Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

WABUNGE WA YANGA WAIFUNGA TIMU YA WABUNGE WA SIMBA KWA PENATI 4-3, TAZAMA PICHA ZA KILICHOJIRI JANA

$
0
0
Mgeni wa rasmi wa tamasha la matumaini Raisi Jakaya Kikwete akiongozana na marefa kuingia uwanjani tayari kukagua timu za wabunge wa Simba na Yanga

Wimbo wa taifa

JK akisalimiana na timu ya wabunge wa Simba

Mgeni rasmi akisalimiana na upande wa wabunge wa Yanga 
Wabunge wa timu ya Yanga wwakishangilia baada ya kukabidhiwa kombe kwa kuifunga timu ya wabunge wa Simba kwa penati 4-3.

Wabunge wa Yanga wakishangilia ushindi wao.
Yanga wakipokea kombe lao kutoka kwa Shigongo na Waziri Fenella Mukangara.
Eric Shigongo akiwa na kombe kabla ya kuwakabidhi Yanga.
Waziri Fenella Mukangara akimvisha medali refa wa mchezo.

Rais Kikwete akisaini mpira utakaotumika.
...Akiwakagua Yanga.
..Akiwakagua Simba.
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na Eric Shigongo, Waziri Fenella Mukangara, marefarii na manahodha wa Simba na Yanga.
Vikosi vya Simba na Yanga.
JK akipuliza kipenga.




Wabunge wa Yanga wakishangilia.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

Trending Articles