VERA SIDIKA AFUNGUKA KUHUSU S3X TAPE IANAYOSEMEKANA IMEVUJA!!!!
Hii Stori ime Trend sana huko Kenya...kuwa video ya mapenzi ya mwanadada VERA imevuja!!!...Sasa SOMA UKWELI HAPA
View ArticleU MUST WATCH THIS:....…HADI KUMUHUSISHA NA MAMA YAKE….WEMA ATOKA NA UJUMBE HUU
#TEAM WEMA: Kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM, mwanadada WEMA wa SEPETU ameshea nasi video hii...akiwa ndani ya gari anaimba wimbo ambao kimsingi ni ujumbe kwa wale wao mchukia bila sababu....lalini...
View ArticleBASI UNAAMBIWA HII NI PICHA YA KWANZA KUTOKA KWENYE VIDEO MPYA YA DIAMOND,...
Hii ni picha ya kwanza kutoka kwenye video ya mdogomdogo ya Diamond..unapata picha gani juu ya hii video?
View ArticleWEMA ASHINDWA KUJIZUIA KWA VANESA MDEE..AMNYOOSHEA MIKONO.
Vanessa Mdee akiwa anatikisa media mbali mbali east africa kwa kuanza na video yake mpya ya “Come Over” iliyokuwa gumzo mtaani, Na hivi sasa kama ilikuwa haitoshi kuachia tena Single yake mpya...
View ArticleDUH! FROLA MBASHA NOMA SANA, AKOMBA KILA KITU NYUMBANI KWAKE NA KUTOKOMEA...
Emmanuel Mbasha (32) Alipoongea na global TV alipokuwa mahabusu, Dar kati ya Juni 15 hadi 17, mwaka huu, staa wa Gospo Bongo, Flora Mbasha (31) anadaiwa kwenda nyumbani na kukomba vitu vya ndani...
View ArticleDIAMOND SASA KUIMBA TAARAB, CHEKI VIDEO HAPA
Diamond Platnumz leo alikua ni mgeni katika kituo cha redio cha Clouds FM katika kipindi cha Leo Tena. Katika Mahojiano yake Diamond Platnumz alizungumzia muziki wa Taarabu ambao pia anaweza kuuimba...
View ArticleUNYAMA : MWANAFUNZI WA CHUO ACHOMWA MOTO AKIDHANIWA MWIZI
maskini:Mwanafunzi wa Chuo Anusurika Kifo Baada ya Kuchomwa Moto Akidhaniwa ni Mwizi Imagine guys kuna this guy mtanashati anasoma chuo cha ruaha a.k.a ruco huku iringa. Alikuwa sheria mwaka wa nne....
View ArticleLULU MICHAEL, TUMUAMINI NANI?......KWA HILI NAKUONA HAUPO SERIOUS
Alisema eti aachwe kwanza, eti baada ya ule mkasa hataki kabisa kusikia habari za mapenzi.Amini usiamini , haukupita muda mrefu skendo za mapenzi zikaanza kuvuma tena.Tukaanza...
View ArticleMIUJIZA: MWANAMKE AJIFUNGUA BAADA YA KUWA MJAMZITO KWA MIAKA 14
Mwanamke wa Nigeria aliyejitambulisha kwa jina la Mercy James amesimulia tukio la ajabu la kujifungua salama mtoto wa kike baada ya kuwa mjamzito kwa kipindi cha miaka 14. Mtoto aliyeamua kumuita...
View ArticleHII NDIYO NGUO ATAKAYOVAA DIAMOND KWENYE RED CARPET YA BET AWARDS
BET Awards zinakaribia kufanyika na Diamond Platinumz anaelekea huko kwasababu amekuwa nominated kwenye kipengele cha Best African Act. Diamond atapita kwenye red carpet itakayo tumiwa na wasanii...
View ArticleHALI YA AFYA YA JACK PATICK BADO TETE GEREZANI…ASHINDWA KUHUDHURIA MAHAKAMANI...
UNAWEZA kusema ni majanga juu ya majanga yanazidi kumkumba modo wa Bongo, Jacqueline Patrick ‘Jack’ baada ya wiki iliyopita kushindwa kupanda kortini kufuatia kutetereka kwa afya yake bila...
View ArticlePICHA ZA UTATRAAAA ZA MSANII CINDY RULZ NA AMA THE MAKER ZAVUJA YADAIWA...
Katika pitapita zetu camera ya Bongoclan imefanikiwa kupata picha za utata za msanii Cindy Rulz akiwa na Ama the maker ambaye pia ni msanii. Tukio hilo lilitokea wik iliyoisha katika club moja ya usiku...
View ArticleCHEKI HII PICHA YA PROFESSOR JAY AKIWA ENZI ZAKE ZA ZAMANI
Hii ni Picha ya Professor Jay ambayo kaishare ikimuonyesha yupo na mdogo wake enzi zao za zamani.
View ArticleBAADA YA SKENDO YA PICHA ZA UTUPU, MALI ZA KOMBA KUPIGWA MNADA
ZIMESALIA siku tano tu, kuanzia Jumatano wiki hii, kabla ya baadhi ya mali za Mbunge maarufu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kapteni John Komba, kupigwa mnada ili kufidia deni kubwa alilonalo katika...
View ArticleDUH, MSANII BARNABA KWA MARA YA KWANZA WAJA NA HILI WAZO. NOMA SANA
Barnaba anajitayarisha kufanya video ya wimbo wake mpya “Wahaladee” na tayari ametangaza kuwa video Queen wa kazi hiyo mpya atakuwa Mama Steven ambaye ni mpenzi na mama mtoto wa wa msanii Barnaba” Sina...
View ArticleKAULI YA DIAMOND KUHUSU TUHUMA ZA WIZI WA NYIMBO YA MDOGOMDOGO NA NYINGINE,...
Mwanamuziki Diamond amefunguka kuhusu madai ya baadhi ya wasanii kuwa aliwaibia idea au nyimbo zao na kuzifanya zake.Ameeleza kuwa malalamiko yao hayana ukweli kwa kuwa kuna maneno ambayo yamezoeleka...
View ArticleFATAKI ZAZUA TAFRANI UBALOZI WA MAREKANI KWA HISIA ZA UVAMIZI, TAZAMA HAPA
Mioyo ya watanzania bado haijasahau tukio baya la shambulizi la bomu katika ubalozi wa Marekani. Hii ndio sababu iliyowafanya wakazi wa Morocco na wapita njia kupasuka moyo baada ya kusikia milio...
View Article