MMOJA WA ABIRIA ALIESAFIRI NA BOAT YA KILIMANJARO 2 KUTOKEA PEMBA AFUNGUKA...
credit jestina george
View ArticleSIRI ZAZIDI KUFICHUKA CHADEMA:SOMA MAJIBU YA ZITTO KABWE KWENDA KWA TUNDU...
Akizungumza katika press conference ya CHADEMA na waandishi wa habari iliyofanyika leo, Mwanasheria mkuu wa Chadema, Mh.Tundu Lisu alisema kuwa mkakati wa kuwachafua viongozi ni wa siku nyingi ambapo...
View ArticleMBUNGE WA NCCR - MAGEUZI AJITOSA BIFU LA ZITTO KABWE NA CHADEMA, ONA...
MOSES MACHALI."Hayo hapo chini ndiyo maneno aliyoyasema kupitia miandao wa kijamii, jisomee ujue anachokisema na majibu ujipe mwenyewe>>>>"Moses MachaliKuna watu...
View ArticleHIKI NDICHO KILICHOMKUTA MWANADADA WEMA SEPETU, MAHAKAMA YAAMURU...
WEMA SEPETU YAMETIMIA ! Ni kweli hakuna marefu yasiyokuwa na ncha! Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu aliyesifika kwa kumwaga fedha kila kukicha ameanza kufilisiwa, Ijumaa Wikienda lina habari ya...
View ArticleTAZAMA VIDEO MPYA YA YASINTA TALLY, MWANADADA ANAEWAKILISHA MWANZA VYEMA KWA...
Jiji la mwanza linasifika sana kwa kutoa vipaji vingi vinavyowakilisha mziki wa Hiphop, baadhi ya wasanii waliotokea mwanza na wanafanya poa sana ni Fid Q, Young Killer, Kala Jeremiah na wengine...
View ArticleTUKIO: JINSI MBWA 120 WALIVYOMTAFUNA MJOMBA WA KIONGOZI WA KOREA KASKAZINI....
Walimvua nguo na kumtupa kwenye ngome ya Mbwa wenye njaa 120.Rais Kim Jong Un alikataa mjomba wake kunyongwa bali kuliwa na mbwa akiwa uchi wa mnyama.kiongozi huyo na viongozi wengine 300 walishuhudia...
View ArticleMZUNGU ADATA NA MAUNO YA SNURA AOMBA MSAADA WA KUFUNDISHWA KUKATIKA...
Raia wa kigeni kutoka germany aliejulikana kwa jina moja tu la Joan amesema tangu afike tanzania mienzi mitatu sasa amejikuta akivutiwa sana na kazi za snura hasa katika swala zima la jinsi...
View ArticleWABONGO WAISHIO MAREKANI WAJUTA KWENDA HUKO KUTOKANA NA BARIDI KALI, SOMA HAPA
Wakazi wa mashariki na kusini mwa Marekani wanapambana na baridi kali na ya hatari kuwahi kutokea baada ya dharuba ya upepo baridi kutoka maeneo ya kaskazini ya bara la Amerika kupiga na kuenea maeneo...
View ArticleHATARI SANA...MASTAA WA BONGO PRESHA INAPANDA/INASHUKA KUHOFIA KIFO...
Bongo movie's heroines Aunt Ezekiel na Kajala Masanja HOFU ya kifo imetawala kwa mastaa Bongo ikiwa ni siku chache baada ya gazeti hili toleo la Jumamosi iliyopita kutoka na habari ya utabiri wa...
View ArticleNI NOUMA....JOHARI APOMBEKA KAMA 'KOMBA' KUFURAHIA RAY KUPIGWA CHINI...!SOMA...
Blandina Chagula ‘Johari’. STAA wa kitambo kwenye filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amenaswa akipiga mitungi kwa sana ikiwa ni sehemu ya kufurahia uongozi mpya wa Klabu ya Bongo Movie...
View ArticleATIWA POLISI KISA KUMFANINISHA RAISI NA KIAZI, SOMA MKASA MZIMA HAPA
Rais Michael SataKiongozi mmoja wa upinzani nchini Zambia, amekamatwa na kufunguliwa mashitaka ya kumchafulia jina Rais wa nchi hiyo Michael Sata baada ya kumfananisha na ViaziFrank Bwalya anadaiwa...
View ArticleWATU WAWILI WAFARIKI DUNIA KWA KUPIGWA NA KUCHOMWA MOTO BAADA YA KUTUHUMIWA...
Miili ya Marehemu ikiwa imetelekezwa katika mlima nyoka Miili ya Marehemu baada ya kupigwa vibaya Kiatu vya mmoja wa marehemu aliye uawa Hapa ni eneo marehemu walipo jaribu kukimbia Baadhi ya...
View ArticleALL-SHABAB WATOA WAPIGA MARUFUKU WANANCHI KUTUMIA INTERNET NCHINI SOMALIA...
Wanamgambo wa Al Shabaab wenye uhusiano na Al-Qaeda, wamesema kuwa wamepiga marufuku raia wanaoishi katika maeneo wanayodhibiti kutumia internet.Wapiganaji hao wametoa onyo kwa kampuni zote zinazotoa...
View ArticleSOMA YALIYOSEMWA NA UBALOZI WA TANZANIA BAADA YA KUULIZWA KUHUSU JACKIE CLIFF...
Mwezi December 2013 taarifa zilitoka kwamba kuna binti wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 28 aliekamatwa na dawa za kulevya huko Macao China ambapo baadhi ya taarifa zilizoripotiwa na Waandishi wa...
View Article