KUMBE MSANII AT HUTUMIA NDUMBA ILI MZIKI WAKE UHIT???? SOMA ALICHOKISEMA...
Leo asubuhi nilipoamka nilifungulia radio yangu nikakuta Dk Sharifaa akifunguka na kudai kuwa yeye ndio mganga wa A.T Huu ndio ujumbe wa Dk Sharifaa (Mganga)‘‘Tangu bado hajafahamika yaani sio...
View ArticleHIVI NDIVYO ‘MIJIMAMA’ INAVYOINGIZA WAOSHA KUCHA, MIGUU KATIKA HATARI YA...
Utengenezaji wa kucha na uoshaji miguu ni biashara inayokuwa kwa kasi hasa maeneo ya mijini ambapo wanawake wengi wanahusudu na kujihusisha na masuala ya urembo. Biashara hii inazidi kukua huku pia...
View ArticleSIRI YAFICHUKA KUHUSU SHOW WANAZOENDA KUPIGA WASANII WA BONGO FLAVA ULAYA,...
Kila kukicha tumekuwa tukisikia taarifa mbalimbali za wasanii wa Bongo Fleva kusaini mikataba ya kwenda kufanya shoo katika nchi za Ulaya. Baadhi ya wasanii hao wa Bongo Fleva wamekuwa wakitangaza...
View ArticleRAIS HATAKUBALI KUSAINI SHERIA MPYA YA KUWAPA WABUNGE MAHELA YA AJABU...
Ikulu imesema Rais Jakaya Kikwete hatakubali kuidhinisha kama akipelekewa ombi la kuongeza kiinua mgongo cha wabunge kutoka Sh43 milioni hadi Sh160 milioni.Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Salva...
View ArticleHATARI SANA: WANAFUNZI ST ANNE MARIE ACADEMY DAR ES SALAAM WAFANYA UHARIBIFU...
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana (kushoto) akiwa pamoja na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Camilius Wambura wakikagua uharibufu uliofanywa na wanafunzi wa Shule ya...
View ArticleRAIS OBAMA AKATAA WALINZI AFUMWA MTAANI PEKE YAKE ALIKUWA ANATAUFA SANDWICH...
Rais Barack Obama hivi karibuni alikataa walinzi na kuamua kutembea mwenyewe kwenye mi mitaa yenywe wahuni wengijambo lililoleta hofu kwa wananchi wengi huku wakipigwa na butwa"
View ArticlePESA BWANA NI NOMA, DIAMOND AMZUIA BAUNSA WA KITANZANIA KWENDA KWA AZONTO...
Baunsa maarufu kama Rosse akiwa na Azonto mwishoni mwa mwaka jana ambapo mwanamuziki huyo wa Raia wa Ghana alikuwa amempa shavu la kwenda kumlinda nchini Ungereza lakini Diamond amemzuia ili amlinde...
View ArticleSAD NEWS: BASI LA ZUBERI LAPINDUKA NA KUUA WANNE PAPO HAPO...
Hii ni picha ya maktaba ( si ya tukio la leo )** BASI la Zuberi lenye namba T119 AA2 limepata ajali mbaya katika kijiji cha Nkuhi wilaya ya Ikungi Mkoa wa Singida na watu wanne wameripotiwa kufa...
View ArticleINAVYOSEMEKANA MWANADADA HUDDAH NA SELLY WOTE WA BBA, WANASHIRIKI MAPENZI YA...
wowHuda n Selly There is no smoke without fire, mara nyingi watu wamekuwa wana muhisi Selly (BBA) kuwa ni bi sexual sasa hii pic imeleta gumzo mtandaoni pale ambapo watu wanajiuliza hayo ni mapenzi ya...
View ArticleYULE MBONGO ALIYEKAMATWA AFRIKA KUSINI KWA KUTISHIA KUTOA SIRI ZA MKE WA...
Rais wa Afrika Kusini,Jacob Zuma Kesi ya Mtanzania Stephen Ongolo anayeshikiliwa na polisi Afrika Kusini akituhumiwa kutishia kutoa siri za mke wa pili wa Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma, Nompumelelo...
View Article(NEW AUDIO) HUU HAPA WIMBO WA BOB HAISA MAALUMU KABISA KWA SIKU YA VALENTINE.
“Hii ni zawadi kwa wapendanao nawatakia Happy Valentine Day, Wimbo unaitwa Tupendane ukiwa umetayarishwa na Producer Double B ndani ya Fm Production” Bob Haisa CREDIT : DJ CHOKA
View ArticleBASI UNAAMBIWA HUU NDO MKOKO MPYAAAAAA ALIOUNUNUA MSANII JOHARI
Mwaka 2014 umeanza vizuri kwa mwanadada Johari Chagula baada ya hivi karibuni kuvuta usafiri mpya kabisa aina ya Mark X ambayo thamani yake inasemekana kuwa zaidi ya Tshs. Millioni 25 za kibongo.Gari...
View ArticleSTAA WA FAST & FURIOUS, PAUL WALKER AACHA URITHI WA DOLA MILIONI 25 KWA BINTI...
Staa wa filamu za Fast & Furious, Paul Walker alifariki kwa ajali mbaya ya gari mwezi Novemba mwaka jana. Mara tu baada ya kifo chake, watu wengi walikuwa na maswali je utajiri wake aliokuwa nao...
View ArticleBREAKING NEWS : HII NI VIDEO YA GARI LINALOUNGUA MOTO MUDA HUU MAENEO YA UBUNGO.
Chanzo cha gari hilo kuungua moto bado hakijajulikana, harakati za kuuzima moto huo bado zinaendelea. Tazama vdeo hii iliyochukuliwa mda mfupi uliopita
View ArticleJE WAJUA NI NINI CHA SIRI SIRI KINAENDELEA KATI YA DIVA WA CLOUDS FM NA RAPA...
UJUMBE UNASOMEKA HIVI... Bongo mmeaka? wenzenu ndio kwanza kwa habari moto moto napenda kuwafichulia penzi la siri la muda mrefu na binti wa clouds fm diva, mtajaza wenyewe huyo wa pembeni wa kuitwa...
View ArticleMOYO WA KALA JEREMIAH WATESWA NA MSANII WA BONGO MOVIES..!! NI BAADA YA...
MSANII kutoka jiji la Mwanza ambaye alipata umaarufu kupitia Shindano la BSS amevunja ukimya na kusema mambo mengi juu ya Msanii wa Filamu ambaye wanatoka wote jiji moja la Mwanza ambaye anajulikana...
View Article