Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

BELLE 9 KUFANYA COLLABO NA MSANII KUTOKA KENYA "WYRE" ......SOMA ZAIDI HAPA!

$
0
0
Hitmaker wa Masogange, Belle 9 amesema baada ya kufunga mwaka na wimbo wa ‘Wanitaka’ kinachofuata ni kolabo na msanii wa Kenya Wyre ili kufungua mwaka 2014.
Belle 9 na Kevin Wyre.

Belle 9 na Kevin Wyre.
Belle,amesema muziki wa sasa unabadilika hali iliyomfanya afikirie kuongeza nguvu kwa kumshirikisha Wyre.
“Nimekuwa nafanya muziki wangu kiubunifu sana. Ukiangalia nyimbo zangu zote zipo tofauti tofauti sana,ukianzia na wimbo wa Masogange,Nilipe Nisepe na Listen, zina utofauti sana. Hali hii inatoka na kuangalia Watanzania wanataka nini ndio maana hata sasa hivi nimeamua kufanya wimbo na Wyre wa Kenya na producer atakuwa Sappy yule aliyofanya wimbo wa Prezzo ‘Celebration of Life’, Alisema Belle.
Sappy ni producer wa Tanzania anayefanya kazi kwenye studio za Homeboyz Production na ndiye aliyetengeneza hit ya Redsan, Badder Than Most.
-Bongo5

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

Trending Articles