

Yesu baba rudi
dunia inazizima
Jamani huyu baba yamemkuta yapi tena, siku hizi ukizaa mtoto wa kiume kila siku muweke katika sala kumuombea maana hili limekuwa janga la dunia, wanaume wanatamani kuwa wanawake, wanawake wanatamani kuwa wanaume sasa mtu mzima kama huyu kutaka kuwa mwanamke na uzee wote huu na watoto juu kinachomuwasha ni nini sasa daah im shocked
kweli ni nyakat za mwisho hebu tuache movie iendelee tuone itakuwaje na yeye atapata mume? maana mpaka sasa inasemekana ana magauni mengi hata ya step daughter wake Kim anasubiri,,,, ndipo anapoelekea huko mtu mzima ovyo
na hii ndio sababu kubwa ya wao kuachana (Kris n Bruce)
dunia inazizima
Jamani huyu baba yamemkuta yapi tena, siku hizi ukizaa mtoto wa kiume kila siku muweke katika sala kumuombea maana hili limekuwa janga la dunia, wanaume wanatamani kuwa wanawake, wanawake wanatamani kuwa wanaume sasa mtu mzima kama huyu kutaka kuwa mwanamke na uzee wote huu na watoto juu kinachomuwasha ni nini sasa daah im shocked
kweli ni nyakat za mwisho hebu tuache movie iendelee tuone itakuwaje na yeye atapata mume? maana mpaka sasa inasemekana ana magauni mengi hata ya step daughter wake Kim anasubiri,,,, ndipo anapoelekea huko mtu mzima ovyo
na hii ndio sababu kubwa ya wao kuachana (Kris n Bruce)