Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

DIAMOND PLATNUMZ AENDELEA KUWAGALAGAZA WASANII WA AFRIKA KWENYE NOMINATIONS ZA KORA

$
0
0
Pamoja na kwamba tuzo za Kora hazina tena ‘kiki’ kama zamani, Diamond Platnumz ameendelea kuwagalaza wasanii wa Afrika kwakuwa jina lake ndilo limekuwa likitajwa zaidi na mashabiki kwenye akaunti ya Facebook ya tuzo hizo...Click <HAPA>Kuona Page hiyo

Katika wiki ya ya 17 tangu watu waanze kutaja majina ya wasanii wa Afrika, Diamond ameendelea kuongoza na kuwaacha mbali wasanii wakubwa wakiwemo Koffie Olomide, Sarkodie, Fally Ipupa, Werason na wengine

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

Trending Articles