Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

KAMA ULIKUA HUJUI BASI HAYA NDIO MAMBO 10 USIYOYAJUA KUMHUSU ROSE MHANDO, UNAJUA ALISHAWAHI KUFUUZWA KANISANI? BASI SOMA HAPA

$
0
0


KAMA ULIKUA HUJUI BASI HAYA NDIO MAMBO 10 USIYOYAJUA KUHUSU MWANADADA MACHACHALI ROSE MUHANDO

  1. Enzi za utoto wake kakulia mkoani Morogoro
  2. Akiwa mtoto alikua akisoma masomo ya Madrasa mara baada ya kutoka shuleni.
  3. Aliwahi kupata ugonjwa wa ajabu kipindi akiwa mtoto, ambapo ugonjwa huo ulisababisha awe ni mtu wa kitandani tu kwa mda wa miaka mitatu.
  4. Katika kipindi hicho cha ugonjwa ndipo Rose Mhando aliposema kua aliona uponyaji wa Yesu Kristo ambao ndo ulimponyesha ugonjwa aliokua akiugua.
  5. Kwa maneno yake mwenyewe alitoa ushuhuda kua alisikia sauti ya Yesu ikisema " Mimi ni Yesu Kristo, Nimekuponya na inuka uende kunitumikia"
  6. Baada ya hapo alibadili dini kutoka kwenye uislam na kuhamia ukristu, ilikua ni kipindi cha Pasaka.
  7. Alianza safari yake ya muziki katika kwaya ya MT Maria  mkoani Dodoma.
  8. Alifukuzwa kanisani baada ya kukataa kurekodi na kwaya hiyo.
  9. Hajaolewa lakini ana watoto watatu.
  10. Rose Mhando asema hataolewa kabisa kwani nia yake ni umtumikia Mungu.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

Trending Articles