BAADA YA TRAFIKI FEKI KUKAMATWA HUYU NDO MWANAJESHI FEKI ALIYEKAMATWA TENA....
Iliwahi kutokea Tabata Dar es salaam akakamatwa askari feki wa usalama barabarani ambae ni mzee aelikua anavalia sare na madereva walikua wanajua kweli huyu ni askari na faini na rushwa akawa...
View ArticleUSIPOCHEKA KWA KUANGALIA HIZI PICHA 9, NAKURUDISHIA BUNDLE LAKO. ZICHEKI HAPA
This is what happens when you did not learn how to color in the lines at kindergardenUNAKUMBUKA HII ILIKUA MISS TANZANIA MWAKA GANI?DADA YAKE NA NANI HUYU, HEBU NIPE JIBUANGALIA HIZO KUCHA CHINI YA...
View ArticleMR NICE AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA KUHUSU UTAJIRI WAKE ULUVYOPUKUTIKA, SOMA...
Katika hali yakushangaza, Lucas Mkenda au maarufu kama Mr.Nice, finaly afunguka kuhusu utajiri wake na sababu za kushuka kwake kimuziki, katika moja ya interview Mr.Nice alidai kuwa hajui ni nini haswa...
View ArticleCHEKA KIDOGO-POMBE SIO SUPU JAMANI...MWANGALIE HUYU JAMAA
Leo siku nzima nilikuwa sijacheka ila baada ya kuangalia hii video imebidi nicheke ..Jamaa anapiga mbizi kwenye maji ya mvua ...Kweli Pombe sio Supu..Bonyeza Hapa Kuangalia hiyo Video:
View ArticleUNA KILA SABABU YA KUOGA NA MPENZI WAKO..SOMA HII UTANIELEWA.
Unapo kuwa nyumbani , tena ni vizuri ikiwa weekend mkiwa wote mko nyumbani, hakikisha unapata nafasi ya kuoga pamoja na mpenzi wako, hivi ni vitu vidogo dogo sana vinavyoweza kufanya mapenzi yenu yawe...
View ArticleCHAGGA BARBIE ATUPIA PICHA INSTA KUONESHA MAKALIO YAKE...WATU WAMTUKANA. SOMA...
Baada ya Diva wa clouds Fm kuachia picha tata kupitia mtandao wa instagram (kama hukuiona bofya HAPA) Alifata Lulu michael kuachia picha yenye mitego (kama hukuona ya Lulu bofya HAPA) sasa ni zamu ya...
View ArticleHUYU NDIO MBONGO MWINGINE ALIYEPATA NAFASI YA KUFANYA KOLABO NA MSANII KUTOKA...
Watanzania ule muda wa kecheza kinigeria na kitanzania umefika nimetoka Bongo to lagos Nigeria to Tanzania yote kuhakikisha tunajenga ukaribu na kukuza muzikiwetu tanzania. KEVOO HARD FEAT TMOST FROM...
View ArticleLULU ATUPIA NGUO KAMA NICKI MINAJ PITIA HII KISHA NIAMBIE NANI IMEMTOA ZAIDI.
Lulu atupia Kinicki Minaj habari ndiyo hii lakini unaweza kujua cha ukweli na cha kuchovya. Hapa Minaj ilikuwa siku ya MTV Award alitupia kitu hiki huko pande za mbele mbele.UNAWEZA SOMA ===> HIZI...
View ArticleWAARABU WANA HELA SANA, TAZAMA JENGO HILI LITALOJENGWA SAUDI ARABIA LINA...
Kingdom Tower litakuwa na urefu wa feel 3,280 sawa na kilometer moja kwenda juu. Gharama za usimikaji wa jengo hili ni Dollar Bil 1,23 lita kuwa na floor 200, ujenzi wa jengo hili utatumika kwa zege...
View ArticleHAPPY BIRTHDAY YA LULU UTATA MTUPU, LULU AOGESHWA POMBE UKUMBINI. JIONEE...
Kha! Katika hali isiyoitarajiwa, nyota wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ amejikuta akiangua kilio cha ukweli kama mtoto kufuatia kuogeshwa kwa pombe mwilini, jambo ambalo...
View ArticleMRISHO MPOTO BHANA...!! AELEZA SABABU ZA KWANINI HAPENDI KUVAA VIATU NA...
Mpoto akiwa uwanja wa ndege Dar es salaam akirejea toka DubaiMpoto ameiambia bongo5 kuwa amesemwa sana kuhusu tabia ya kuto vaa viatu lakini ameshindwa kubadilika.“Beauty yoyote ipo kwenye...
View ArticlePAPAA MISIFA ALAZWA POLISI KWA UTAPELI, KUMBE JAMAA HUWATAPELI WASANII NA...
MSANII wa kizazi kipya nchini Tanzania Jailun ally A.k.A Jailun boy de loved,anatarajia kumfikisha mahakamani aliyekua manager wake Msafiri Peter Damian, Jailun ambaye alimkabidhi Papaa misifa kiasi...
View ArticleDUH, PENNY ATUPIA PICHA MTANDAONI AKIONESHA MAUNGO YAKE YA NDANI. ZICHEKI HAPA
UNAWEZA SOMA >>> HIVI NDIVYO KUFIKA KILELE KWA MWANAMKE KUNAVYOKUWA. SOMA HAPABaada ya kuwa kimya katika akaunti yake ya instagram, Penny ambaye ni mtangazaji wa kituo cha DTV kilichopo Dar,...
View ArticleCHEKI AIBU ILIYOMPATA DAVIDO ALIPOKUTANA NA MREMBO HUYU KUTOKA KENYA
UNAWEZA SOMA >>>AINA MBILI ZA KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA (INFERTILITY)UNAWEZA SOMA >>> MAMBO YA KUZINGATIA IWAPO UNATAKA KUSHIKA MIMBA
View ArticleBREAKING NEWS:MELI ILIYOBEBA SUKARI HAIKUZAMA, SHEHENA IMEIBIWA NA KUUZWA KENYA
Ile meli iliyotangazwa imezama katika ziwa Victoria na tani 280 ya sukari siyo kweli. haikuzama ila umefanyika wizi na mmiliki wa meli hiyo Kitana Chacha wa Mwanza ambaye ikiwa njiani zilikuja boti...
View ArticleDRAKE AMNUNULIA RIHANNA PETE YENYE THAMANI 68 MILIONI
Drake na Rihanna penzi lao linachanua huku wakiripotiwa kuwa na mpango wa kuishi pamoja. Kwa mujibu wa gazeti la Daily Star, chanzo kimoja kimeeleza kuwa Drake amemnunulia Rihanna zawadi ya pete ya...
View ArticleVITA INSTA..!! MASHINDANO YASHIKA MOTO KATI YA CHAGGA BARBIE NA VERA SIDIKA...
Kuliibuka maneno ya chini chini baada ya mkali kutoka Kenya Prezzo kutoa wimbo mpya unaokwenda kwa jina la My Gal ambapo video queen wa wimbo huo alikuwa mwanadada Vera Sidika wa nchini kenya,ambapo...
View Article