BASI UNAAMBIWA HII NDO VIDEO MPYA YA LADY JAYDEE - HISTORIA. ICHEKI HAPA
Lady Jaydee aka Komandoo ameachia video ya wimbo wake wa Historia. Icheki hapa chini
View ArticleHUYU NDO MBUNGE WA MBEYA ALIYECHARANGWA MAPANGA, SOMA HAPA
Mbunge wa Mbeya Vijijini (CCM), Mchungaji Lackson Mwanjale Mbunge wa Mbeya Vijijini (CCM), Mchungaji Lackson Mwanjale na Katibu wa Uchumi wa Wilaya, Shadrack Mwanjuguja walijeruhiwa kwa mapamga katika...
View ArticleKUFURU: POSHO YA MJUMBE MMOJA TU WA BUNGE LA KATIBA NI SH. 700,000/= KWA...
Posho kwa siku kwa kila mjumbe wa Bunge la Katiba ni sh 700,000 kwa siku kwa muda wa siku 70 maana yake ni kuwa kila mjumbe atalipwa milioni 49! Aidha, sheria inawaruhusu kuongeza siku nyingine 20 na...
View ArticleSIKU CHACHE BAADA YA STORY ZA LULU KUPATA MCHUMBA KUSAMBAA, LULU AVUNJA...
BINTI anayeshikilia Tuzo ya Mwigizaji Bora wa Kike ya Ziff 2013, Elizabeth Michael maarufu Lulu ameweka wazi kuwa amepata mchumba na kwamba taratibu za kujitambulisha na mahari vitafuata...
View ArticleHII NDO LIST WAIGIZAJI WANAWAKE WALIOOLEWA NA WANAUME ZA WATU
LICHA ya kuwa na warembo wa kutosha, Nollywood, inaelezwa kuwa ni eneo lisilokuwa na wanawake wengi walio kwenye ndoa.Wanawake wengi waliomo katika eneo hili ni ama hawajaolewa au wametalikiwa. Pamoja...
View ArticleDAH, DUNIA YAFIKA MWISHO. STAR HUYU ANATAKA KUBADILI JINSIA NA KUA MWANAMKE....
Yesu baba rudidunia inazizimaJamani huyu baba yamemkuta yapi tena, siku hizi ukizaa mtoto wa kiume kila siku muweke katika sala kumuombea maana hili limekuwa janga la dunia, wanaume wanatamani kuwa...
View ArticleKLYNN AWEKA PICHA YA FAMILIA YAKE MTANDAONI..ATOA UJUMBE MZITO. SOMA...
See beautiful Message to her Family ...Very Niceeee
View ArticlePENZI LA RAY NA CHUCHU SI SIRI TENA...WENYEWE WAITANA BABY FACE. CHEKI PICHA...
Penzi kati la waigizaji wawili maarufu ndani ya bongo movie, Vicent Kigosi – Ray na Mwanadada Chuchu Hans limekuwa sio siri tena baada ya hivi majuzi mwanadada Chuchu hans kuweka picha mbalimbali za...
View ArticleSIO BONGO TU KUMBE MPAKA ULAYA. ANGALIA WEZI WALIVYOLIFANYA GARI LA ROBERT...
Usiku wa kuamkia Jumatatu wezi wanaodhaniwa kuwa mashabiki wa klabu ya Borrusia Dortmund wamemfanyia kitu mbaya mshambuliaji klabu hiyo Robert Lewandoski baada ya kuifanya gari la mshambuliaji huyo...
View ArticleDUH KUMBE NICKI MINAJ NI MREMBO HIVI AKIACHA KUWEKA YALE MASWAG YAKE YA...
A few days after she shared behind-the-scenes photos from a new shoot, Nicki Minaj has released the shoot's final images. The rapper works it in a revealing dress by Mark Fast, La Ruicci fishnet body...
View ArticleHOT NEWS: VIDEO KUTOKA ITV NEWS(UINGEREZA) ILIVYO PELELEZA BIASHARA YA PEMBE...
cTimu ya kituo cha runinga cha Uingereza cha ITV News imefanya upepelezi katika soko la uuzaji wa pembe za ndovu nchini Tanzania kuonesha jinsi ilivyo rahisi kunununua bidhaa hiyo haramu.Akijifanya...
View ArticleMFAHAMU DIAMOND PLATNUM NA MAMBO MATANO YA KUUMIZA KATIKA MAISHA YAKE
Mambo matano Yatakayokugusa katika maisha ya Diamond Platnumz01. Diamond Platnumz aliachwa na baba yakeDiamond alizaliwa tarehe 2, October mwaka 1989 katika Hospitali ya Amana Dar es salaam. Akiwa na...
View ArticleFAHAMU JUU YA ANT EZEKIEL KIUNDANI ZAIDI, HISTORIA YAKE KIUJUMLA!...........
JINA la Aunt Ezekiel siyo geni kwa wadau mbalimbali wa burudani hapa nchini, ni staa ambaye hivi sasa ana jina kubwa kupitia sanaa yake ya uigizaji wa filamu aliyoianza miaka sita iliyopita. Japokuwa...
View ArticleUKWELI KUHUSU UTAPELI UNAOFANYWA NA TELEX FREE KUTOKA WIKIPEDIA..BRAZIL WATU...
Mimi sina mengi wala siandikii mate Mange Jana Kaandika about TelexFree Watu wamemjia juu kuwa ni uongo ..ila ki ukweli hiyo Kitu ina walakini ....Embu jisomee hapa kutoka Wikipedia..Jinsi...
View ArticleHII NI MAALUMU KWA FUNUNU ZOTE ZILIZOSIKIKA KUHUSU MSANII LINAH KUBEBA...
Muimbaji wa THT, Linah Sanga amesema tetesi za kuwa ni mjamzito si za kweli. Linah ameiambia Mdadisi Mambo blog kuwa masuala ya ujauzito, kuolewa na kuwa na familia ni ya muhimu kwa kila msichana...
View Article