![]() |
Morogoro. |
Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, ajali hiyo ilitokea eneo la Dakawa mkoani humo na kuhusisha magari aina ya Toyota Noah lililogongana uso kwa uso na lori la mizigo.
Katika ajali hiyo ambayo imethibitishwa na Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, abiria wengine watano waliokuwamo kwenye Noah na mwingine kwenye lori walijeruhiwa.