BAADA ya minong’ono ya muda mrefu, hatimaye staa wa Bongo Fleva,
Estelina Sanga ‘Linah’ ameweka wazi kuwa anatoka kimapenzi na Nagari
Kombo.
Akiteta na kona hii, wikiendi iliyopita jijini Dar es Salaam, Linah alisema: “Ni kweli kwa sasa natoka na Kombo, ndiye mwanaume wangu, sina haja ya kuficha. Mimi na Amini imebaki stori tu, hata yeye ana mtu wake.”
Staa wa Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’
Kombo alijipatia umaarufu siku za nyuma baada ya kuingia uwanjani na
kumkumbatia mchezaji Ricardo Kaka wa Timu ya Taifa ya Brazil iliyokuwa
ikichuana na Taifa Stars katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
CREDIT : GPL
Akiteta na kona hii, wikiendi iliyopita jijini Dar es Salaam, Linah alisema: “Ni kweli kwa sasa natoka na Kombo, ndiye mwanaume wangu, sina haja ya kuficha. Mimi na Amini imebaki stori tu, hata yeye ana mtu wake.”

CREDIT : GPL