Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

MABESTE AHAIDI KUYATAJA MABAYA ALIYOFANYIWA NA B HITS, NI BAADA YA KUJITOA KATIKA KUNDI HILO. SOMA ALICHOKISEMA HAPA

$
0
0

mabeste
Mabeste pamoja na wasanii wenzake Vanessa Mdee na Gosby imetangazwa rasmi kwamba hawapo tena kwenye lebo ya B hits music group.
Mabeste ametoa ya moyoni kwamba Hermy B ambaye ni boss wa lebo hiyo amesema maneno ambayo si kweli kuhusu ku-invest zaidi ya millioni 30 kwake,amemlipia kodi ya nyumba na pia anamnunulia nguo.
Hiki ndicho alichoandika Mabeste  na ameahidi kusema zaidi leo hapo baadae


Viewing all articles
Browse latest Browse all 3623

Trending Articles