Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

HII NDO DAR YANI UCHAWI NJE NJE, CHEKI JAMAA HUYU ALIVYOFANYWA

$
0
0



Mwathirika akisugua miguu chini kama vile anawashwa na vitu mwilini.

MTU mmoja ambaye anasadikiwa kula chakula na baadaye kuanza kuchanganyikiwa alinaswa na kamera yetu leo akisugua miguu ardhini na kujikuna mwili mzima, jambo ambalo lilidaiwa na wapita njia kuwa alikuwa amekula chakula kilichokuwa maalumu kwa ajili ya kafara.
Haikujulikana chakula hicho amekila wapi na ni chakula gani. Jina lake pia halikuweza kupatikana mpaka kamera yetu inaondoka sehemu hiyo.

Tukio zima limetokea eneo la Sinza-Legho Mtaa wa Shekilango, jijini Dar es Salaam, kwenye kampuni ya magari makubwa ya usafirishaji.

(Picha na Gabriel Ng’osha/GPL)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

Trending Articles