Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Viewing all 3623 articles
Browse latest View live

Sakata la Emmanuel Mbasha Kubaka: Daktari Atoa Ushahidi Mahakamani, Asema Vipimo Havikuonyesha Dalili yoyote ya Msichana Huyo Kubakwa

$
0
0
Shahidi wa nne katika kesi ya tuhuma za ubakaji inayomkabili Emmanuel Mbasha, mume wa mwanamuziki wa nyimbo za injili, Flora Mbasha, jana alidai mahakamani kuwa hakuona dalili zozote za kuingiliwa kimwili mlalamikaji.

Hayo yalidaiwa na daktari wa Hospitali ya Amana, Migole Mtuka, ambaye alimfanyia vipimo msichana huyo.

Daktari huyo alidai katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwamba vipimo alivyomfanyia msichana huyo anayedaiwa kubakwa na Mbasha, havikuonyesha kitu chochote.

Dk. Migole alidai kuwa binti huyo alifika hospitalini hapo Mei 26, mwaka jana, kwa alili ya kufanyiwa vipimo.

Alidai kwamba binti huyo alipofika hospitalini hapo, alimfanyia kwanza vipimo vya macho kisha kumtaka kwenda kufanya vipimo vya maabara, ambavyo hutolewa bure.

Dk. Migole  alidai kwamba baada ya kumtaka kwenda kufanya vipimo vya maabara, akiwa na baadhi ya ndugu wa familia yake, hakwenda bali aliingia mitini na kurejea Juni 3, mwaka jana, baada siku nane kupita.

Alidai baada ya kufanyiwa hivyo, vipimo hivyo  vilionyesha kuwa hakuna kitu chochote alichofanyiwa, kwa maana ya kubakwa au kuingiliwa na mwanamume katika mwili wake na kuwajazia fomu aina ya PF3 kwa kile alichokiona.

Binti huyo hakuonekana kuwa na ujauzito, maambukizi ya virusi vya ukimwi (VVU) na wala mbegu za kiume katika sehemu za siri,” alidai daktari huyo.

Hata hivyo, baada ya kutolewa ushahidi huo, Hakimu Flora  Mujaya, hawakuweza kusikiliza ushahidi mwingine kutokana na taarifa za msiba wa hakimu mwenzao, zilizofika mahakamani hapo.

Kesi hiyo itaendelea kusikilizwa kwa upande wa Jamhuri Aprili 20, mwaka huu.

Mbasha anadaiwa kuwa Mei 23 na 25, mwaka jana, alimbaka binti  mwenye umri wa miaka 17, ambaye anadaiwa ni shemeji yake  huku akijua kufanya hivyo ni kinyume cha sheria.

Mtazame Hussein Machozi Kwa Mara ya Kwanza Akiongelea Tetesi za Yeye Kuwa Amefariki Dunia

$
0
0



Jana Kila Kona kwenye mitandao kulizuka habari kuwa Hussein Machozi Amefariki Dunia kitu ambacho kumbe hakikua Kweli ..Msikilize Hussein Machozi Kwa Mara ya Kwanza akiongelea Tukio hilo na Pia habari ya yeye kukimbia Kenya Baada ya Kufumaniwa na Mke wa Mwanasiasa wa Kenya Hotelini Wakibanjuka.......

Bongo Fuse TV Inakuletea Uhondo Huo Hapa Chini:
Bonyeza Play

WATU 10 WAFARIKI NA WENGINE ZAIDI YA 40 WAJERUHIWA KWENYE AJALI YA BASI LA UNIQUE NA LORI MKOANI SHINYANGA

$
0
0
 Winchi likinyanyua basi baada ya ajali ambapo watu 10 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 40 kujeruhiwa kutokana na ajali ya basi la Unique na lori kugongana uso kwa uso  mkoani Shinyanga leo.
 Zoezi la kunyanyua mabaki ya basi hilo likiendelea
Winchi likiwa kazini huku wanahabari wkirekodi tukio la kunyanyuliwa basi hilo.

CHANZO: MICHUZI BLOG

Ndoa ya Shetta imevunjika…Mke Aondoka Nyumbani Week Sasa ..Sheta Amnunulia hili Gari ili Kumrudisha

$
0
0
Wiki kadhaa sasa zimepita toka tuweke skendo ya Mwanamuziki Shetta Kulala Hotel na chumba Kimoja Huko Morogoro Walipokwenda Kwenye mazishi ya Abdul Bonge..

Sasa kilichofatia baada ya Skendo hiyo ni mke kuondoka nyumbani  baada ya skendo hiyo kuzagaa mitandaoni na magazetini na Baada ya baadhi ya watu kumzibitishia..

Shetta mwenyewe amekiri walilala Hotel moja lakini sio chumba kimoja kama watu wanavyosema ..
Shetta kwa sasa yupo katika harakati za kumrudisha mke wake nyumbani ili walee mtoto wao amemnunulia gari aina ya Toyota Mark X lakini mkewe bado amekataa kurudi nyumbani..
shettatz" Asante Mungu kwa hichi kidogo ulichonipa Mamake Qayllah na mwanangu @officialqayllah kidogo nao wajisikie raha #StriveForGreatness #ShikoroboTourLoading "

Aunt Ezekiel Atoboa Kuhusu Wasanii wa Bongo Movies Kujitengenezea ‘Skendo’

$
0
0
Staa mrembo wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘Mama Kijacho’ amesema baadhi ya wasanii wa bongo movies hawajitambui ndio maana kazi zao nyingi hazina mvuto  badala yake nguvu nyingi wameelekeza kubuni skendo wakitarajia ndio zitawatoa kisanaa.

Alisema wasanii wengi wanatumia muda mwingi kutafakari jinsi ya kutengeneza skendo ili watume kwenye mitandao na kuandikwa kwenye magazeti lakini hawana ubunifu  wa kutengeneza filamu zenye ushawishi kwenye jamii.

Aunt ambae kwenye filamu ya Chozi la Wanjaa amecheza kama mke wa Dude alisema kwamba endapo wasanii wanaofanya mchezo huo hawata badilika ni ukweli usiopingika  kwamba soko la filamu  inchni litaendelea kudumaa kama ilivyo sasa.

Ni ukweli kwamba baadhi ya wasanii wa filamu hawajitambui kwani akili yao wameelekeza kwenye kutengeneza skendo badala ya kubuni namna ya kuigiza filamu ambazo zinaweza kuwa na mvuto kwenye jamiiinayoziangalia kinyume na hapo tutaendelea kusaka wachawi wanaoua soko letu’- Aunt Ezekiel alilieza gazeti la Filamu

Mdau una maoni gani juu ya hoja hii ya wasanii kutengeneza skendo, je ni kweli? Msanii gani unahisi ndio kazi yake.

Tumia Bidhaa za AFRICAN BEAUTY PRODUCTS Kupata Muonekano wa Kupendeza kwa Kuongeza Hips, Makalio, Mapaja, Kurefusha Nywele na Mengine

$
0
0

Je unataka Kuwa Mrembo na Muonekano wa Kupendeza kwa Kuongeza Hips, Makalio, Mapaja, Kurefusha Nywele, Kupunguza Unene na Kuondoa Tumbo? Basi African Beauty Products Wanakuletea Hii:
Kabla ya Kutumia Dawa na Baada ya Kutumia Dawa zetu
1.Kuongeza Hips Makalio na Mapaja 100,000/
2.Kunenepesha Miguu iwe chupa ya Bia 70,000/
3.Kuwa Mnene Mwili Mzima 80,000/
4.Kupunguza Tumbo na Nyama Uzembe 80,000/
5.Kupunguza ama Kuongeza Maziwa 60,000/
6.Kuwa Mweupe na Soft Mwili Mzima 100,000/
7.Kuondoa Chunusi na Madoa 60,000/
8.Kuondoa Michirizi na Mabaka 70,000/
9.Kupunguza Unene Mwili Mzima  80,000/
10.Kuongeza urefu na unene wa Uume 90,000/
 
Bidhaa Zetu ni Uhakika Matokeo  Ndani ya Week Moja..
Tuwasiliane kwa Simu Namba:
0756697906 ,0716805391 au 0783300397
 
Kwa watu wa Dar es Salaam Utaletewa Popote Ulipo ..Kwa Watu wa Mikoani tunatuma kwa Basi
UMEZISOMA

Video:Shilole Amwaga Tena Ung'eng'e..Hii Sasa Wanajibishana Na Mziwanda

Diamond, Ney wa Mitego Wakesha Siku Saba

$
0
0

NYOTA wa muziki Afrika Mashariki na Kati, Nasib Abdul ‘Diamond’ na Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, wametumia siku saba kukesha studio kurekodi wimbo wao mpya wa ‘Mapenzi au Pesa’.
Wimbo huo ulioanza kusikika hivi karibuni, Diamond na Ney wameshirikiana kwa mara ya pili baada ya wimbo wa ‘Muziki gani’.

Ney alisema ‘Mapenzi au Pesa’ ni wimbo wa kwanza kuukeshea studio na kupata usingizi kidogo kwa siku saba mfululizo.

“Kwa mara ya kwanza tangu nianze kuimba muziki, wimbo huu umenifanya nikae macho siku saba tofauti na nyimbo nyingine nilizofanya, mashabiki umewagusa hasa waliopo kwenye uhusiano wa kimapenzi,” alisema Ney wa Mitego.

Video: Diamond Akiwa BBC Redio ya Uingereza....Msikie Hapa Akivunja Yai

$
0
0
"Just a few minutes ago I was at the BBC Radio @1xtra... thank you so much for having me on your Show bro @Iamdjedu I'm humbled...."-Diamond

Siku Mashetani Yangu Yakinipanda Nitawambia Kitu-Kitale

$
0
0

Hii ni moja ya picha iliyosabisha mafuriko ya COMMENTS na LIKES mtandaoni. Hao ni mastaa wa bongo, Kitale ‘mkudesimba’ na Vj Penny.

Kitale alibandika picha hii kwenye ukurasa wake na kuiandikia “Kuna siku mashetani yng yakinikalia vibaya nitawambia kitu” kisha kum- tag penny na kumalizia naneno haya….UfundiPelekaVeta ….MapenziAuPesa.

Mashbiki wengi walishusha komenti za kumtaka Kitale awambie hicho kitu, huku wengine wasimshauri achukue mrembo penny kwani watatengeneza bonge la COUPLE.

Kiufupi kila mtu aliandika lake lakini hadi sasa Kitale hakujibu komenti hata za mashabiki hao, tuendelee kuisubili hiyo siku mashetani yake yakimpanda.

Majambazi Wakamatwa Mara Baada ya Kuiba Banki

$
0
0
 "Sisi tunawaza maendeleo wengine ndo kama hivyo wanawaza kuiba.....👆👆👆👆Jamaa wamevamia NMB ya pale Bigbon-Sinza na kupiga risasi za kutosha, wakafanikiwa kutoka na fuko la hela, wakati wanakimbilia kwenye gari lao Toyota Harrier lililokuwa kwenye Parking, wakakamatwa palepale!... Angalia kama kuna mtu unamfahamu hapo."-Mrekebishatabia Instagram



Kutana na Zahara Mohamed, Staa Kike wa Bongo Movies Anaetamani Uanaume

$
0
0


Jaman why mtu anaamua kujibadilisha namna hii au kabisaaa hali yake halisi ikibidi hata jinsia yake?? pichan ni ndugu yetu anapenda kujiita @zamochambo lakini majina yake halisi ni Zahara Mohamed Chambo.

Tatizo langu ni kwamba ukimuita dada mtagombana kabisa au atakupiga mkwara ila ukimuita kaka anaitikia na mnakuwa marafiki.... anaonekana mrembo ambaye angepata mume na kujaliwa na watoto wazuri.

Ila nachopenda kutoka kwake ni mchapakazi, msanii mzuri wa filamu, producer pia mpiga picha mzuri sana.

Ila bado swali langu liko pale pale, wataalamu wa saikolojia au wanaoelewa mambo haya nisaidieni. Najaribu kuwaza unazaa mtoto wako wa kike mzuri....then baadae unasikia ni mwanaume. Au mwanao wa kiume akiwa mkubwa anasema ye mwanamke.
Tumezoea kuona kwa wazungu ila kwetu pia yapo...na tufanye tuwasaidie watoto wetu. 

 
Usimcheke au kumtukana tujue sababu na huenda tukajifunza kitu


By Mrekebishatabia  on Istagram 

Izzo Bizness, Stamna na Snura Watunukiwa Vyeti Huko Songea

$
0
0

"Naomba kutanguliza shukrani zetu kwa chuo cha AJUCO Songea kwa kututunuku vyeti vya kutukuka kupitia (CHAWAKAMA) chama cha wanafunzi wa kiswahili vyuo vikuu vya afrika mashariki. Cheti hiki ni sehemu ya kutambua na kuthamini mchango wetu ndani na nje ya chuo chenu kwa kuamini tutaendelea kuwa mabalozi wazuri wa (CHAWAKAMA) KISWAHILI NI HAZINA YA AFRIKA KWA MAENDELEO ENDELEVU." Msanii Izzo Busnes aliandika hiyo jana kwenye ukurasa wake mtandaoni.

"TOROKA UJE" BAA YA WIKI SHINDANO LA FANYAKWELI KIWANJANI"

$
0
0
Meneja Vipoozeo na mwonekano wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Bw. Baraka Mandara (Kushoto) akikabidhi zawadi ya Tisheti kwa Bw. Seth Noel(Katikati) kama sehemu ya kurudisha shukrani kwa wapenzi wa bia ya Tusker waliojumuika pamoja kwenye sherehe ya kuipongeza baa ya wiki iliyofahamika kwa jina la “Toroka uje”. Baa hiyo iliyopo Kimara-Korogwe jijini Dar es salaam iliibuka mshindi wa kwanza kwenye promosheni ya “Fanya Kweli Kiwanjani” inayodhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia bia yake chapa Tusker.(Kulia) ni Mtangazaji wa kipindi pendwa cha Ubaoni kutoka redio E-fm Bw. Gadner G. Habbash. Kampeni hii inatazamiwa kudumu kwa muda wa wiki tano huku baa zaidi ya 50 za jiji la Dar es salaam zikishindanishwa

Mtangazi wa kipindi pendwa cha Ubaoni kinachorushwa na redio E-fm Bw. Gadner G. Habbash (Kulia) akikabidhi zawadi ya Tisheti na bia kwa mpenzi wa kinywaji cha Tusker Bw. Adrian Sengebere(Katikati) wakati wa kusherekea ushindi wa baa ya “Toroka uje” iliyopo Kimara-Korogwe mara baada ya baa hiyo kuibuka kinara wa kwanza kwenye promosheni ya Fanyakweli Kiwanjani ambapo kupitia ushindi wao walifanyiwa sherehe ya nguvu na kampuni ya bia ya Serengeti kwa udhamini wa bia yake madhubuti ya Tusker iliyofunga kambi kwenye baa hiyo siku ya jumamosi na kuporomosha burudani ya nguvu kwa wateja wake huku lengo likiwa ni kukitangaza kiwanja hicho kama kiwanja bora zaidi kwa upande huo wa Kimara na kwa kufanya hivyo kuiongezea baa hiyo mapato yake. (Kushoto) ni mhudumu wa bia ya Tusker Bi. Anneth Kimaro. Kampeni hii inatazamiwa kudumu kwa muda wa wiki tano huku baa zaidi ya 50 za jiji la Dar es salaam zikishindanishwa.

Bi. Veronica Mbilinyi (Kushoto) mwakilishi kutoka Kampuni ya bia ya Serengeti akikabidhi zawadi ya Tisheti kwa Bw. Johnston Liwale kama shukrani kwa mpenzi huyo wa Kinywaji cha Tusker ambaye alijumuika na wadau wengine kwenye sherehe ya kuipongeza baa ya “Toroka uje” iliyopo Kimara-Korogwe ambapo baa hiyo iliibuka mshindi wa kwanza kwenye promosheni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na Kampuni ya bia ya Serengeti kwa udhanmini wa bia yake madhubuti chapa Tusker. Kampeni hiyo inatazamiwa kudumu kwa muda wa wiki tano huku baa zaidi ya 50 za jiji la Dar es salaam zikishindanishwa.

Bi. Anneth Kimaro (Katikati) akionyesha zawadi ya Tisheti na bia aliyokabidhiwa na mwakilishi toka SBL Bi. Veronica Mbilinyi (wa pili kulia) wakati wa sherehe ya kuipongeza baa ya wiki iliyofahamika kwa jina la “Toroka uje”. Baa hiyo iliyopo Kimara-Korogwe jijini Dar es Salaam iliibuka mshindi wa kwanza kwenye promosheni ya “Fanya Kweli Kiwanjani” inayodhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia bia yake chapa Tusker. (Kushoto) ni mtangazaji kutoka redio E-fm Bw. Gadner G. Habbash ambaye anahusika kuipatia promo kampeni hiyo kupitia kipindi chake pendwa cha Ubaoni kinachoruka siku za juma kuanzia saa tisa mpaka saa moja usiku. Kampeni hii inatazamiwa kudumu kwa muda wa wiki tano huku baa zaidi ya 50 za jiji la Dar es salaam zikishindanishwa.

Dar es salaam, 16 Mei 2015 Shindano la Fanya Kweli Kiwanjani limeanza kutimua vumbi kwa kuzishindanisha baa mbalimbali za jiji la Dar es salaam kama ilivyokua imetangazwa hapo awali.
Mapema jioni ya jana, wadhamini wanaoendesha shindano hilo Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia bia yake cha Tusker Lager wakishirikiana na kituo cha redio E-fm, walifunga kambi katika baa hiyo iliyopo Kimara-Korogwe jijini Dar na kuporomosha burudani ya nguvu huku wakitoa zawadi mbalimbali kwa wapenzi wa kinywaji cha Tusker waliojumuika kwenye hafla hiyo.
Kikubwa kilichowavutia zaidi wateja waliofika kwenye baa hiyo ni huduma nzuri ya vinywaji, vyakula, fursa ya kutuma salamu moja kwa moja kupitia redio E-fm sambamba na zawadi kutoka SBL kama Tisheti na bia za bure za Tusker zilizotolewa kwa wateja hao na mtangazaji wa E-fm Bw. Gadner kwa staili mpya iliyojulikana kama Mupe Mureke.
Mmoja kati ya wateja wa baa hiyo aliyejishindia Tisheti na bia za bure katika hafla hiyo  kwa jina la Wema Usiri (30) akizungumzia baa hiyo alisema… “Nimefurahi sana baada ya kusikia “Toroka uje” imekua baa ya kwanza kushinda promosheni hii ya Fanyakweli Kiwanjani kiukweli inastahili”. Bi Usiri aliongeza kuwa sababu kubwa inayoifanya baa hiyo kupendwa sana ni kutokana na huduma zao nzuri hasa upande wa vyakula, vinywaji sambamba na burudani za kila aina kama muziki wa bendi unaopigwa kila ijumaa na jumamosi mahali hapo. Wengine walioibuka na zawadi za bia na Tisheti ni Bwana na Bi Lema, Romana Mwikombe na Anneth Kimaro.
Kwa upande wake Meneja Vipoozeo na mwonekano wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Bw. Baraka Mandara aliyemwakilisha Meneja Chapa wa Tusker alianza kwa kuwashukuru wananchi wa Kimara-Korogwe na wapenzi wote wa Kinywaji cha Tusker waliofika kwenye hafla hiyo ili kusherehekea kwa pamoja ushindi wa baa hiyo. “Lengo kuu la Kampeni hii ni kuziwezesha baa mbalimbali za mitaa tunayoishi kufanya kweli kwa kuzitambulisha kwa wananchi ambao tunaamini kutokana na sapoti yao baa hizi zitaongeza vipato.”
Bw. Mandara aliendelea kwa kusema kuwa “Toroka uje” ndio baa ya kwanza kufungua promosheni hiyo na kuwasisitiza wapenzi wa Kinywaji cha Tusker kuendelea kupiga kura kwa wingi ili kuziwezesha baa za mitaa yao kushinda.
Promosheni hii ya “FanyaKweli Kiwanjani” ni muendelezo wa Kampeni ya Tusker “FanyaKweli” ambapo itadumu kwa takriban muda wa wiki tano huku zaidi ya baa 50 za jiji la Dar es salaam zikipewa fursa ya kushiriki kwenye shindano hilo. Kila wiki kutakua na mshindi mmoja kati ya baa 10 zitazokuwa kwenye kinyang’anyiro. Ili kuiwezesha baa ya mtaa unaoishi tembelea baa hiyo kisha burudika na kinywaji cha Tusker na piga picha nyingi uwezavyo na uipendekeze baa hiyo kwa kuweka picha hizo kwenye kurasa za jamii (Facebook na Twitter) za Tusker au kusikiliza kipindi cha ubaoni kinachorushwa na redio E-fm kati ya saa tisa hadi moja usiku ndani ya siku za juma kwa maelezo zaidi.

Penzi la Diva na GK Chali?!!!

$
0
0

Sasa ni wazi kuwa kunakila dalili kuwa penzi la kati ya Mtangazaji wa Redio, Diva na mwanamziki, King Crazy GK limefikia tamati.

Penzi la wawili hawa lilinogeshwa na mbwebwe za mwanadada Diva  huko mtandaoni kwa kwakutupia picha kadhaa akiwa na mpenziwe na kujiita Mrs GK.

Hali sasa imekuwa tofauti, kwani kwanza kabisa kwenye ukursa wake mtandaoni amefuta picha zote za GK na hivi sasa hataki tena watu wamzungumiz GK kwenye page yake.

Hebu icheki hii,

"Mapenzi hayana Mwenyewe.. Unaweza Penda Kijana Au Mzee .. sitaki story za Gk in this Post guys Pls' lets jus live in the moment. It's Diva's world .. lets jus live enit...welcome to My World.
Anyways btw none of those rules applied" -DIVA
Hajaishia hapo...siku za hivi karibuni amekuwa kijirekodi video fupi fupi na kuzitupia mtandaoni akiwa ana ji "show off" kuwa amamvuto  huku akijitikisa maeneo ya kati, vitendo ambayo wataalamu wa mambo ya saikolojia wanasema hufanywa na maranyingi na wadada ambao wamevulugwa kwa kutemwa kwenye mapenzi.

Tuendelee kusubiri, itafahamika.

Baada ya Kupewa Onyo na BASATA, Shilole Afunguka

$
0
0

Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ameeleza kusikitishwa na kitendo cha yule aliempiga picha zile akiwa stejini akitumbuiza  kwani ilikuwa ni bahati mbaya na sio makusudi.
Shilole amesema kuwa hata yeye hakupenda kile kilichotokea jukwaani wakati akitumbuiza Ubelgiji hivi karibuni, kwa sababu ilikuwa bahati mbaya na hakudhamiria kukaa uchi kama wengi wanavyosema.
Shishi ambaye ni mama wa watoto wawili amesema kuwa nguo mpya aliyoivaa siku hiyo ndio ilimponza kwasababu hakuwa ameifanyia majaribio ya kutumbuiza akiwa ameivaa.
“Kiukweli kwasababu hili jambo limetokea inatakiwa nguo ninapoinunua niwe naifanyia training kwanza kabla ya kwenda jukwaani, kwahiyo kwasababu ile nguo ilikuwa mpya kwangu na sikuweza kuijua vizuri […] yaani hii nguo nimeikuta huku huku, nguo imekuja kunitokea bahati mbaya wakati niko kwenye performance, ilitatuka wakati niko kwenye motion .” Alisema Shishi kupitia 255 ya Clouds Fm.
Ameongeza kuwa amesikitishwa na mtu aliyempiga picha hizo na kuamua kuzisambaza mtandaoni bila kujua kuwa itamuumiza yeye kama mwanamke.
“Nasisitiza tena sikudhamiria na wala sikupenda hiyo kitu itokee, ila nasikitika kwamba kama mimi mwanamke yule mtu aliyenipiga picha na kudhamiria kuziweka kwenye mitandao alikuwa na maana gani, hakufikiria mimi nitaunmia kiasi gani au mashabiki wangu wataumia kiasi gani? Ni mtu mbaya mwenye roho mbaya sijui nimuiteje huyo mtu aliyefanya hivyo, sio mtu mzuri.”
Kauli hii ya shilole ameitoa mara baada ya hivi karibuni Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kumpa onyo kali staa huyu kwa kitendo kilichotokea.
Kuhusu kama amepokea barua ya kuitwa kujieleza kutoka BASATA, Shishi amesema kuwa hajapokea barua hiyo kwasababu bado yuko Ubelgiji.
Bongo 5

Aunty Ezekiel na Wema Sepetu Vilio Tupu, Wakutanishwa Laivu na Kuamua yafuatayo

$
0
0

Imelda Mtema
Baada ya kula viapo vya kutozikana, wasanii wawili wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ na Aunt Ezekiel Grayson wamejikuta wakiangua vilio wakati wakipatanishwa na rafiki yao mkubwa ambaye ni pedeshee anayejulikana kwa jina la Daudi Mambya.

Habari kutoka kwa shuhuda wetu zilieleza kwamba, tukio hilo lilijiri wikiendi iliyopita kwenye Ufukwe wa Coco jijini Dar ambapo Daudi aliwaita kwa mwaliko wa mishikaki bila wenyewe kujua kinachoendelea.

Habari zilieleza kuwa, Daudi ambaye kwake huwa hawafurukuti, amekuwa akiumizwa mno na tofauti ya wasanii hao kwa sababu ni watu walikuwa wakipendana hivyo kugombana kwao kulikuwa kunaleta shida kwa marafiki zao wengine.
Imefahamika kwamba, Daudi alitumia ujanja wa kuzungumza na kila mmoja kwa wakati wake ambapo alibaini kuwa hakuna aliyekuwa tayari kupatana na mwenzake.

Ilisemekana kuwa, Daudi alitumia ujanja wa kitaalamu ili kila mmoja kumuweka sawa bila kujijua.
Unajua Daudi ni rafiki yao sana, sasa hakuwa anapendezwa na tatizo ambalo limejitokeza hivyo alitumia njia tofauti ili kuweza kuwakutanisha pamoja tena waweze kupatana,” alieleza mtoa habari huyo.

Ilielezwa kwamba Daudi alianza kwa kumtafuta Wema na kumpeleka Coco Beach akimuambia kuwa anataka akamnunulie mishikaki huku wakati huohuo akimwambia Aunt naye wakutane ufukweni hapo.Shushushu wetu alizidi kufunguka kuwa Daudi alitangulia Coco na Wema, huku akifanya mawasiliano na Aunt na baada ya muda, Aunt naye aliwasili huku kila mmoja akibaki katika mshangao usioelezeka baada ya kukutana uso kwa uso.

Sosi huyo alisema kuwa Wema na Aunt walipoonana kila mmoja alikuwa kimya lakini Daudi aliamua kuwasomea risala ndefu iliyomwingia kila mmoja.Mambo yakipokaa vizuri, wawili hao walishuhudiwa wakiwa wamekumbatiana huku kila mmoja akiangua kilio kilichochukua takribani nusu saa hivyo kufanya eneo hilo kuwa kama kuna msiba.

“Yaani mpaka Daudi mwenyewe alidondosha machozi baada ya Wema na Aunt kukumbatiana na kuanza kulia.
Yaani ilikuwa simanzi kubwa sana,” alimalizia shuhuda huyo.Akizungumza na gazeti hili, Daudi alisema kuwa aliamua kuwapatanisha wawili hao kwa kuwa alikuwa hapendezwi na tatizo hilo na kwamba wote ni rafiki zake.
Kwa upande wake, Aunt alifunguka ya moyoni:
Tulipokutana kila mtu alijua tatizo lake na tukaona ni mambo ya kijinga, ikabidi tuweke tofauti pembeni maisha yaendelee.”

Wema alisema: “Mambo ya kugombanagombana hayana msingi na kwa vile ni mtu mzima (Daudi) aliwakutanisha, nikaona yaishe.”Wema na Aunt ambao walikuwa marafiki wakubwa waliingia kwenye mgogoro hivi karibuni baada ya Wema kumtuhumu Aunt kuunga mkono shoo ya Zari All White Party ya mwanadada Zari Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ambaye ni mpenzi wa aliyekuwa mpenzi wa Wema, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.

GPL

Picha za Stan Bakora Akibanjuka Garini Zaleta Balaa, Kitale Aingilia Kati!

$
0
0

Picha za Msanii wa vichekesho anaeibukia, Stan Bakora akiwa anabanjuka na mwanamke ndani ya gari zimesambaa kwa kasi mtandaoni  na kupelekea msanii mwenzake, Kitale “Mkude Simba”  ambaye ndiye aliemtoa kisanii kuingilia kati na kumshukia Mateja Musa ambaye anadaiwa kuziweka picha hizo mtandaoni.
@matejamusa wewe ni Ndugu yangu lakini leo umenikosea kwa ulichokiandika kwenye acount yko ya insta kuhusu @stanbakora umenikosea plz! naomba ufute zile picha haraka nakupigia cm yng upokei sio poa haya maisha laiti ungekuwa unaona cm anazopigiwa dogo na watu tofautitofauti ungemuonea hata huruma huyu bado dogo ajakomaa na hivyo vitu mnamchanganya mpaka tunashindwa kufanya kazi zingine tokea asubuhi dogo anaumwa presha kwa mipicha yako hiyo unayoipost na aliyekupa hizo picha namjua mwambie ajifiche atakavyojificha leo au kesho namtia mikononi waulize wenzio wanakijua hiki kichwa dakika moja mbele....mpaka saa 4 ujafuta hizo picha @matejamusa basi we jiandae na ugeni kutoka mwananyamalaKitale ameandika hayo mtandaoni.
Kwa upande wake Stan Bakora ameandika haya kwa mwandishi huyo
"Katika maisha sina kumbukumbu kama nilishawahi kukukosea @matejamusa ila ninachokumbuka mimi huwa nakuheshimu kama kaka yangu, sasa sijui kwann umeamua kunichafua hvo ,kwan lipi baya nlilokufanyia mpk unanizalilisha kwa jamiii au lengo lako nini kwan mbona unafanya kma sina wazazi jaman ,na aliekutumia hizo pcha lengo lake mimi nalijua na hata hvyo @matejamusa wewe una no zangu za simu ulipaswa kuniuliza kabla ya kufanya chochote ,jua umenikosea sana na kma .Daaaah umenifanya nmekushusha thaman sana Mussa. Ndugu zangu ambao mnafatilia page yangu anaenichafuaga siku zote ni huyu @matejamusa @matejamusa @matejamusa@matejamusa @matejamusa labla mwambieni nyinyi mimi nisije kupishana nae kauli sipendi ugomvi na mtu. Samahan kwa yoyote ambae nmemkwaza kwa lolote".

Upendo Nkone: Umaarufu ni Shida, Mateso

$
0
0

MWIMBAJI mahiri wa nyimbo za injili, Upendo Nkone, amesema umaarufu kwa wasanii ni mateso kwa kuwa humjengea woga msanii kufanya jambo lolote popote hata kama moyo wake unapenda.

Upendo alieleza kwamba, msanii maarufu anapofanya jambo tofauti jamii humchukulia tofauti hali inayofanya ashindwe ama afikie mafanikio kwa mateso makubwa ya kutafuta kimya kimya.

“Umaarufu kwa msanii ni mzuri lakini ni mateso, uzuri ni kwa kuwa unarahisisha kazi zako lakini ni mateso kwa namna nyingine unatakiwa utende mema tu usikosee kama malaika,” alisema Nkone.

Mtanzania

Dude, Mtitu Nitakufa kwa Mipango ya Mungu-Steve Nyerere

$
0
0

Naomba kumshukulu mungu kwa kila jambo yehova wewe ndio kimbilio langu. Pili kwa masikitiko makubwa nasema watashindana ila awata shinda .niongee kidogo kwa kifupi mara kwa mara nimekuwa nazalilishwa na najiuliza tatizo nini nagundua nyota .
Maishani kila binadamu mungu kampa fulsa yake so ukubali ukatae ndio hivo. Nilipigiwa simu na Mrs Adam kuambiana yani mke wa marehemu kama rafiki ndugu na msanii mwenzake kuwa anajenga kaburi la marehemu Kuambiana.
Nikajiuliza, kwa nini ajenge yeye sisi tupo wapi tuliokuwa nae karibu tunacheka nae tunakunywa nae nikamuomba mke wa marehemu Adam tuchangie kama wasanii wenzie  akakubali baada ya apo nilibeba jukumu hilo . Nikampigia JB, JB akasema anachangia laki tatu.
Nikampigia Mh makonda akachangia laki saba jumla tukapata milioni moja na kumkabizi mke wa kuambiana. So mpaka siku ya misa mke wa marehemu Adam alinishukuru kwa msaaada huo tatizo kwangu lipo wapi.
Akatokea Dude na kusambaza Dude na wenzako mnazijua naomba kukwambia na kuwambia  watanzania wenzangu. Kuna kundi la watu 5 tena wasaniii wanatamani Steve Mengere afe leo wanaangaika uku na kule Dude nitakufa kwa mapenzi ya mungu Mtitu nitakufa kwa mapenzi ya Mungu . Mnatoa hela kwa waandishi wanichafue kwenye mtandao hahahaha.
Kauli yangu wabaya watu wazuri watu simba awezi toka serengeti akaja mjini kukualibia. Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe .
Wasaniii hamuwezi kuwa wamoja ata siku mmoja kwa roho mbaya mlio nayo bora kumfadhili mbwa msanii tena wa move ana shukulani ata kidogo . Ipo siku umuimu wangu mtaujua tuuuu.Mungu ni mwema kwa kila jambo .
NITAANDIKA KITU BADAE
By: Steve Nyerere on Istagram
Picha:Siku ya sala maalumu ya kumuombea marehemu Kumbiana.
UPDATE!
Mtitu ameandika haya mara baada ya kuona alichokiandika Steve Nyerere
Da ! Naomba ndugu zangu
mnisamehe kwa kuandika hili humu instagram ...maana lilitakiwa liongelewe nje ya hapa ...
kiukweli steve NIMESHTUKA SANA baada ya kuona post yako tena umenihuzunisha sana kwa kunitaja kwa jina katika ugomvi wako na dude nimejaribu kukupigia cm sana aupokei cm zangu aukupokea na
Umesema.
kuwa natamani ufe...hv tujiulize kwa nini nitamani ufe ndugu yangu ?? So ukifa mimi napata faida gani ? Kwani mimi nna ugomvi gani na wewe?? kwanza tunafanya vitu tofauti na mimi producer na msambazaji wewe mchekeshaji kwa nini nigombane na wewe ?? kwani nn steve utaki kujifunza mdogo wangu maneno haya haya yamesababisha kanumba amekufa huku akiwa awaongei na ray wakati walikuwa marafiki kwa zaidi ya miaka kumi na kanumba amekufa huku ukiwa na bifu kubwa sana na wewe nae wewe hadi anakufa mlikuwa amuongei chanzo ni haya haya maneno yako ...
Kuwa na amani steve wewe ni mhehe kama mimi kwetu kumoja miongoni na mwa watu ambao sitawasahau katika maisha yangu wewe ni mmoja wa wao, umenisaidia vitu vingi sana nakushukulu mangere ..na pamoja uliapa ukiwa na matatizo nisije mimi ntakuja tu labda unifukuze wewe kama unahisi mimi mbaya wako umekosea mimi sina ubaya na wewe kabisa na sioni sehemu pa kutugombanisha maana atuna tunapokutana. 
Gday bandugu
Viewing all 3623 articles
Browse latest View live