![]() |
Marry mtoto wa Kinyakyusa, mwanamke aliyemfukuza kwake |
Mama wa Kinyakyusa anadai alikua anamnyima unyumba Bwana ake wa zamani (DuduBaya) kwa sababu eti Dudu akishalewa pombe anakua mtata matusi kwa wingi na eti DuduBaya anauwezo wa kuishi Bar siku tatu mfululizo huku akitandika kilauri, na akaanza tabia ya kumwingilia kinguvu mara kwa mara dada huyu, alipoona mateso yanazidi akamfukuza Dudu hapo nyumbani kwani hata kodi ya pango eti anailipa yeye Mwanamke, Marry alichukua vitu vyote alivyowahi kumnunulia Dudubaya ikiwemo jeans, fulana na zagazaga nyingine, baada ya tukio hilo Dudu akawa anamfanyia vurugu nyumbani kwake hadi Marry akaamua kwenda polisi kumshtaki.
![]() |
Hizi ni Nguo za DuduBaya alizonyang'anywa na Maryy. |
DUDUBAYA:
Nilipomuuliza kama kuna ukweli juu ya tuhuma hizi, DuduBaya alikanusha kwa kuruka futi 800 akadai kuwa yeye ndio amemuacha mwanamke na akamwachia nyumba na furniture zote licha yeye kushiriki kwenye manunuzi ya mali hizo.
Hii si mara ya kwanza kwa msanii huyu kukutwa na Scandal kubwa kubwa, kwani inasemekana anatafutwa na Polisi mwanza kwa tuhuma za kumkata sikio mama yake mkubwa.