Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

PESA BWANA NI NOMA, DIAMOND AMZUIA BAUNSA WA KITANZANIA KWENDA KWA AZONTO BADALA YAKE APEWA KAZI YA KUMLINDA YEYE NA WEMA, AKUNJA LAKI TANO KWA WIKI NA KWA SIKU ANAPEWA LAKI NA HAMSINI KWA AJILI YA MATUMIZI MADOGO MADOGO..!

$
0
0
 Baunsa maarufu kama Rosse akiwa na Azonto mwishoni mwa mwaka jana ambapo mwanamuziki huyo wa Raia wa Ghana alikuwa amempa shavu la kwenda kumlinda nchini Ungereza lakini Diamond amemzuia ili amlinde yeye na Mkewe Wema.


Hapa Baunsa huyo akiwa na Diamond baada ya kumzuia asiende nchini Ungereza kwa mshahara wa shilingi laki tano kwa wiki huku kwa siku pia akichukua posho ndefu. pamoja na kula vinono na mshua wake.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

Trending Articles