Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

UKIWA MAARUFU OGOPA SANA MADEMU WA UINGEREZA, SOMA HAPA WALICHOWAHI KUMFANYIA USAIN BOLT. MWANADAMU MWENYE KASI ZAIDI DUNIANI

$
0
0


Mkimbiaji mwenye mbio zaidi duniani, Usain Bolt amesema hapendi kuwa na msichana wa Uingereza sababu anaepuka kuandikwa na magazeti ya udaku ya nchi hiyo.
Akiongea na BBC Radio 5 Live, Bolt alisema: “Nimejifunza kutokana kwa wanawake wa Uingereza kuwa unatakiwa kuwa makini. Miaka iliyopita nilijikuta kwenye matatizo mara tatu kwa kupenda wasichana wa UIngereza.”
Bolt alitania: “Ghafla tu najiona kwenye gazeti, story yangu yote kwenye gazeti, hivyo nimekuwa makini na wasichana wa Uingereza, niko makini. Nakaa mbali na wanawake wa Uingereza.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

Trending Articles