PICHA YA HALI YA SASA YA HAKIMU ALIYECHOMWA KISU WAKATI AKITOA HUKUMU HUKO...
Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo iliyopo eneo la Nguzo Nane, Kata ya Kambarage Mjini Shinyanga, Satto Nyangoha amejeruhiwa kwa kuchomwa kisu katika shavu lake la kushoto baada ya kutoa hukumu ya kesi ya...
View ArticleKAMA ULIKUA HUJUI BASI HAYA NDIO MAMBO 10 USIYOYAJUA KUMHUSU ROSE MHANDO,...
KAMA ULIKUA HUJUI BASI HAYA NDIO MAMBO 10 USIYOYAJUA KUHUSU MWANADADA MACHACHALI ROSE MUHANDOEnzi za utoto wake kakulia mkoani MorogoroAkiwa mtoto alikua akisoma masomo ya Madrasa mara baada ya kutoka...
View ArticleTFF WANA BIFU GANI NA SHAFFIH DAUDA? SOMA ALICHOKISEMA SHAFFIH DAUDA HAPA...
Nikiwa kama mtanzania halisi na mdau mkubwa wa michezo nchini hasa soka niliamua kujitosa katika kugombea uongozi ndani ya shirikisho la soka nchini katika uchaguzi wa shirikisho hilo ambao umepangwa...
View ArticleEXCLUSIVE : KUA WA KWANZA KUDOWNLOAD WIMBO MPYA WA T.I.D FT KASSIM & BLUE -...
Learn how to put a song on itunes at ReverbNation.com
View ArticleSHAFFIH DAUDA AENDELEA KUWACHANA TFF, SOMA HIKI KINGINE ALICHOKIANDIKA KATIKA...
Post by Shaffih Dauda.
View ArticleJAY Z NA BEYONCE WAFUNIKA MBAYA, SASA WASHIKA NAMBA 1 YA WAPENZI WANAOLIPWA...
Beyonce and Jay Z top the 2013 Forbes list of highest earning celebrity couples while Kim & Kanye came in at No.5. Jay and Bey made more than any other celebrity couple this year with an estimated...
View ArticleMWANA FA NA AY WAZIDI KUPEWA SIFA, UMESIKIA ALICHOKISEMA MAMU (MSAMBAZAJI WA...
Japokuwa wahindi wamesusia kujihusisha tena na usambazaji wa albam za wasanii wa Bongo Flava, bado wanaufuatilia kwa ukaribu muziki huo. Kupitia kipindi cha Power Jams cha East Africa Radio, mmoja wa...
View ArticleBAADA YA KUMTEMA MKE WAKE, MZEE MAJUTO AFIKISHWA BAKWATA NA HUYO ALIYEMWACHA....
SIKU chache baada ya ndoa ya supastaa wa vichekesho Bongo, Amir Athuman ‘Mzee Majuto’ kuvunjika, mke aliyeachika amekimbilia Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) kutoa malalamiko yake, Amani liko...
View ArticleUKIWA MAARUFU OGOPA SANA MADEMU WA UINGEREZA, SOMA HAPA WALICHOWAHI KUMFANYIA...
Mkimbiaji mwenye mbio zaidi duniani, Usain Bolt amesema hapendi kuwa na msichana wa Uingereza sababu anaepuka kuandikwa na magazeti ya udaku ya nchi hiyo. Akiongea na BBC Radio 5 Live, Bolt alisema:...
View ArticleMASOGANGE NA MDOGO WAKE WAACHIWA HURU, SO HAWANA KESI TENA. SOMA HAPA KWA...
Tegemea picha zaidi za ‘asset’ ya Agnes Gerald aka Masogange kwenye Instagram sababu video vixen huyo ni mtu huru kabisa.Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi la leo, Mahakama ya Kempton ya jijini...
View ArticleFLORA LYIMO AWASHUKIA BLOGGERS NA WALE WOTE WANAO SEMA KAPOST PICHA ZA UCHI,...
"Ndugu zangu Watanzania na Nyota zangu' Poleni sana kwa yale mnayoyasoma kwenye Baadhi ya Mamburulaz'' Blogs na Facebook bila kusahau Vipage Group vyao'' Sasa napenda kuwaambieni kwamba Poleni sana kwa...
View ArticleKAMA WEWE NI MGENI ARUSHA, JIHADHARI NA WIZI WA AINA HII. TAZAMA KIBAKA HUYU...
Kijana huyu alichezea kipigo juzi katika stend ya mabasi ya mikoani jijini Arusha baada ya kuiba begi la msafili mmoja baada ya kuiba kibaka huyu alivaa nguo zote katika mwili ili asishitukiwe Lakini...
View ArticleBINTI APIGWA HADI KUFA, MCHUMBA WAKE AKATWA KICHWA KWA KULAZIMISHA KUOANA......
Moja ya miili ya wapenzi hao. Msichana mmoja wa India ambaye alipigwa hadi kufa na ndugu wa familia yake na rafiki yake wa kiume kukatwa kichwa katika mauaji ya kutisha ya heshima baada ya kuwa...
View ArticleMNIGERIA ATWAA TAJI LA SHINDANO LA MREMBO WA KIISLAMU DUNIANI... SOMA HAPA
Obabiyi Aishah Ajibola (kushoto) akivikwa taji hilo mara baada ya kutangazwa mshindi nchini Indonesia. Mwanamke wa Nigeria amevishwa taji la Mrembo wa Kiislamu Duniani katika fainali ya shindano hilo...
View ArticleTAZAMA PICHA ZAIDI YA 10 ZA JUMBA LA KIFAHARI LA MSANII JUSTIN BIEBER HAPA
We bet Justin and Selena have enjoyed a few romantic sunset dinners in this space.This cozy room is perfect for when the singer needs some R&R.When J.B. wants to take in a flick, he can do so in...
View ArticleHIZI NDO MPYAAAAAAAAA KUTOKA KATIKA CHANZO CHETU NDANI YA FAMILIA YA...
Mtanzania Agnes Gerald, maarufu Masogange, ameachiwa huru na Mahakama ya Kempton ya jijini Johannesburg, baada ya kulipa faini ya R30,000 (Sh4.8 milioni) kwa kosa la kubeba kemikali zinazotumika...
View Article