Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

CHEKI UONE JINSI HUYU JAMAA ALIVYOMFUNGUKIA ALIKIBA NA KUMCHANA LIVE, SOMA HAPA

$
0
0
Ukweli unauma...nasema hivi Talent pekeee haitoshi bila kujipanga...nikiwa kama shabiki wa Ali kiba,huu wimbo wa mwana kachemka..watanzania tuwe wakweli na sio watu wakurupuka tu..Kiba ana vocal za hatari hili halina ubishi ila nyimbo hamna kitu..chorus haina mvuto maneno hajajipanga..in short kapanic..na kama ndo alijichimbia na kutoa nyimbo basi alichemka Game imechange na ndo maana ata ukisikiliza nyimbo ya Fally ipupa kabadilisha style mpaka beat..My opinion ni kwamba Kiba huyu sio sawa na Kimasomaso..Kapanick yani kama huyu ndo competitor wa Dogo Dangoti alipo anacheka tu..kweli Kiba u lacking some Good PR,Management ambayo inajielewa ikupe ushauri,inauma kwasababu sauti yako ni untouchable ila wrong management..ni hayo tu..Naandika hivi ili watu wake wampelekee msg its such a waste of Talent.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

Trending Articles