
0

Utafahamu kuwa miezi miwili nyuma kuna wimbo ulivuja kutoka kwenye maktaba ya Ommy Dimpoz na baada ya saa chache alitoa ombi kwa vyombo vya habari kutocheza wimbo huu kwani haukuwa kwenye mpango wa kutoka muda ule.

Msanii Ommy Dimpoz  amesema ni miezi nane sasa hajatoa wimbo toka Tupogo itoke na ni muda mrefu kukaa kimya, kabla ya mwisho wa mwezi wa Nne anampango wa kutoa wimbo mpya utaoitwa “Ndagushima”.
“Ndagushima” ni neno la lugha ya Kiha inayotumiwa zaidi Kigoma na Linex ndiye amemsaidia kupata wazo hilo. “Ndagushima” maana yake ni “Nakupenda Sana” au ” I m in love With You”. Ni Neno linalotumika kama unataka kuonyesha mapenzi mazuto na yaukweli zaidi.
Dimpoz amethibitisha Kuwa wimbo unatoka ndani ya mwezi wa nne na video alifanya Uingereza nayo inatoka.
Kuhusu kuchelewa kwa video ya Tupogo, Dimpoz amesema anapishana na muda wa kazi na J Martins ndio maana mpaka leo hawaja shoot video ya hit song Tupogo.
Source: Michapoblog

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

Trending Articles