Producer Sheddy Clever ambae ni
Mwandaaji wa Wimbo wa Diamond Number 1 uliochukua Tuzo Nyingi katika
Tuzo za Kilimanjaro Awards zilizofanyika Juzi, Ameonyeshwa kukerwa Kwa
Kukosa Tuzo ya Producer Bora Wakati Wimbo huo Umechukua Tuzo Nyingi
ikiwemo ya Wimbo Bora , Amekaririwa akisema "Sasa ndugu zangu inakuwaje nisipewe tuzo ya Muandaaji bora wa Music wakati Number one imekuwa mwimbo bora wa Mwaka..na imemfanya Diamond Apate Tuzo Tano?
↧