Wabunge wa nchini Uganda leo wameupitisha muswada wa ‘anti-pornography’ utakaopiga marufuku uvaaji miniskirts na nguo zingine zinazotamanisha kimapenzi. Muswada huo unaopingwa vikali kama tishio kwa haki za wanawake, unaweza kufanya filamu nyingi na tamthilia kupigwa marufuku.
