Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Browsing all 3623 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAWA NDIYO WATU MAARUFU HAPA BONGO AMBAO WAPENZI WAO HAWAJULIKANI MPAKA LEO...

1. Martin KadindaNi mwanamitindo maarufu apa bongo, na anayefanya vizuri kwenye tasnia hiyo, pia ni manager wa wema sepetu. Huyu amekuwa akipiga picha na warembo tofauti tofauti , ila haijawahi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

REDIO MPYA DAR 93.7 YAWANYIMA WATU USINGIZI..JE NI KWELI NI YA LADY JAY DEE?

Miezi ikapita, mawiki yakasonga hatimae siku, masaa na dakika zake zikapotea na sasa EFM inayopatikana katika masafa ya 93.7 imesikika hewani kwa majaribio kwa mara ya kwanza.Redio hii iliobeba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGASSA APELEKA MPIRA WA HAT TRICK ALIOPEWA TAIFA KWA WEMA SEPETU, SOMA...

WEMA“Diamond ni rafiki yangu, lakini mpira huu nitampelekea Wema kwa kuwa ni shemeji yangu na tunaheshimiana sana,” alisema Ngassa na kuongeza: Mrisho Ngassa wa Yanga, jana alifanikiwa kufunga mabao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DUH! BASI UNAAMBIWA HII NDO BUGATTI ALIYOZAWADIWA JUSTIN BIEBER NA BIRDMAN....

Birdman bosi wa YMCMB amempa smile msanii mdogo mwenye umri wa miaka 20 kwa kumpa zawadi ya gari lenye thamani ya dola za kimarekani  milioni 1.9 aina ya Bugatti Veyron 16.4. Justin Bieber hakusita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MR NICE AELEZA SABABU ZA KUFIRISIKA , ASEMA ALIWAHI KUWA NA ZAIDI YA MILIONI...

 Hivi karibuni baada ya kuchezea kichapo kisa kikidaiwa kuwa mke wa mtu na hapo alipigwa chupa ya bia iliyomchana chana uso mzima na kumuacha na kilema cha makovu. Hapa Mr Nice Shavu dodo msafara wake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIMENUKA ! SASA DIAMOND, JOTI, MASANJA NA WASANII WENGINE KUCHUNGUZWA NA...

KIMENUKA! Jeshi la Polisi Tanzania kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za serikali zimeanza kuwachunguza watu wenye majina makubwa ‘mastaa’ Bongo ambao wameibuka na utajiri wa ghafla, Uwazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HILI NDO ZALI JINGINE LILILOMWANGUKIA LADY JAYDEE, NI KUHUSU KOMBE LA DUNIA....

Msanii Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ ameula katika michuano ya Kombe la Dunia 2014 baada ya kupata nafasi ya kuandaa wimbo kwa ajili ya michuano hiyo mikubwa zaidi ya soka duniani.Jaydee anayefahamika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA KUSHINDWA UCHAGUZI CHALINZE HAYA NDIO MALALAMIKO YA CHADEMA

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kinatoa tamko la awali kwa umma kuhusu ukiukwaji mkubwa wa taratibu, kanuni na sheria zinazosimamia uchaguzi, zilizofanyika kwenye mchakato wa uchaguzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMBEA WA INSTA:CATHERINE SHAWA APEWA USHAURI KUACHA KUUZA MADAWA YA KULEVYA

Catherine shawa mamaa Ya sembe , sister duu muuza sembe aliebakia baada Ya beach baby kukamatwa (jacky Cliff) na walikua mabeste kabla Ya ugomvi wao maana Catherine ndio alimpa mchongo jacky baada Ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMEONA PICHA HIZI ALIZOWEKA MKE MTARAJIWA WA KANYE WEST??? NI MAJANGA MATUPU...

Kim Kardashian showed off her famously curvy rear in a tiny bikini as she posed for a photo shoot at the beach while on holiday in Thailand last week. Continue to see more photos...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIJUI NI BANGI AU POMBE ZILIZOMSUMBUA DUDU BAYA KUMKATA MAMA YAKE SIKIO NA...

Kupitia U Heard ya leo na Gossip Cop, story ni kuhusu Dudu Baya kumkata skio mama yake mkubw, kwa madai kuwa anamloga ndio maana hafanyi vizuri katika kazi zake za mziki.  Kwa mujibu wa mdogo wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAWA NDIO WAIGIZAJI WATANO WA KIKE KUTOKA BONGOMOVIE AMBAO WANAONGOZA KWA...

Kwa mujibu wa Technical research ya DOMO ZEGE....kupitia Google, Kwakuangalia Most Keywords ni Tanzania...Haya ndio majina ya waigizaji wa kike ambao watu wengi huandika majina yao kwenye Google...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JE WAJUA KUA KUA RIHANA KAFANANA NA MAMA YAKE ZAIDI KULIKO BABA YAKE????...

Baada ya hivi majuzi Rihana kuonekana pamoja na baba yake wakiwa wameshikana mkono...Watu mengi mitandaoni wame comment kuwa Rihana kwakiasi kikubwa amefanana na Baba yake....Cheki hizi picha then Judge!

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KANUMBA DAY... LULU AONGOZA VILIO KABURINI

R.I.P Kanumba! Ikiwa imepita miaka miwili au siku 730 tangu aliyekuwa mwigizaji nambari wani Bongo, Steven Kanumba ‘The Great’ afariki dunia, aliyekuwa mpenzi wake, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amejikuta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA PICHA RAY C ALIVYOMTEMBELEA SHEMEJI WAKE WA ZAMANI IBRA DA HUSTLER...

Rehema Chalamila ‘Ray C’ baada ya mchakato wakutafuta logo kwa ajili ya foundation yake ya kupambana na kusaidia vijana wasiingie kwenye matumizi ya dawa za kulevya hatimaye ameanza kazi. Ray C...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SASA AUNT AKWEA PIPA MPAKA DUBAI KISA KUOGOPA KUSALITIWA, SOMA MKASA MZIMA HAPA

STAA wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel amekwea pipa kumfuata mumewe, Sunday Demonte nchini Dubai huku ikielezwa kuwa amefanya hivyo kwa kuhofia kusalitiwa na mumewe.Akiteta na Risasi Mchanganyiko,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU NI WARAKA MZITO KUTOKA KWA GODBLESS LEMA KWA RAISI KIKWETE..!! USOME HAPA

Mh Rais Nakusalimu . Wakati mwingine unapaswa kupewa pole na kuombewa na kufanyiwa dua kwani wewe ndie unatumikia ofisi kubwa kuliko zote Nchini na wakati huo huo unapaswa kupewa hongera kufikia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATAALA WA MAMBO WANASEMA..!! HIZI NDIZO NGUO WATAZOVAA DIAMOND NA WEMA SIKU...

 When your are talking about the super stars artist of Tanzania, basi kiukweli hutaacha kumtaja wema sepetu na diamond the platnumz, kiukweli the guys are hot and they know how to play with mass, Hizo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO MWASITI ALIVYOFUNGUKA KUHUSU WANAUME, MJIPANGE!!

  STAA anayefanya vizuri kwenye Bongo Fleva akitokea Jumba la Vipaji Tanzania ‘THT’, Mwasiti Almas, amesema kwa sasa hataki kusikia habari za mwanaume kabisa.Akizoza na mwandishi wetu, Mwasiti alisema:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DULLY SYKES AMTETEA DIAMOND KUHUSU TUHUMA ZA KUTEGEMEA MGANGA WAKE KUPTA...

Jina la Diamond Platinumz mtoto wa Tandale mwenye historia ya kuishi maisha ya ukata, sasa hivi ni moja kati ya majina makubwa kimuziki barani Afrika huku akishiriki kwenye project kubwa kama One...

View Article
Browsing all 3623 articles
Browse latest View live