Alikiba anatarajia kuwapa mashabiki wake zawadi waliyoisubiri kwa muda mrefu – video.
![11379088_516569745163009_315077195_n]()
Alikiba akiwa katika kazi
Muimbaji huyo ameshoot video nchini Afrika Kusini na muongozaji Meji Alabi.
Kupitia ukurasa wa Facebook, Alikiba amepost na utengenezaji wa video hiyo na kuandika: Music video shoot in South Africa at 3 degrees celsius… We keep rolling!
![11350568_976872012336270_2707229765011132660_n]()
Muongozaji Meji Alabi akiwa kazini
Hivi karibuni mashabiki wa Alikiba walilalamika kuchelewa kwenye video ya Chekecha na kudai kuwa anawaangusha.
![11351812_1663090943927055_344829160_n]()
Alikiba akiwa na Meji Alabi
![11390285_976875359002602_5456705516142548614_n]()

Alikiba akiwa katika kazi
Muimbaji huyo ameshoot video nchini Afrika Kusini na muongozaji Meji Alabi.
Kupitia ukurasa wa Facebook, Alikiba amepost na utengenezaji wa video hiyo na kuandika: Music video shoot in South Africa at 3 degrees celsius… We keep rolling!

Muongozaji Meji Alabi akiwa kazini
Hivi karibuni mashabiki wa Alikiba walilalamika kuchelewa kwenye video ya Chekecha na kudai kuwa anawaangusha.

Alikiba akiwa na Meji Alabi
