
Chris Brown ametoka jela na kuungana na watu wake wa karibu wakiwemo mama yake na girlfriend wake. Hizi ni picha za kwanza kabisa kumuonyesha Chris Brown tangu atoke jela.
Ukiangalia kwa makini picha hizi utagundua kwamba Chris Brown amenenepa tofauti na vile alivyokuwa aningia gerezani. Party hiyo ilijumuisha sherehe ya birthday yake iliyopita. Watu waliokuwepo kwenye hiyo party ni T Pain,Tyga,Big Seam na marafiki wa karibu pamoja na familia.
UNAWEZA SOMA : HIZI NDIO MBINU ZA KUMUWEZA, MWANAMKE ALIYE MGUMU KUTONGOZEKA



UNAWEZA SOMA :YAJUE HAYA MAMBO NANE (8) YA KUFANYA BAADA YA TENDO LA NDOA.





UNAWEZA SOMA : MAMBO 11 AMBAYO MWANAUME ANATAKIWA KUYAFANYA ILI KUMRIDHISHA MWANAMKE NA KUJIHAKIKISHIA KUMMILIKI KABISA !!!




UNAWEZA SOMA : HIVI NDIVYO KUFIKA KILELE KWA MWANAMKE KUNAVYOKUWA. SOMA HAPA
