Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Browsing all 3623 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI WA MTIKILA

Rais Kikwete aongoza mamia kuaga mwili wa marehemu Mchungaji ChristopherMtikila Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam leo Jumatatu Oktoba 7, 2015

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA AJIRA ZITOLEWAZO NA AFRIKA...

WATANZANIA wametakiwa kujifunza kuchangamkia fursa za ajira zinazotolewa na Afrika Mashariki kama ilivyo kwa nchi nyingine. Kauli hiyo ilitolewa jana na mgombea wa Urais kupitia Chadema, Edward Lowassa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AZIDI KUIBOMOA CHADEMA KILIMANJARO,AWATOLEA UVIVU WATENDAJI WA...

 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimnadi mgombea Ubunge wa jimbo la Moshi mjini Ndugu Davis Mosha kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Mashujaa,mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHINDANO LA SERENGETI MASTA LAHITIMISHWA KANDA YA ZIWA

 Mshindi wa mwisho wa shindano la Serengeti Masta kwa wakazi wa kanda ya ziwa Said Kanolo, akionyesha pesa zake alizokabidhiwa, kwenye shindano la mwisho la kumtafuta Serengeti Masta wa mwisho wa kanda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa Ameshindikana...Siku Moja Baada ya Kusababisha Gharika Arusha...

SIKU moja kupita baada ya mgombea wa Urais kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema ambaye anaungwa mkono na Vyama vinavyounda UKAWA Edward lowassa baada ya kuitikisa Arusha Mjini,sasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHINDANO LA SERENGETI MASTA LAWASHA MOTO ULAYA ULAYA BAR YA MANZESE, DAR

 Mkazi wa Magomeni jijini Dar es salaam Sam Stima akifurahia zawadi yake ya fulana kutoka kwa balozi wa bia ya Serengeti Premium Lager Razani Kapalatu wakati wa promosheni ya Serengeti Masta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHINDANO LA SERENGETI MASTA LAHITIMISHWA JIJINI MBEYA NA ARUSHA

Mkazi wa Arusha na mpenzi wa bia ya Serengeti Premium Lager Laota Elias akishiriki katika shindano la mwisho la kumtafuta Serengeti Masta wa jumla kwa mkoa wa Arusha katika kuitambua ladha halisi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI (SBL) YAHITIMISHA KAMPENI YA 'SERENGETI MASTA'...

Mshereheshaji wa shindano la Serengeti Premium Lager liliopewa jina la “Serengeti Masta” Richard Godwin akitoa maelekezo kwa washiriki wa shindano hilo la mwisho kwa wilaya ya Ilala lililofanyika...

View Article


Article 0

Huyu mama yupo  ocean road ni mgonjwa wa cancer  ya uso imeshamla mpk macho na upande moja ushalika. Anatokea mtwara hana kitu ni kweli maombi yanasaidia ila anahitaji ale chakula kizuru na kiasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI KUDHAMINI MICHUANO YA GOFU YA WAITARA

Katibu wa klabu ya Gofu ya Lugalo Kanali Mstaafu John Nyalusi akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam juu ya mashindano ya siku moja ya gofu ya kumuenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WACHEZAJI MBALIMBALI WAJINYAKULIA ZAWADI MICHUANO YA GOFU YA WAITARA

Mkuu wa Majeshi (Mstaafu) Jenerali George Waitara (Kushoto) akipokea zawadi ya wiski ya Johnnie Walker (Platinum Label) iliyotolewa na Kampuni ya bia ya Serengeti katika kuthamini mchango wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOHNNIE WALKER YAZINDUA KAMPENI MPYA YA “FURAHA ITAKUFIKISHA MBALI”

  Meneja Chapa (pombe kali) wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Shomari Shija (wa kwanza kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa kampeni mpya ya Johnnie...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Trust pamoja na Vanessa Mdee wazindua rasmi Tamasha la “Divas Only” mjini...

Vanesa Mdee akitumbuiza katika tamasha la kutoa elimu ya uzazi wa mpango lililofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dodoma. Tamasha lililopewa jina la “Divas Only Concert” lilifanyika katika ukumbi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VANESSA MDEE ANOGESHA TAMASHA LA TRUST “DIVAS ONLY” JIJINI MBEYA

Msanii wa kizazi kipya Vanessa Mdee akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya ujio wake jijini Mbeya na mtazamo wake kwa akina dada juu ya uzazi wa mpango mara baada ya kumaliza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA UVCCM KIGOMA AONGOZA VIJANA WENZAKE KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI

Mbunge wa viti Maalum Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia UVCCM Mkoa wa Kigoma, Zainab Katimba (aliyevaa Gum Boots), akiwaongoza Vijana wenzake katika zoezi la kufanya usafi, ambapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madiva wa Mwanza Wajitokeza Kwa Wingi Kufunga Tamasha la Trust Divas Only

Baadhi ya madiva wa jiji la Mwanza wakiwa kwenye pozi la Red Carpet wakati wa Tamasha la “Trust Divas Only” ambalo lilifanyika katika hoteli ya Malaika Beach Resort jijini Mwanza mwishoni mwa wiki....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII TEKNO MILES KUNOGESHA TAMASHA LA JOHNNIE WALKER “GROWN & SEXY THE GOLD...

Mkurugenzi wa Straight up Vibes Omary Abood (wa kwanza kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla iliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video : Hii siku Wema Sepetu alipendeza kuliko siku zote, jionee hapa.

Siku za hivi karibuni Wema amekua akiandamwa na kashfa ya kuongeza makalio, jambo ambalo limemchafulia sana sifa yake kwa jamii. Lakini baada yakumuona Wema Sepetu nguo aliyokua kavaa siku anazindua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video : Kwa uzuri huu wa dem mpya wa Diamond Platnumz, zari atasubiri sana

Japo kua Diamond amezaa na Zari na kupata mtoto Tiffah, ila kwa sasa kuna tetesi kua Diamond Platnumz anatoka na demu mpya Aitwa Irene. Kwa taarifa zakuaminika kutoka kwa watu wa karibu wa Diamond...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video : Idris Sultan aanza kutoza pesa kwa wanaotaka KIKI kutoka kwake

Kiki ndio kila kitu hapa mjini, wasanii na watu wengi hapa Bongo wamekua maarufu kutokana na Kiki au Skendo zinazosambazwa kuwahusu wao. Wapo waliofanikiwa hadi maisha yao kua mazuri kutokana na kiki...

View Article
Browsing all 3623 articles
Browse latest View live