Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Viewing all 3623 articles
Browse latest View live

UFUSKA MWEZI MTUKUFU: WAREMBO WACHEZEA KICHAPO KIKALI TOKA KWA MAUSTAADHI...WALIKUA WANAJIUZA ETI WANATAFUTA PESA YA SIKUKUU..!

$
0
0

Maustadh wakimuadhibu mmoja wa machangudoa hao.

MAUSTADH jijini Dar es Salaam wamefikia uamuzi mzito wa kutembeza bakora kwenye vijiwe korofi vya warembo wanaojishughulisha na biashara haramu ya kuuza miili almaarufu kama machangudoa au machangu kwa kile kilichodaiwa kuwa wanasafisha jiji kutokana na kero za vishawishi vya kuharibiwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Kwa mujibu wa sosi aliyewasiliana na Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, maustadh hao walianza oparesheni yao waliyoibatiza jina la ‘Safisha Jiji’ maeneo ya Sinza kwenye mitaa ya Shule ya Msingi ya Mapambano na jirani na msikiti uliopo maeneo ya Afrika Sana. Wakati maustadh hao wakiwafungia kazi na kutembeza bakora, OFM ilifika maeneo hayo na kufanikiwa kunasa tukio zima ambapo iliwashuhudia warembo hao waliokuwa wakijiuza kwa madai ya kusaka fedha za sikukuu, wakipewa kibano cha kutosha.
SOMA NA HII=>HAYA NDIO MAISHA YA CHUO, KAMA HUJAPITIA UJUE UMEPITWA KIDOGO NI VICHUPI NJE NJE, TAZAMA HAPA
Mmoja wa machangudoa hao akidhibitiwa.

SOMA NA HII==>PICHA ZA VITUKO: DAAH HII NI KALI,TAZAMA PICHA HIZI SABA ZA MASANAMU NA HAWA WATU...AMAKWELI DUNIA HAIISHI VITUKAO....!!!!

Wakizungumza na OFM baada ya sakata hilo, maustadh hao walisema wamechoshwa na uchafu unaofanyika kwenye makazi yao huku wakifunguka kuwa mara kadhaa wanaporudi nyumbani wakitokea msikitini, machangu hao huwang’ang’ania wakiwashawishi kufanya nao ngono bila kujua wapo katika mfungo. “Tumechoshwa na ufuska, mbaya zaidi hawa machangu wanafikia hatua ya kutung’ang’ania wakitulazimisha tuwanunue bila kujali kama tunatoka msikitini kuswali,” alisema mmoja wa maustadh hao na kuongeza kuwa wanauheshimu mwezi huu mtukufu ndiyo maana wameamua kutembeza bakora kwa machangu hao.

SOMA NA HII==>SIKILIZA KISANGA ALICHOKIACHA KITALE KWENYE NYUMBA WALIYOENDA KUIGIZIA FILAMU YAKE.
Warembo hao walishuhudiwa wakiwaomba msamaha maustadh hao na kudai kuwa wamekoma, hawatarudia tena kuwasumbua maustadh.“Jamani kaka zangu nawaomba msinichape sana nina ujauzito, naomba mnichape kwenye makalio nimekoma sitarudia tena,” alisema mmoja wa machangudoa aliyekuwa akitembezewa kichapo.

DA WEMA AIBUA MAPYAA!! AMLIPUA KAJALA, SOMA HAPA

$
0
0
Wema Isaac Sepetu (25), amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari ambayo ilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.

Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani likiwemo suala la kumsifia mtu ambaye alikuwa na ugomvi na Kajala (Dacutee).

FILAMU YA MAUTAMU IPO HAPA BOFYA==>HAPA

Akizungumza na mwanahabari wetu, Wema alisema alishangaa kuona Kajala anamwita mnafiki wakati hakuwahi kupatana naye tangu walipotofautiana kipindi cha nyuma kama alivyosema.

“Nashangaa Kajala ananiambia mimi ni mnafiki ‘ok fine’ na huo unafiki wangu unakuja pale nilipomu-wish Dacutee siku yake ya kuzaliwa, alitakaje eti? Yaani kwa kuwa yeye ana bifu la kumchukulia bwana’ke na mimi nijiingize kwenye bifu lao?

“Au tofauti zangu mimi na yeye, Aunty Ezekiel aingilie, itakuwa sahihi kweli kama wanavyofanya hao watu wake anaozurura nao siku hizi? Wanaingilia vitu ambavyo hawavijui kiundani wake? Nasema siyo sahihi kabisa mimi nitabaki kama Wema Sepetu na yeye atabaki kama Kajala Masanja na asifikirie kuwa nitakuja kuwa kama zamani na yeye halafu kama anamaindi kuhusiana na Dacutee mbona Petit Man ambaye ana uhusiano naye aliweka picha ya Dacutee na kumu-wish hajammaindi?” aliwaka Wema.

BOFYA HAPA KWA MAUTAMU YA JOKATE

Akiendelea kutema cheche, Wema alisema anachopaswa kuzungumza Kajala ni ukweli wa matatizo yao na siyo kusingizia watu wengine.“Mbona siku ile niliwahadithia kila kitu (waandishi) kuhusiana na tatizo letu, si nimetoa kinyongo changu ambacho nilikuwa nacho siku nyingi hivi sasa najiona mwepesi na kama na yeye anataka kusafisha moyo wake anatakiwa afunguke, kuanzia leo nataka niseme sitaki kusikia na kuulizwa suala la mimi na Kajala kwani nimechoka na nina mambo mengi ya kufanya,” alisema Wema.



Akizungumzia ishu ya kukutana na Kajala na kupiga picha za pamoja wakiserebuka hivi karibuni, Wema alisema alifanya vile kuonesha kwamba hana kinyongo na ndiyo maana alivyoombwa apige picha na Kajala, hakusita kufanya hivyo. “Mimi ni mtoto wa Kiislamu na nina imani na upendo kwa kila mtu, siwezi nikamkatisha mtu furaha yake na ndivyo ilivyotokea, niliombwa nipige picha ya pamoja na Kajala siku ile ya shughuli na nilifanya hivyo baada ya pale nikaenda zangu kulala,” alimalizia kusema Wema.

Bifu la mastaa hao wakali wa Bongo Movies liliibuka baada ya Wema kumtuhumu Kajala kuwa ametembea na aliyekuwa bwana’ke, kigogo aliyetajwa kwa jina la CK.

BOFYA >>HAPA KUONA MATUTAMU YA LULU (+21) TU



Chanzo: Gpl

NOMA SANA!! SHOGA WA KIUME ANAYEIMBA NYIMBO ZA INJILI AJITANGAZA KUTAFUTA MWANAUME WA KUMUOA, TAZAMA HAPA

MAJANGA: ANGALIA VIDEO WEZI WALA KICHAPO PUGU VIDEO INASIKITISHA NA INATISHA

TUDD THOMAS ATAJA KIASI ALICHOLIPWA NA DIAMOND NA OMMY DIMPOZ KUFANYA 'MDOGOMDOGO NA NDIGUSHIMA'

$
0
0
Mtayarishaji wa muziki Tanzania Tudd Thomas ndiye aliyetayarisha wimbo wa Diamond ‘MdogoMdogo’ ambao unafanya vizuri sana pamoja na wimbo wa Ommy Dimpoz ‘Ndagushima’ ambazo zote zimepata nafasi kubwa huku wasanii hao wakilipa mamilioni kufanya videos.
SOMA NA HII==>DUH DUNIA INATUPELEKA WAPI? JAMAA LIVE MCHANA HADHARANI ANAKULA MAMBO?!!!
Akiongea katika kipindi cha Sunrise cha 100.5 Times Fm na Fadhili Haule, Tudd amesema kuwa alilipwa kiasi cha shilingi milioni mbili kwa kila wimbo katika nyakati tofauti.
“Kikawaida huwa wanasema sio vizuri kwa kuwa ni biashara lakini mimi niko real, ni two million kwa kila wimbo.” Alisema.

Ameeleza kuwa gharama za nyimbo hizo zilitokana na ukubwa wa nyimbo zenyewe na muda alioutumia kukaa studio na wasanii hao.
Tudd amesema wimbo wa ‘MdogoMdogo’ ulitengenezwa kwa muda wa miezi mitatu kwa kuwa ulikuwa wimbo mgumu kwao wote kwa kuwa ilikuwa idea mpya kwa wote, wakati wimbo wa Ommy Dimpoz ulimchukua miezi miwili kuukamilisha.

SOMA NA HII=>MAJANGA: ANGALIA VIDEO WEZI WALA KICHAPO PUGU VIDEO INASIKITISHA NA INATISHA

KWA WADADA: SOMA HII INAWEZA KUWA BAHATI YAKO,MUME WA DIDA EDZEN ATAJA SIFA ZA MWANAMKE ANAYE TARAJIA KUMUOA

$
0
0

Stori: Deogratius Mongela

BAADA ya kuachana na mkewe ambaye ni mtangazaji wa kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kinachorushwa na Redio Times, Hadija Shaibu ‘Dida,’ mtangazaji wa kituo cha Televisheni cha TV1, Ezden Jumanne ametaja sifa za mwanamke atakayekuja kumuoa kama akitaka kufanya hivyo.

Akizungumza na mwandishi wetu nyumbani kwake, Kijitonyama jijini Dar, Ezden alisema kuwa kutokana na kupitia kipindi kigumu cha kuachana na aliyekuwa mkewe amedai kuwa hafikirii kuoa kwa sasa lakini kama akija kuoa tena atamhitaji mwanamke mcha-Mungu, mwenye heshima, asiyemlevi na atakayejitambua kama ni mke wa mtu.


“Sidhani kama nitaoa hivi karibuni, lakini kama nitaoa tena mwanamke ninayemtaka ningependa awe mwenye heshima, anayefuata dini, asiyependa ulevi na atakayejitambua kama mke wa mtu,” alisema Ezden.
Source=>GPL



DIAMOND KUNUNUA HUMMER YA GWAJIMA KWA MIL 400

DUNIANI KUNA MATUKIO YA AJABU SANA!! TAZAMA HAWA WAZUNGU WAKIFANYA MAPENZI HADHARANI MCHANA KWEUPEE!!

$
0
0


Chanzo kutoka katika mtandao wa  mirror.co.uk ilinasa picha za wapenzi hawa wakifanya mapenzi hadharani tena sehemu ya wazi kabisa kuko Rushia, Polisi ndio waliofanikiwa kunasa tukio hilo kwa kutumia Kamera zilizokuwa karibu na eneo hil. Baada ya polisi kunasa Tukio hilo tu waliirusha Video hiyo hewani na kwa sasa ndiyo video iliyoongoza kwa kutazamwa katika mitandao na vyombo vya habari huko Russia, vidio ikimuonyesha mwanamke huyu akiikalia naniliu kabisa juu ya mpenziwe.


MWANAMUZI BOB JUNIOR NAYE AFIKIRIA KUTEMBELEA NYOTA YA DIAMOND PLATNUMZ

$
0
0
Msanii wa muziki na producer, Bob Junior amesema kuna uwezekano mkubwa 
wa kufanya kolabo na msanii aliyemtoa, Diamond Platnumz.


SOMA NA HII =>MTOTO WA MCHUNGAJI APIGA PICHA ZA UTUPU NA KUZISAMBAZA MTANDAONI BOFY AHAPA


Akizungumza na Bongo5, Bob Junior aliyetayarisha nyimbo za Diamond zikiwemo ‘Kamwambie’ na ‘Mbagala’ amesema kwakuwa yeye ndiye aliyemtoa akiamua muda wowote wanaweza kufanya naye kazi.

“Kwa sababu nia bado ipo na sisi tupo hai hatuwezi kujua nini kitatokea, siwezi sema natamani ni kijana wangu ambaye nimemtoa mimi nikiamua siku nafanya naye nitafanya naye, haiwezi kuwa na ugumu,” amesema Bob Junior.

Source=>Udakuspeccially

HUDDAH SASA AMEZIDI>>>>JANA USIKU ATUPIA PICHA HIZI AKIWA MTUPU NAKUJIREKODI VIDEO AKIJICHEZEA SEHEMU ZAKE LOH!!! MTAZAME HAPA!!! (WATU WAZIMA TU)

KUTANA NA TATOO ZA KUSHANGAZA ZAIDI DUNIANI! BOFYA HAPA

NOMA KWELI, INAKUAJE DADA HUYU PICHA KAMA HII TENA OFISINI! TAZAMA HAPA

$
0
0


Hivi unakuwa na nia gani unakubali kupigwa picha kama hii kwa mkao huu tena ndani ya Ofisi. na Kuamua kuiweka Mtandaoni huku si kujidhalilisha na kuwafanya wale waliokupa mamlaka ya wadhifa ulionao ndani ya ofisi hiyo kuwafanya walikosea kwakuwa akilizako si timamu na hukupaswa kuwepo hapo
Jamani wanaweke/wakina dada kuweni na mawazo pindi mfanyapo vitu vyenu. Kiukweli kwa sasa Tumewachoka na hii hali.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA ==>HAPA

PICHA ZA MAUSTADH WALIPOAMUA KUSHUSHA KIPIGO CHA MBWA MWIZI KWA WADADA WANAOJIUZA..!! WATANDIKWA BAKOMA MPAKA WAVIMBA MAKALIO

WADAU WA UREMBO NA WALIMWENDE:HUYU NDIE ALIESHINDA MISS NIGERIA 2014..JANA USIKU>>>PICHA ZOTE HAPA

$
0
0
 Tukio shindano hili lilifanyika usiku wa Jana...na mshindi ni  Ihoema Nnand akitokea jimbo la Akwa Ibom.

BONYEZA BONYEZA KUONA PICHA ZA TUKIO ZIMA>>>> HAPA

TAZAMA VIDEO YA YULE MWANADADA NUSU UCH SUPER MARKET NA KUJIREKODI VIDEO KWA SIMU YAKE!!!

$
0
0
Digital Generation: Inakuwaje mdada kama huyu kufanya hivi In the name of FUNNY?!!


KAHABA WA TANZANIA ASIMULIA JINSI ALIVYOUSAMBAZA UKIMWI KWA MAELFU YA WANAUME .. soma hapa

$
0
0

MWANAMKE
mmoja wa Kitanzania aliyefanya ukabaha kwa miaka 18 katika miji 
mbalimbali ya Tanzania, likiwemo Jiji Kuu la kibiashara la Dar es Salaam
na mingine ya Namibia, ameibuka na kueleza jinsi alivyotenda dhambi ya 
kusambaza Ukimwi kwa wanaume wakware.
Licha
ya kukiri kufanya hivyo, akisema kwa siku alipanga hadi wanaume 
watano,tena bila ya kutumia kinga akisema alidhamiria kuusambaza ugonjwa
huo hatari alioambukizwa akiwa katika shughuli za ukahaba.
Alijigundua
ameathirika mwaka 2006. Hata hivyo, katika maelezo yake ameelezea 
kuijutia dhamira yake hiyo, akisema alisambaza kutokana na hasira 
aliyokuwa nayo dhidi ya mwanamume aliyemwambukiza.

“Nilimchukia
sana kila mwanamume, yeyote aliyejiita mwanamume…nilishindwa tu 
kuwawinda na kuwaua, lakini dhamira yangu ilikuwa kutumia silaha yoyote 
kuua wanaume kwa sababu mmoja wao aliniua… 

“Ndani

mwangu nilijisemea kamwe sitawaambia hali ya afya yangu, yeyote 
anayekuja kwangu nammaliza. Kwa namna walivyoniambukiza lazima 
niwaambukize’.  "Sijui nimewaambukiza wanaume wangapi, lakini ni maelfu,” alisema mwanamke huyo ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 32, alipotoa ushuhuda wake kanisani nchini Nigeria hivi karibuni.

WANAFUNZI WA CHUO KIKUU WAAMUA KUPIGA MAPICHA YA AJABU NA KUYASAMBAZA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII WAKIJIUZA..!! TAZAMA PICHA HAPA

$
0
0
Hii ni moja ya baadhi ya picha za ajabu zinazopigwa na wanafunzi wa chuo, siku hizi wamekuwa wakipiga picha za utupu na kuziweka mtandaoni bila kuona hata aibu,
picha hizi za ajabu za wanafunzi hawa ziliachiwa katika mtandao wa kijamii na wao wenyewe..!!

Bofya >>>>HAPA<<<<< kwa picha nyingi za hawa wanafunzi

DIAMOND AIMBWA TENA NA MDOGO WAKE KWENYE REMIX YA MDOGO MDOGO..!! FANYA KUISIKILIZA NA KUDOWNLOAD HAPA

$
0
0


Unamkumbuka husu S-Kide aliyewahi kuimba Diamond kabla hajatoka sasa amekuja na hii  ni noma kweli..!!

http://goo.gl/4bX2tt

MTOTO WA MWANAMZIKI JULIANA KANYOMOZI AFARIK DUNIA..!! SOMA HAPA KUMFAHAMU MTOTO HUYO NA KILICHOMFANYA AFARIKI DUNIA

$
0
0
This is HeartBreaking @julianakanyomozi Amefiwa na Mtoto wake mwenye Umri wa miaka11 kwa asthma Attack. Mwenyezi Mungu Amlaze Mtoto Keron Mahali Pema.

Bofya hapo katika soma zaidi ili uweze kuangalia picha za mtoto huyo wa juliana aliyefariki

http://goo.gl/TnhGdl

UKISTAAJABU YA MUSA.....YA HUYU DADA NI LAZIMA UZIMIE:ATEMBE UTUPU AKIWA AKIWA NA NGUO YAKUJICHORA..[PICHA&VIDEO]

$
0
0


Duh Hii Kali:Hiyo Ninguo Yakuchora,Hapo Yupo Mtupu Kabisa...Tazama Picha Hizi Na Video Yake Ndio Utaamini>>>>Fasheni Sasa Naona Inakaribia Kufika Mwisho!!!

PICHA>>>>>HAPA
VIDEO>>>>>HAPA
Viewing all 3623 articles
Browse latest View live