Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Viewing all 3623 articles
Browse latest View live

Mkwere awatolea uvivu wasanii wenzake, asema haogopi kurogwa.

$
0
0
Hemed Maliyaga
Mkwere Orijino mchekeshaji wa Komedi Swahilihood.
MCHEKESHAJI mahiri katika tasnia ya filamu Swahilihood Hemed Maliyaga ‘Mkwere Orijino’ amesema kuwa anaposema ukweli haogopi kurogwa kwa sababu anaamini anachokisema ni kwa ajili ya kuweka sawa kama ni rafiki au mwigizaji mwenzake akienda tofauti.

Hemed Maliyaga
Mkwere Orijino akiwa katika pozi matata.
Hemed Maliyaga
Mkwere Original katika pozi.
“Mimi nasema tu, siogopi kurogwa bwana utaniroga wewe mimi narogwa na watanzania wengi ninaowafurahisha kila siku, nasema wasanii tubadilike katika kujitenga katika matukio kama maradhi, misiba na sherehe tushirikiane tupendane,”anasema Mkwere.
Mkwere alisema hayo wakati akiongelea suala la baadhi ya wasanii kujitenga na wasanii wenzao kwa mitazamo ya kipato, au makundi makundi ambayo kwake haoni kama yana nafasi katika maisha ya wasanii wa filamu na komedi ambao siku ya siku wote ni kitu kimoja kwani hawana tofauti sana kiubinadamu.

Ushahidi wa Laiva Kuwa na Nay wa Mitego na Shamsa Ford ni wapenzi.

$
0
0
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Shamsa Ford ambae hivi majuzi aliweka wazi kuachana na mume wake ambae wamezaanae mtoto mmoja, imebainika kuwa kwasasa yupo kwenye mahusino ya kimapenzi na Staa wa Bongo Fleva, Nay Wamitego.

Hivi sasa wawili hao wanaonekana sehemu mablimbali wakiwa wapo close na kutupia mapicha mtandaoni kitu kinachompa presha mwadada Siwema ambae hivi majuzi alinyang’anywa mototo na Nay Wa Mitego na hiyo kuamua kurusha madogo mtandaoni.

Japo kuwa Nay wa Mitego yupo mstari wa mbele kuwapondea wadada wa Bongo Movies kwenye nyimbo zake, lakini kwenye maisha halisi anaonekana kuwzimia sana kwani alishakuwa na mahusia yo kimapenzi na wadadawa bongo movies kadhaa kabla ya Shamsa wakiwemo  Nisha na Bozi.

Askofu Gwajima aligomea Shirika la Nyumba

$
0
0
http://2.bp.blogspot.com/-66iG8RiOKwo/Uk95ZjmUNsI/AAAAAAAAB14/SnrryfZNMcg/s1600/B39A4907.jpgNa Asifiwe George, wa gazeti la mtanzania
MCHUNGAJI Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Gwandu Mwangasa, amesema kamwe hawawezi kuhamisha kanisa lao lililopo katika Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam.
Kauli hiyo imekuja siku moja baada ya gazeti moja la kila siku (si MTANZANIA) kumnukuu Meneja Uhusiano wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Yahaya Charahani akisema wametoa notisi ya mwezi mmoja kwa kanisa hilo linaloongozwa na Mchungaji Josephat Gwajima kuhama katika viwanja hivyo.
Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Mchungaji Mwangasa alisema taarifa hizo si kweli, kwani wao hawana mpango wowote kwa sasa kuondoka katika eneo hilo.
“Hizo ni taarifa tu za uongo, hazina ukweli wowote, ili upate ukweli kuhusu taarifa hizi mpigie Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba, Nehemia Mchechu ndiye atakayekupa taarifa zote, wengine watakudanganya,” alisema Mchungaji Mwangasa.
Naye Msemaji wa Askofu Gwajima, Yekonia Behanaze, alisema hawana taarifa zozote kutoka NHC zinazowataka kuhama katika eneo hilo kama ambavyo inasambazwa katika mitandao ya kijamii na kwenye baadhi ya magazeti.
“Ndugu mwandishi sina taarifa yoyote juu ya suala hilo, kwanza ndiyo nazisikia kutoka kwako, hivyo ngoja nianze kuzifanyia kazi ili nijue ukweli wa jambo hilo,” alisema Behanaze.
Taarifa ya NHC ilieleza kuwa Askofu Gwajima alipatiwa notisi ya kuhama katika eneo hilo la Kawe mwezi mmoja uliopita ingawa hakuitekeleza badala yake ameendelea kutumia eneo hilo kuendesha shughuli za kanisa lake, ikiwamo ibada.
Charahani alisema eneo hilo ni mali ya NHC na ni maalumu kwa ajili ya ujenzi wa mji wa kisasa na wakazi waliokuwa wakiishi katika eneo hilo tayari walikwishalipwa fidia zao muda mrefu.
Alisema hiyo si mara ya kwanza kwa NHC kumwandikia notisi Askofu Gwajima ambapo alisema notisi ya kwanza ilikwisha tangu Machi 9 mwaka huu na tangu wakati huo walimwongezea siku kadhaa ambazo zilikuwa zinamalizika jana.
Kwa wiki tatu sasa, Askofu Gwajima amekuwa gumzo katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii baada ya kuitwa na kuhojiwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kutoa maneno ya kashfa hadharani dhidi ya Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Katika mfululizo huo, Gwajina alianguka na kuzimia wakati akihojiwa na polisi katika Kituo Kikuu cha Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam na baadaye kulazwa Hospitali ya TMJ kabla ya kuruhusiwa na kutoka huku akitumia kiti cha magurudumu cha kubebea wagonjwa (wheelchair).
Askofu Gwajima baadaye aliibukia katika kanisa lake na kuongoza ibada katika Sikukuu ya Pasaka, akiwa katika kiti chake cha matairi na baadaye jioni aliweza kusimama na kutembea baada ya kuombewa na wachungaji kutoka nchini Japan ambao walikuja nchini kwa ajili ya kumjulia hali.

Rose Ndauka asema baada ya kanumba kufariki bongo movie hakuna competition

$
0
0
 
Kama wewe ni Mmoja wa Wapenzi wa Filamu za Nchini Tanzania na unafuatilia Vizuri basi utakubaliana na Rose Ndauka Kwamba Baada ya Kufariki STEVEN KANUMBA
Rose Ndauka Ameongea na @DjHaazu na kusema Steven Kanumba aliipigania sana Tasnia ya Filamu Nchini Tanzania Haswa kwa jitihada zake kukuza Wasanii wenzake ambapo kwa Moyo wake kwa kushirikiana na Wasanii wenzake Waliifikisha Sanaa ya Filamu Tanzania Hapo ilipo ila hadi sasa Hakuna Hatu Nyingine ambayo Wasanii wa Filamu Tanzania Wamepiga Zaidi ni Kuporomoka kwa Kiwanda cha Bongo Movie TZ.
Hta hivyo Rose ambaye yuko kwenye Tasnia ya Filamu Nchini Tanzania kuanzia Mwaka 2007 Amesema Wao Kama Wasanii kwa sasa wanatakiwa kushikamana na kufanya Mabadiliko ili Kuendeleza Kile alichokuwa anakifanya ambacho ilikuwa Kuhakikisha Sanaa ya Tanzania Inajulikana Kimataifa Zaidi.
Cha mwisho amewataka Watanzania na Wadau wao Kuendelea Kuwashika Mkono kwa kuwapa Support Japo pia ainawezekana kuna Wakati wamewadissapoint.
SIKILIZA FULL INTERVIEW YA ROSE NDAUKA click link HII---> https://www.hulkshare.com/rs95o5svm48w
Inline image
Steven Charles Kanumba Tarehe 8 Januari 1984, Shinyanga na Kufariki Tarehe 7 Aprili 2012) alikuwa msanii wa maigizo na filamu kutoka nchini Tanzania. Katika historia ya tasnia ya filamu nchini Tanzania, Kanumba ndiye aliyekuwa msanii wa kwanza nchini kufanya kazi nje ya nchi na kuweza kuwavuta wageni kutoka nchi mbalimbali kuja kuigiza Tanzania. Hasa walikuwa Wanigeria kama vile Mercy Johnson, Emmanuel France, Nkiru Silvanus, Ramsey Nouah, na wengine wengi tu. Kanumba pia ameweza kuwaleta waongozaji filamu kadhaa was Kinigeria nchini

Lulu katika Bifu jipya na mama Kanumba, wote wafunguka na kusema haya.

$
0
0
HALI ni mbaya! Staa wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mama wa aliyekuwa nyota wa fani hiyo, Steven Kanumba, Flora Mtegoa wamefikia pabaya baada ya mama huyo kumshushia Lulu maneno  makali na ya shutuma, Amani lina taarifa.

Habari zilizojiri ndani ya chumba cha habari cha gazeti hili zinadai kuwa, mama Kanumba amemlalamikia Lulu kwamba, amemtupa na kumtenga tofauti na zamani ambapo uhusiano wao ulikuwa kama wa mama na binti yake.
“Jamani habari nzito kwa sasa ni mama Kanumba na Lulu. Mama Kanumba anamshutumu Lulu kwa kumtenga. Anasema ni miezi mitano sasa Lulu hajafika nyumbani kwake wala kuwasiliana naye kwa simu,” kilisema chanzo kimoja.
Kikaendelea: “Hivi kesho (Jumanne iliyopita), ni Kanumba Day. Imepangwa kufanyika Dar West (Dar), inawezekana Lulu asiende au Mama Kanumba asiende. Lakini hata kama watakwenda na wakakutana, watachekeana kwa jino pembe lakini uhusiano wao si mzuri jamani.”

MAMA KANUMBA ATAFUTWA
Ili kupata usahihi wa madai hayo, Amani lilimsaka mama Kanumba kwa njia ya simu ambapo alipopatikana alikuwa na haya ya kusema:“Lulu si Lulu yule jamani. Lulu sasa hivi amebadilika. Awali aliniambia hatanitupa, lakini sivyo. Lulu siku hizi haji kunisalimia wala hanipigii simu.”
ANACHOAMINI YEYE
“Imefika mahali nawaza kwamba, huenda alipenda Kanumba aondoke ili yeye apate mafanikio makubwa aliyonayo sasa. Lulu amenitenga, amenitenga, amenitenga!”
MANENO YA MAMA KANUMBA KABURINI KWA KANUMBA
Juzi, Jumanne, ambayo ilikuwa siku ya kuadhimisha mwaka wa tatu tangu kifo cha staa huyo, mama huyo alishiriki kwa kwenda kwenye Makaburi ya Kinondoni jijini Dar kwa lengo la kusafisha kaburi la mtoto wake. Baada ya zoezi la kusafisha kaburi kumalizika, mama Kanumba aliongea na Amani na kuyasema haya:
“Nasikitika sana namna ambavyo Lulu amekuwa tofauti na maneno yake ya zamani kwamba atakuwa sambamba na mimi katika kuadhimisha kumbukumbu ya Kanumba. Lakini leo kama hivi, hajatokea.
“Pia nasikitishwa na kitendo cha kufanya bethidei ya mdogo wake jana (Jumatatu usiku) kule Posta wakati anajua ndiyo usiku ambao Kanumba alifariki dunia.

“Mbaya zaidi, akiulizwa na watu kwa nini sasa hivi hayupo sambamba na mimi kama zamani, anajibu majibu ambayo hayaeleweki. Kumbe maneno yake ya zamani kwamba atakuwa sambamba na mimi yalikuwa ya usaliti.
“Kwa hiyo na mimi sasa nimeamua kubaki peke yangu kama nilivyo, nitaendelea kumuenzi Kanumba mwanangu kwa sababu mimi ndiyo mama yake kwa hiyo nalia peke yangu.”
LULU ALITOA AHADI YA UONGO
Katika mazungumzo yake, mama Kanumba alikwenda mbali zaidi kwa kusema: “Kuna siku aliahidi kwamba atajengea picha ya Kanumba ikiwa ndani ya kioo na kuiweka juu ya kaburi, hajafanya hivyo. Nitafanya mwenyewe.“Labda amepuuza kwa vile anajiona anazidi kukua kisanii, ni supastaa ndiyo maana anatoa ahadi za uongo.”
ALICHOKISEMA LULU SASA
Lulu alipotafutwa juzi ili kuzungumzia malalamiko ya mama mkwe wake huyo, hakupatikana lakini wiki iliyopita alizungumza na paparazi wetu kuhusu mtazamo wa maisha yake kwa jumla ambapo alisema:“Mimi kwa sasa hivi nina mtazamo mwingine kabisa kuhusu maisha. Kwanza sidhani kama nitamwaga machozi tena kuhusu Kanumba maana nimelia sanasana.“Mtu ambaye naweza kumlilia ni mama yangu (Lucresia Karugila) na mdogo wangu. Lakini si mtu mwingine. Kwa sasa naangalia zaidi familia yangu.”

TUJIKUMBUSHE KIDOGO
Kanumba alifariki dunia Aprili 7, 2012 kwa kuanguka katika mazingira yaliyodaiwa yalitokana na ugomvi kati yake na Lulu. Tukio hilo lilitokea nyumbani kwa Kanumba, Sinza ya Vatcan, Dar.
Baada ya kifo hicho, Lulu alikamatwa na kuwekwa mahabusu ya Segerea jijini Dar na baadaye kuachiwa kwa dhamana.
Baada ya kutoka mahabusu, yeye na mama yake walimfuata mama Kanumba na kuomba msamaha ambapo mama huyo aliupokea na kusema anamwona Lulu kama mtoto wake na yote ya nyuma yamepita. Kuanzia hapo, Lulu na mama Kanumba wamekuwa na ukaribu wa kindugu huku kila mwaka wakifanya kumbukumbu ya Kanumba pamoja.
Katika kumbukumbu ya juzi, Lulu hakutokea  na mama Kanumba alisema hajapewa taarifa yoyote. Lulu alipotafutwa kwa simu ili kumsikia anasema nini kuhusu kutotokea makaburini, hakuwa hewani!

Credit: Global Publishers



Rose Ndauka adaiwa kua mchepuko wa Sheta, wanaswa hotel Morogoro.

$
0
0
KIMESANUKA! Mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nurdin Bilal maarufu kama Shetta anadaiwa kulala chumba kimoja na staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka katika hoteli iitwayo Kingway iliyoko mkoani Morogoro mwishoni mwa wiki iliyopita.
Staa wa filamu Bongo, Rose.
Chanzo makini kinachofahamu kwa undani kinachoendelea baina ya mastaa hao wawili, kimelidokeza gazeti hili kuwa tukio hilo lilijiri wakati wakielekea katika shughuli za mazishi ya muasisi wa Kundi la Tip Top Connection, Abdul Bonge aliyezikwa kijijini kwao Mkuyuni mkoani humo, ambako watu wengi maarufu walihudhuria.
“Si unajua mastaa kibao walikuwepo kwenye ule msiba, basi Rose na Shetta nao walikuwepo na wakati wa kwenda Mkuyuni, walipanda gari la Shetta hadi Morogoro mjini ambako walichukua chumba na kulala wote hadi kesho yake walipohudhuria mazishi na kurejea Dar es Salaam,” kilisema chanzo hicho.
Ili kushibisha maelezo yake, mtoa habari huyo alilitumia gazeti hili video ya wawili hao wakiwa ndani ya gari la Shetta inayomuonyesha Rose akiimba nyimbo mbalimbali za mkali huyo anayetamba na kibao chake kipya cha Shikorobo ambacho video yake imefanywa na mtayarishaji anayetamba nchini kwa sasa, Godfather wa Afrika Kusini.
Mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nurdin Bilal maarufu kama Shetta.
Hata hivyo, haikuweza kufahamika mara moja kama uhusiano wa wawili hao ni wa siku nyingi au umeanza hivi karibuni, ingawa gazeti hili linafahamu kuwa Shetta ni mume wa mtu akiwa amezaa naye mtoto mmoja.
Amani lilimtafuta Shetta na kufanikiwa kumpata kwa njia ya simu yake ya mkononi na aliposomewa mashtaka, kwanza alicheka na kusema kuwa ni kweli alikuwa msibani na alirejea Dar akiwa na Rose katika gari lake.
“Ninachoweza kusema ni kuwa ni kweli nilimpa lifti Rose wakati tunaenda kwenye mazishi ya Bonge. Kulikuwa na magari mengi ambayo mtu yeyote angeweza kupata lifti na ni kweli pia tulilala Morogoro, ilikuwa ni hoteli moja lakini kila mtu alilala chumba chake, siwezi kujihusisha na hayo mambo, mimi nina familia,” alisema msanii huyo ambaye pia aliwahi kutamba na kibao cha Kerewa, alichomshirikisha Diamond.
Kwa upande wake, Rose Ndauka alipoulizwa kuhusu suala hilo, kwanza alishtuka na kuuliza zilikopatikana habari hizo kabla ya kukiri ukweli kuwa alipanda gari la Shetta na wote kulala hoteli moja mjini Morogoro, lakini kila mtu na chumba chake.
“Halafu nisingependa kuandikwa andikwa kila siku kwa mambo hayo, unajua kama mimi nina mtu wangu? Andikeni halafu tutaonana mahakamani, maana naona lengo lenu ni kuniharibia,” alisema Rose.
credit: Global Publishers

Download Dayna Nyange Ft. Nay Wamitego - Nitulize

Breaking News: Mgomo wa Madereva Waanza Asubuhi ya Leo Sehemu Mbalimbali Nchini

$
0
0

Mgomo  wa  Madereva  umeanza  rasmi  leo  katika  maeneo  mbalimbali   nchini kama ambavyo muungano wa madereva wa vyombo vya usafiri waliahidi wakidai kutotatuliwa kero zao na serikali.
Sababu  kubwa  ya  madereva  hao  kugoma  ni  kuishinikiza  serikali  kuweka  mfumo  mzuri  wa  ajira  na  kupinga  kanuni  inayowataka  kurudia  kusoma  katika  chuo  cha  taifa  cha  usafirishaji,NIT  kila  leseni  zao  zinapokwisha  muda. 
Madereva  hao  wanadai  malalamiko  yao  makubwa  ni  kitendo  cha  Serikali  kuongeza  kifungu  kidogo  katika  sheria  mpya  ya  mwaka  2015  namba 31  inayowataka  madereva  wote  wenye  leseni  za  madaraja  E,C1,C2,C3  na  C kurudi  darasani  kila  baada  ya  miaka  mitatu  kuongeza  utaalamu  katika  fani  hiyo  ya  udereva  ili  kupunguza  ajali  za  mara  kwa  mara  zinazotokea. 
 
Umati wa abiria wakiwa kwenye kituo cha daladala cha Darajani-Ubungu huku kukiwa hakuna daladala yoyote inayofanya kazi baada ya kutokea kwa mgomo wa madereva wa Daladala jijini Dar.
 
Baadhi ya abiria wakiwa wamepanda magari ya mizigo baada ya kukosekana kwa daladala maeneo yote ya jiji la Dar es Salaam leo asubuhi.
Mmoja wa abiria akiongea na dereva wa kibasi kidogo kuangalia kama kuna uwezekano wa kupata usafiri maeneo ya Mwenge jijini Dar.
Katika kituo cha mabasi cha Mpakani eneo la Mwenge zilionekana Bajaj zikipakia na kushusha abiria baada ya madereva kuingia kwenye mgomo leo asubuhi.

Shamsa Ford Akana Kata Kata Kutoka na Nay wa Mitego Kimapenzi

$
0
0
Msanii  wa  Filamu  Nchini, Mwanadada  Shamsa Ford  amekana  kuwa  na  uhusiano  wa  kimapenzi  na  mwana  hip hop,Elibarik  Emamanuel 'Nay wa Mitego' na  kuweka  wazi  kuwa  wako  mbioni  kuachia  filamu  yao  mpya  ya  Manyaunyau.

Akizungumza  na  mtandao  huu  juzi,Shamsa  alisema, kinachoendelea  kwa  sasa  kwenye  mitandao  ya  kijamii  ni  Promosheni  kwa  ajili  ya  ujio  wa  filamu  hiyo  waliyoshirikiana,iliyopangwa  kutoka  mwanzoni  mwa  mwezi Mei mwaka  huu.

"Hatuna  uhusiano  wa  namna  hiyo  zaidi  ya  uhusiano  wa  kikazi, kwani  tumeshirikiana  kuandaa  filamu  yetu  itakayofahamika  kwa  jina  la  Manyaunyau  na  tupo  katika  hatua  za  mwisho  kabisa  na  mashabiki  wakiiona  ndo  wataamini  nini  kilikuwa  kinaendelea  kati  yetu," alisema.


Alisema  jina  la  filamu  hiyo  limetolewa  na  Nay  mwenyewe  kutokana  na  aina  ya  filamu  yenyewe  ambayo  inalenga  familia 7 zinazoishi  katika  mvurugano,zikiwa  kwenye  maisha  ya  hali  ya  kati.

Tumia Bidhaa za AFRICAN BEAUTY PRODUCTS Kupata Muonekano wa Kupendeza kwa Kuongeza Hips, Makalio, Mapaja, Kurefusha Nywele na Mengine

$
0
0

Je unataka Kuwa Mrembo na Muonekano wa Kupendeza kwa Kuongeza Hips, Makalio, Mapaja, Kurefusha Nywele, Kupunguza Unene na Kuondoa Tumbo? Basi African Beauty Products Wanakuletea Hii:
Kabla ya Kutumia Dawa na Baada ya Kutumia Dawa zetu
1.Kuongeza Hips Makalio na Mapaja 100,000/
2.Kunenepesha Miguu iwe chupa ya Bia 70,000/
3.Kuwa Mnene Mwili Mzima 80,000/
4.Kupunguza Tumbo na Nyama Uzembe 80,000/
5.Kupunguza ama Kuongeza Maziwa 60,000/
6.Kuwa Mweupe na Soft Mwili Mzima 100,000/
7.Kuondoa Chunusi na Madoa 60,000/
8.Kuondoa Michirizi na Mabaka 70,000/
9.Kupunguza Unene Mwili Mzima  80,000/
10.Kuongeza urefu na unene wa Uume 90,000/
 
Bidhaa Zetu ni Uhakika Matokeo  Ndani ya Week Moja..
Tuwasiliane kwa Simu Namba:
0756697906 ,0716805391 au 0783300397
 
Kwa watu wa Dar es Salaam Utaletewa Popote Ulipo ..Kwa Watu wa Mikoani tunatuma kwa Basi

ZITTO AMLIPUA RUGEMALIRA WA ESCROW

$
0
0
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameeleza kushangazwa na hatua ya Serikali kuwapatia kazi ya ujenzi wa Bandari ya Mwambani mkoani Tanga watuhumiwa wa sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow.http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2012/07/Zitto-Kabwe.jpg
Amesema watuhumiwa hao wamepewa kazi hiyo kupitia Mradi wa Mwambani Economic Corridor (MWAPORC), ambao utagharimu Sh trilioni 54, huku kukiwa hakuna taratibu za utangazaji wa zabuni zilizofuatwa na Serikali.
Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akihutubia mikutano ya hadhara iliyofanyika katika miji ya Mafinga na Iringa mkoani hapa ambapo alisema Serikali imeipa kazi ya ujenzi Kampuni ya VIP Engineering and Management inayomilikiwa na James Rugemalira ambaye anahusika katika sakata la Escrow.
Zitto alisema ACT-Wazalendo wanamtaka Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta afanye uchunguzi kuhusu mradi huo wa Mwambani na achukue hatua kwa kile alichodai kuwa utapeli wa watu wa Escrow.
“Mwambani Economic Corridor Project hapakuwa na zabuni yoyote iliyotangazwa, na huu mradi umekuwa ukiandaliwa na Serikali. Sheria ya Private Public Partnership (PPP) imeweka utaratibu wa zabuni kwa miradi ya ubia na Serikali.
“Taratibu hazijafuatwa, hakuna zabuni iliyotangazwa kuhusu Bandari ya Mwambani, miradi mikubwa kama hii Serikali hutakiwa kutoa ‘guarantee’ kwa mikopo ambayo inachukuliwa.
“Hivyo kuhusika kwa Rugemalira wa Escrow na mwanasheria Cathbert Tenga wa Richmond kwenye mradi huu ni mwendelezo wa miradi ya kitapeli,” alisema Zitto.
Zitto ambaye pia alikuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), alisema uzito wa mradi huo wa bandari unakwenda sambamba na reli ambayo itafika hadi Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC).
Alimtaka Waziri Sitta kutoa taarifa kwa umma kwa kuwa taifa limechoshwa na miradi ya kitapeli.
MWANASHERIA ATOA UTETEZI
Akitoa taarifa kuhusu mradi huo hivi karibuni, msimamizi wa mradi huo ambaye pia ni Mwanasheria mashuhuri nchini, Cathbert Tenga, alisema utamilikiwa na Watanzania wenyewe na si watu kutoka nje ya nchi kama ilivyo katika miradi mingine.
“Sisi hivi sasa tunahangaika kuhakikisha nchi hii inasonga mbele kwani mradi huu hivi sasa upo katika hatua za awali za upembuzi yakinifu kwa kuwa na timu ya wataalamu, na ili jambo hili liweze kusonga mbele ni lazima siasa ziepukwe,” alisema Wakili Tenga.
Alisema kutokana na juhudi wanazoendelea nazo hadi sasa wamefanikiwa kupata benki ya Afrika Kusini, DBSA, ambayo itafanya kazi katika mradi huo mkubwa nchini.
Tenga alisema mradi huo wa MWAPORC utakuwa ni moja ya nguzo kwa uchumi wa taifa ikiwa Serikali itaamua ufanyike kwa kuwaunga mkono Watanzania wazalendo badala ya kujali wageni pekee.
MWIGAMBA NA UMASKINI
Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Samson Mwigamba, alisema hali ya umaskini nchini imezidi kuongezeka huku viongozi wakiendelea kuponda maisha.
“Wakati Rais Jakaya Kikwete anaingia madarakani mwaka 2005 hali ilikuwa mbaya, lakini bado watu walikuwa na matumaini ya kurekebishiwa hali zao, leo anakaribia kumaliza kipindi chake cha uongozi, uchumi bado unamilikiwa na watu wachache.
“Tanzania ni nchi pekee inayochimba madini ya tanzanite, mazao yao Mirerani ni madini, lakini bado Serikali ilichukua ule mgodi na kuwapa makaburu kutoka Afrika Kusini huku Watanzania wakibaki watazamaji. Pia walikuwa wakichimba huku wakiweka maji yenye sumu huku Watanzania wakiendelea kufa kwa Ukimwi na njaa,” alisema
Mwigamba.
Alisema pamoja na tanzanite kuchimbwa nchini, lakini nchi ya Afrika Kusini imekuwa ya kwanza katika soko la dunia kwa kuuza madini hayo ikifuatiwa na Kenya huku Tanzania ikishika nafasi ya tisa.
Source:  Gazeti la Mtanzania

Diamond ampiga mkwara Zari, ni kuhusu ishu hii ya mtoto wao.

$
0
0
Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amemzuia mama kijacho wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kwenda kujifungulia nje ya Bongo pindi mambo yatakapokuwa tayari.
                            
Mama kijacho wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’.
Habari zilizonyakwa na Ijumaa Wikienda kutoka kwenye chanzo cha ndani ya familia ya Diamond zilieleza kwamba, tayari jamaa huyo amemuanzishia Zari kliniki Bongo.

Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na mama kijacho wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’.
“Yaani Diamond hataki kabisa Zari kwenda kujifungulia South Africa (Sauzi). Anataka kila kitu kifanyike hapahapa Bongo. Tayari amemuanzishia kliniki kwenye Hospitali ya AMI (ipo Masaki, Dar),” kilitonya chanzo hicho.
Akizungumzia ishu hiyo, Diamond alisema kuwa anatamani kuwa karibu na mama kijacho wake huyo hivyo ni kweli anataka mwanadada huyo ajifungulie Bongo.
Diamond au Baba Kijacho alisema lengo la kufanya hivyo ni ili iwe shangwe kwa familia nzima tofauti na atakapojifungulia nje ambapo familia italazimika kusafiri kwenda kumuona Chibu Junior.
Kwa mujibu wa Diamond, Zari ambaye ni mama wa watoto watatu akifukuzia huyo wa nne anatarajia kujifungua kati ya mwezi Julai au Agosti, mwaka huu.

Irene Uwoya Aumizwa na Maneno ya Wema, Ampongeza Wema kwa Moyo Wakishujaa

$
0
0
http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/wema4.jpg“Minashindwa kuwaelewa watu ni kwanini mnapenda sana kutaka kutoa kibanz kwenye jicho la mtu wakat kipande chamti kiko kwenye jicho lako.....nimeumia sana na maneno ya wema,mtoto anapanga MUNGU sio binadamu .....Embu mwachen mtoto wa watu sasa awenaaamani kila siku mnamsema yeye mmnazan anachuma nin Ana moyo,afu kunawatu wanapenda sana kudandia mambo ........mmedandia weweee mme mtukana mtoto wawatu minaomba niwape namba ya MUNGU mumulize yeye kwanin na mumuache mtoto wa watu!sipendag kuingilia mambo ya watu lakin imezid sasaaaaa!!!!!sio vizuri jiweken nafas yake muone kama hamjajinyonga!WEMA kiukweli unamoyo wa kishujaaa sana napenda sana mwanamke awe hivyo MUNGU ndoanamajibu yote achana nao wenye kudandia yasiyo wahusu maana watajikuta wapo kama pweza wanamiguu lakin kusimama hawawez.....”-Irene Uwoya ameandika kwenye ukurasa wake mtandaoni.
Hii ni baada ya Wema hivi majuzi kufunguka mtandaoni kuwa anatamani sana kuwa mtoto lakini huwezo  hana.

Tumia Bidhaa za AFRICAN BEAUTY PRODUCTS Kupata Muonekano wa Kupendeza kwa Kuongeza Hips, Makalio, Mapaja, Kurefusha Nywele na Mengine

$
0
0

Je unataka Kuwa Mrembo na Muonekano wa Kupendeza kwa Kuongeza Hips, Makalio, Mapaja, Kurefusha Nywele, Kupunguza Unene na Kuondoa Tumbo? Basi African Beauty Products Wanakuletea Hii:
Kabla ya Kutumia Dawa na Baada ya Kutumia Dawa zetu
1.Kuongeza Hips Makalio na Mapaja 100,000/
2.Kunenepesha Miguu iwe chupa ya Bia 70,000/
3.Kuwa Mnene Mwili Mzima 80,000/
4.Kupunguza Tumbo na Nyama Uzembe 80,000/
5.Kupunguza ama Kuongeza Maziwa 60,000/
6.Kuwa Mweupe na Soft Mwili Mzima 100,000/
7.Kuondoa Chunusi na Madoa 60,000/
8.Kuondoa Michirizi na Mabaka 70,000/
9.Kupunguza Unene Mwili Mzima  80,000/
10.Kuongeza urefu na unene wa Uume 90,000/
 
Bidhaa Zetu ni Uhakika Matokeo  Ndani ya Week Moja..
Tuwasiliane kwa Simu Namba:
0756697906 ,0716805391 au 0783300397
 
Kwa watu wa Dar es Salaam Utaletewa Popote Ulipo ..Kwa Watu wa Mikoani tunatuma kwa Basi

New AUDIO | Bushoke - NimeKumanya | Download/Listen


Kisa cha Wema Sepetu Kilichomfanya Aandike Ujumbe wa Kusikitisha Kuwa Hana uwezo wa Kuzaa Hichi Hapa

$
0
0
Ilianza Hivi:
Muigizaji maarafu wa filamu nchini Tanzania,Wema Sepetu alizomewa kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram baada ya kuweka picha ya mlimbwende Hamisa Obetto akiwa mjamzito na kuandika maneno ya mshangao

”Jamani my mdogo umezaa.!wewe ni mwanamke sasa”.

Ujumbe huo ulizusha tafrani kwa baadhi ya watu na kumjibu Wema kwa maneno makali yenye kebehi ya kwa nini yeye hazai anakaa kushabikia watoto wa wenzie tu.
Gumzo hilo lilifwata mkondo tofauti pale ambapo mchumba wake wa zamani mwanamuziki Diamond Platinum akitarajia kupata mtoto na bi.Zari kutoka Uganda ambaye ni mpinzani wake mkubwa Wema.

Wema Sepetu aliweza kujibu tuhuma hizo kwa kusema yeye si mpanga wa yote,''ningekuwa na uwezo wa kuzaa angezaa siku nyingi ila ni Mungu ndiye anapanga'',

Alisema kuwa ''nimekuwa nikihangaika kupata mtoto usiku na mchana''

aliongezea kusema kuwa si rahisi kwa yeye kuwaambia kila kitu,kwani yeye pia ni binadamu na kuwa
''anaumia sana na maneno makali watu wanayoandika au kusema kumhusu''.
Ujumbe wa simanzi kutoka kwa muigizaji huyo ulirudiwa na baadhi ya waigizaji kama Iren Uwoya na mashabiki wengine
ukionya tabia ya watu kutoa matusi makali kwa Wema bila kuangalia upande wa pili,maana siku hizi kuna team kwenye mtandao pia zikijiita team Wema na Team Zari

Tumia Bidhaa za AFRICAN BEAUTY PRODUCTS Kupata Muonekano wa Kupendeza kwa Kuongeza Hips, Makalio, Mapaja, Kurefusha Nywele na Mengine

$
0
0

Je unataka Kuwa Mrembo na Muonekano wa Kupendeza kwa Kuongeza Hips, Makalio, Mapaja, Kurefusha Nywele, Kupunguza Unene na Kuondoa Tumbo? Basi African Beauty Products Wanakuletea Hii:
Kabla ya Kutumia Dawa na Baada ya Kutumia Dawa zetu
1.Kuongeza Hips Makalio na Mapaja 100,000/
2.Kunenepesha Miguu iwe chupa ya Bia 70,000/
3.Kuwa Mnene Mwili Mzima 80,000/
4.Kupunguza Tumbo na Nyama Uzembe 80,000/
5.Kupunguza ama Kuongeza Maziwa 60,000/
6.Kuwa Mweupe na Soft Mwili Mzima 100,000/
7.Kuondoa Chunusi na Madoa 60,000/
8.Kuondoa Michirizi na Mabaka 70,000/
9.Kupunguza Unene Mwili Mzima  80,000/
10.Kuongeza urefu na unene wa Uume 90,000/
 
Bidhaa Zetu ni Uhakika Matokeo  Ndani ya Week Moja..
Tuwasiliane kwa Simu Namba:
0756697906 ,0716805391 au 0783300397
 
Kwa watu wa Dar es Salaam Utaletewa Popote Ulipo ..Kwa Watu wa Mikoani tunatuma kwa Basi
UMEZISOMA

Hatimaye Mwigizaji SHAMSA FORD Atoboa Kuwa Nay ndio “EndlessLove” Wake

$
0
0
Staa mrembo wa Bongo Movies Shamsa Ford ambae siku za hivi karibuni alikanusha waziwazi alipokuwa akihojiwa na vy mbo mablimbali vya habari juu ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi wa Staa Nay wa Mitego hatimaye jana kupitia ukurasa wake mtandaoni alibandikaa picha yake pamoja na ya Nay ankuandika maneno ya kimahada yaliyosomeka “Miss u so much my endlesslove.”

Kitendo ambacho kinathibitisha kuwa wawili hawa wapo kwenye penzi moto moto

Siku za hivi baribuni zilisambaa picha za wawili hawo wakiwa wanadendeka wadaku wakahisi wa wili hawo wanatoka lakini Shamsa alijitokeza na kusema kuwa hao wapo kwenye project ambayo itatoka hivi karibuni na kusisitiza Nay ni binamu  yake.

Nadhani hapa sasa anataka tuamni kale kamsemo ka binamuu……

Diamond Asimulia Alivyojifanya Z-Anto Na Kula Vya Bure

$
0
0
Neno ‘Impersonator’ ni neno linalotosha kumtisha msanii yeyote. Unaposikia kuwa kuna mtu anatumia jina lako kupata vya bure inaweza ikawa ‘Police Case!’ Lakini, je unafahamu kuwa Diamond alishawahi kujifanya Z-Anto akapendwa na mrembo fulani aliyedhani yeye ni Z-Anto?

Kabla Diamond hajakuwa Platnumz, kabla hajapata umaarufu alionao sasa, Z-Anto ndiye aliyekuwa akitikisa ‘airwaves’ na ngoma kama ‘Mpenzi Jini’ pamoja na hit iliyomvukisha mipaka, ‘Binti Kiziwi.’ Wakati huo wasanii wengi Afrika Mashariki walivuma sana kwenye Radio kabla hata kufikiria kutoa Video. Nyimbo za Z-Anto zilitamba lakini wachache sana walijua sura yake ikoje.

Hii ndiyo ilimpatia Diamond ‘opportunity’ ya kujifanya Z-Anto na kula vya bwerere kutoka kwa waliodhania yeye ni Z-Anto. Akiongea katika Heka Heka za kipindi cha ‘Leo Tena’ kwenye Clouds FM, Diamond alifichua kuwa, “Unajua mara ya kwanza niliogopa….lakini baada ya kuona kila mtu niliyekutana naye ananiamini halafu kulingana na nakula vitu kiubwete nikajifanya Z-Anto.”
Swali ni je, alikuja kugunduliwa na kuchukuliwa hatua yeyote? Au je, Z-Anto aliipata hii habari? Hauhitaji kujiuliza ilikuaje, ingia kwenye channel yetu ya Mseto East Africa hapa upate uhondo kamili utakaokuchekesha na kukushangaza sana ;

INASIKITISHA SANA: Mwanadada LULU afiwa na mpenzi wake LEO siku ya birthday yake

$
0
0


Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa mwanadada Elizabeth Michael – LULU ambaye leo anatimiza miaka 20 ya kuzaliwa amepata piga jingine baada ya kufiwa na mpezi wake aliyefahamika kwa jina la Seki (Pichani) aliyekuwa akiishi jijini Mwanza.
Badi hatujapata taarifa kamili juu ya sababu ya  kifo chake ila tutaendelea kuwajulisha pindi zitakapotufikia.
https://igcdn-photos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/t51.2885-15/11142782_1428118147491034_190048061_n.jpg
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amina.
Pole sana Lulu. Mungu akutie nguvu.
Viewing all 3623 articles
Browse latest View live