KUPENDA VYA BURE SASA LULU HALI TETE..AIBUA MAPYA NA MAZITO...NI KUTOKANA NA...
HABARI ya mjini hivi sasa ni kuhusu bifu linalotembea chini kwa chini kati ya nyota wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye anadaiwa kumchefua vilivyo dada yake wa hiyari, Rose Alphonce Nungu...
View ArticleDUH! UMEONA GARI MPYAAA ALIYONUNUA MASANJA MKANDAMIZAJI???? KAMA BADO ICHEKI...
Masanja Mkandamizaji ambae anatajwa kuwa miongoni mwa wachekeshaji wachache wa Tanzania waliofanikiwa kimaisha, amesema ‘Mungu wangu ni mzuri, asante Mungu kwa kunipendelea… usafiri huu kwangu ni muujiza’
View ArticleMASOGANGE AAMUA KUIKIMBIA TENA BONGO, ARUDI SOUTH AFRIKA. TAZMA PICHA ZAKE HAPA
Mwanadada Agnes Gerald aka Masogange au mdada wa mibegi...toka juzi amekuwa akipost picha akiwa airport na hadi alipofika South Africa....Hizi ni baadhi yab picha alizopiga akiwa South AfricaPICHA ZAIDI
View ArticleKWA WALE WA WEMA SEPETU..!! HUU NDIYO MZIGO MPYA KUTOKA KWA WEMA KUJA KWAKO..!!
Kwa mashabiki wa Wema Sepetu sasa mkae tayari kwa kuipokea filamu yake mpya iitwayo MADAME (our own crazy boss lady) ambayo kesho inatarajia kutoka yaani Alhamisi ambapo humo ndani wapo Mastaa wengine...
View ArticleSHILOLE AIBUKA NA ‘SERENGETI BOY’ MPYA. ASEMA WAZEE HAWANA DILI
Stori: Hamida Hassan na Gladness MallyaKWA mara nyingine, staa anayekimbiza kwenye filamu na muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ au ‘Shishi’ ameibuka katika penzi jipya na bwana mdogo...
View ArticleCHAMELEONE NI NOMA KWA PESA ANGALIA HAPA ANAHESABU VIROBA KUMI KWA MASHINE...
Mkali wa nyimbo ya Tubonge kutoka Uganda, Jose Chameleone ambaye ni mmoja kati ya wanamuziki wa Afrika anayetajwa kuwa ana utajiri mkubwa sana, ameonyesha jeuri ya pesa kwa kuzihesabu kwa kutumia...
View ArticleUKISIKIA MAHABA NIUE NDO HAYA YA DIAMOND NA WEMA, SASA DIAMOND AANZA KUVAA...
UKISIKIA MAHABA NIUE NDO HAYA YA DIAMOND NA WEMA, SASA DIAMOND AANZA KUVAA MAWIGI YA WEMA. JIONEE HAPA
View ArticleUCHAFU MKUBWA...WEMA NA AUNT EZEKIEL WATIA KINYAA...UNAJUA KWANINI?? SOMA HAPA
Uchafu! Picha za madiva wakubwa wa filamu Tanzania, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson zimebambwa na gazeti hili hivi karibuni wakiwa katika hali ya kimalavidavi licha ya kwamba, mmoja ni mke wa...
View ArticleHUU NDIYO MZIGO MPYAAAAAA WA PROF. JAY AKIWA KAMSHIRIKISHA DIAMOND PLATNUMZ..!!
Hapo awali mtu mzima Daddy (Prof. Jay) aliwahi kutoa picha akiwa studio kwa P-funk Majani akiwa pamoja na Diamond Platnumz, katika maelezo ya picha hizo Prof alisema tukae mkao wa kusikiliza "kolabo"...
View ArticleHAWA NDIYO WASANII WA BONGO WALIYOWAHI KUATHIRIKA KWA MADAWA YA KULEVYA NA...
Q-chief.Msanii wa Bongo Flava maarufu kama Q Chief ni mmoja ya wasanii waliowahi kuweka wazi na kukiri juu ya matumizi yake ya madawa ya kulevya,aliweza kujihusisha na matumizi ya madawa hayo hatari...
View ArticleUMEONA NGUO HII ALIYOVAA KIM KARDASHIAN???? NI MAJANGA. PLZ WABONGO MSIIGE
Kim K stepped out in this see-through green lace dress which revealed her black underwear on dinner date with Kanye West and Vogue editor Anna Wintour at the Waverly Inn in NYC yesterday. Would you...
View ArticleOSTAZ JUMA AKAZIA UCHUMBA KWA JOHARI, ASEMA LAZIMA AWE MKE WAKE WA PILI.
Na Gabriel Ng’oshaPENZI limekolea na kinachoonekana sasa kwa Ostaz Juma Namusoma ni kukazia penzi lake kwa mwanadada Blandina Chagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo Muvi.Habari zilizolifikia Amani...
View ArticleHUYU NDIYE VIDEO QUEEN CHIPUKIZI KUTOKA CBE DODOMA ANAYEFANANA NA WEMA...
Huyu ndiye mrembo atakayehuka kwenye kichupa cha msanii maarufu kama Jaco Beats kwenye wimbo wake mpya unaoitwa walionuna, Video queen huyu chipukizi anayefanya vizuri na ataendelea kufanya vizuri ni...
View ArticleKAA TAYARI KWA UJIO WA "BONGO MOVIES RED CARPET'
"Bongo Movie Red Carpet" ni kipindi chako chenye ladha mpya na ubunifu wa kutosha, muonekano mpya kabisa, sura mpya na uzito wake umeongezeka zaidi kutokana na utofauti wake ili kuhakikisha kwamba wewe...
View ArticleHABARI NJEMA KWA WAKINAMAMA WOTE WAISHIO ZANZIBAR
ZANZIBAR NI ZAMU YENU SASA KUUNGANA NA WANAWAKE WENZENU WA KUNDI LA ZANZIBALICOUS WOMEN GROUP NA KUSHEHEREKA NAO KATIKA UZINDUZI WA KUNDI LAO KATIKA KUUMALIZIA HUU MWEZI WA SIKU YA MWANAMKE...
View ArticleTAZAMA PICHA YA AGNES MASOGANGE ILIYOWACHANGANYA WATU INSTAGRAM
Hii ni moja kati ya picha ambazo zimewapagawisha watu wanao mfuata "followers" kwenye ukurasa wake wa instagram......cheki picha na comments za wadua!...Nouma sanaComments za wadau!PICHA ZAIDI
View ArticleDIAMOND AFUNGUKA KUHUSU MAPENZI YAKE KWA DADA YAKE HALIMA KIMWANA
Pamoja na kwamba Halima yuko katika vita kali ya matusi na kashfa kutoka kwa wale wapenzi wa Wema huko Instagram na sababu kubwa ni ukaribu wake na aliye kuwa mpenzi wa Diamond VJ Penny lakini hali...
View ArticleTAZAMA PICHA HIZI KUTOKA JAMII FORUM, UONE TANZANIA ILIVYOKUA MIAKA ZAIDI YA...
Hapa Ni Tanzania Elimu Supply(TES) Enzi Hizo 1947 Mabasi ya Ekarusi Kumbakumba kwa nyuma Azania Front Tanganyika Parkers Enzi Hizo 60s Salender Bridge 1960s Dar-Es-Salaaam 1975 Hiyooooo!!!...
View Article"WABUNGE WANAOTAKA KUTUMIA KURA YA SIRI BADALA YA WAZI NI MASHOGA.." HII NI...
Naibu Katibu wa Fedha, Mwigulu Nchemba jana katika Bunge Maalum La Katiba alichafua hali ya hewa baada ya kumwambia Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe na mwakilishi wa Mji Mkongwe, Ismail...
View Article