KUNA VITU VINACOST NCHI ZAIDI KULIKO HAYO MAREKEBISHO NA HII ILINIKUMBUSHA WAKATI ULE ZANZIBAR WALIKAA BILA UMEME WAKATI WA MIEZI AISEE,,HII NI AIBU NA HII SIO HAKI KWA MWANANCHI.HAYA TUSUBIRI TUONE WATASEMA NINI BAADAE BUT MWAKA 2013 NA BADO TUNAISHI KWA MGAO WA UMEME,,VITU MUHIM NCHINI KAMA MAJI,UMEME,BARABARA NDIO SHIDA KUBWA SANA TANZANIA,,THEY SAY A CHANGE IS GONNA COME BUT THE QUESTION IS WHEN!!
KUNA VITU VINACOST NCHI ZAIDI KULIKO HAYO MAREKEBISHO NA HII ILINIKUMBUSHA WAKATI ULE ZANZIBAR WALIKAA BILA UMEME WAKATI WA MIEZI AISEE,,HII NI AIBU NA HII SIO HAKI KWA MWANANCHI.HAYA TUSUBIRI TUONE WATASEMA NINI BAADAE BUT MWAKA 2013 NA BADO TUNAISHI KWA MGAO WA UMEME,,VITU MUHIM NCHINI KAMA MAJI,UMEME,BARABARA NDIO SHIDA KUBWA SANA TANZANIA,,THEY SAY A CHANGE IS GONNA COME BUT THE QUESTION IS WHEN!!