Hapo awali mtu mzima
Daddy (Prof. Jay) aliwahi kutoa picha akiwa studio kwa P-funk Majani
akiwa pamoja na Diamond Platnumz, katika maelezo ya picha hizo Prof
alisema tukae mkao wa kusikiliza "kolabo" kali kati yake na Diamond
Platnumz ingawa hakusema jina la wimbo utaitwaje,
Hatimaye Prof. Jay ameachia Official Cover litalohusika katika track yake mpyaaaaa itayokujia hivi karibuni katika masikio yako akiwa kashirikiana na Diamond Platumz. wimbo uliyoandikwa kwenye Cover hilo unakwenda kwa jina la "KIPI SIJASIKIA"
COMING SOON.....................
Hatimaye Prof. Jay ameachia Official Cover litalohusika katika track yake mpyaaaaa itayokujia hivi karibuni katika masikio yako akiwa kashirikiana na Diamond Platumz. wimbo uliyoandikwa kwenye Cover hilo unakwenda kwa jina la "KIPI SIJASIKIA"
COMING SOON.....................