Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

TAZAMA PICHA RAY C ALIVYOMTEMBELEA SHEMEJI WAKE WA ZAMANI IBRA DA HUSTLER KWENYE KITUO CHA KUSAIDIA WATUMIA MADAWA YA KULEVYA..!!

$
0
0
Rehema Chalamila ‘Ray C’ baada ya mchakato wakutafuta logo kwa ajili ya foundation yake ya kupambana na kusaidia vijana wasiingie kwenye matumizi ya dawa za kulevya hatimaye ameanza kazi.

Ray C ametembelea kituo cha vijana walioamua kuachana na matumizi ya dawa za kulevya na tabia hatarishi huko Kigamboni ambapo kwenye kituo hicho Ray C alikutana na msanii aliyekua wa Nako II Nako Ibra Da Hustler.

Ibra yupo kwenye kituo hicho na vijana wengine walioachana matumizi ya dawa za kulevya ambapo Ray C amemuhoji hivyo hiyo interview itaonekana kwenye program inayoandaliwa na foundation yake.

Ibra akiwa na Ray C.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

Trending Articles