BIFU LA SHILOLE NA BABY MADAHA LAPAMBA MOTO, SHILOLE AMACHANA LIVE MADAHA....
STAA wa Mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amemfungukia msanii mwenzake, Baby Joseph Madaha kwamba hajielewi. Zuwena Mohamed ‘Shilole’.Shilole ametoa kauli hiyo siku chache baada ya kuchanwa...
View ArticleMDOGO WAKE KANUMBA AFUNGUKA NA KUSEMA KUA MZIMU WA KANUMBA UNAMTOKEA,...
SETH Bosco aliye mdogo wa marehemu Steven Kanumba, aliyekuwa staa wa filamu za Kibongo, ameibuka na kueleza mambo ya kushangaza, akidai kaka yake huyo amekuwa akimtokea ndotoni. Marehemu Steven...
View ArticleRAY AONESHA JEURI YA FEDHA, AMPANGISHIA CHUCHU HANS JUMBA LA KIFAHARI....
NYOTA wa filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ anadaiwa kumpangishia nyumba nzima mpenzi wake ambaye pia anasemekana ni mkewe mtarajiwa, Chuchu Hans, Amani lina picha kamili.Vincent Kigosi ‘Ray’...
View ArticleKANYE WEST NA KIM KARDASHIAN WAMETANGAZA SIKU YA HARUSI YAO
Rapper Kanye West na Star wa reality show "Keeping up with the Kardashians" Kim Kardashian wanatarajia kufunga ndoa yao mwezi May tarehe 24. Kutokana na mtandao wa Daily mail, ndoa hiyo wataifungia...
View ArticleOMMY DIMPOZ USO KWA USO NA DIRECTOR WA SKELEWU YA DAVIDO NA HII NDIYO HABARI...
Omari Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz kwa muda mrefu yupo London ambapo ametumia muda huo kuangalia mechi za ligi ya uingereza pamoja na kuhudhuria show ya Beyonce na Jay Z.Kitu kingine kilichomfanya...
View ArticleVICTORIA ANAYEDAIWA KUMUIBIA WEMA SEPETU,AFUNGUKA KUHUSU UHUSIANO WAKE NA...
Msanii wa Bongo Flava hapa nchini Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz aka Mr. Ngololo alikunusha tetesi za kuwa na mahusiano na mwimbaji kutoka pande za Kenya Victoria Kimani baada ya kukutana hivi...
View ArticleMAIMARTHA ASWEKWA RUPANGO KISA KIKIWA NI KUJIHUSISHA KATIKA UTAPELI, SOMA...
Mtangazaji maarufu wa Runinga Bongo, Maimartha Jesse amejikuta akiwekwa nyuma ya nondo kwa madai ya kumtapeli dada mmoja aliyetambulika kwa jina la Zai, mkazi wa Zanzibar.Chanzo makini kimepenyeza...
View ArticleKWA MARA NYINGINE TENA DIAMOND ASISITIZA KUA YEYE SI FREEMASON, SOMA...
Exclusive Interview! Staa anayeuza zaidi kwa sasa kwenye muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’ amefungukia skendo ambazo zimekuwa zikimtafuna kila kukicha huku akieleza kuwa,...
View ArticleMALI ZA KANUMBA ZAZIDI KUIGOMBANISHA FAMILIA YAKE, BABA KANUMBA KUMPELEKA...
BABA wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kanumba anaonekana kuendelea kuwewesekea mali za mwanaye baada ya kuibuka na kudai kuwa, atampeleka Segerea (jela) mzazi mwenzake, Flora Mtegoa kwa madai kuwa...
View ArticleVIDEO: ANGALIA WACHEZAJI WA CHELSEA WAKICHEZA WIMBO WA TUPOGO WA OMMY DIMPOZ
Mtanzania anayekipiga timu ya Chelsea Adam Nditi amewarekodi wachezaji wenzie wa Chelsea wakiwa wanacheza wimbo wa mwanamuziki wa kitanzania Ommy Dimpoz uitwao 'TUPOGO'
View ArticleMIKE TYSON SASA ATANGAZWA RASMI KUA KAFIRISIKA, ALIWAHI KUTUMIA $400 MILIONI...
TUMIA pesa kwa akili. Unajua kwa nini? Mtazame Mike Tyson, utapata jibu. Bondia huyo bingwa wa dunia wa masumbwi ya uzito wa juu, ameandika historia ya aina yake ya kimaisha katika kipindi hiki cha...
View ArticleUNAWEZA KUPUNGUZA UNENE KWA VYAKULA HIVI
NI ndoto ya wasichana wengi wanene kupunguza unene, lakini wengi wao hawajui wafanye nini. Zipo njia nyingi za kumfanya mtu apunguze unene, miongoni mwa njia hizo ni pamoja na vyakula, kujua aina ya...
View ArticleKWA HILI HAPA UTAMCHAGUA WEMA SEPETU AU KAJALA MASANJA..!! TAZAMA HAPA...!!
We all known the Diva wa hapa Town,CEO wa Endless Fame maarufu kama madame Wema Sepetu,ni noma sana katika upande mzima wa kutoka na fashion tofauti daily,na anajua kweli ku-maintain u-star wake hapa...
View ArticlePICHA: EXCLUSIVELY PERFOMANCE MILEY CYRUS "BANGERZ TOUR VANCOUVER " CLICK NI...
Perfomance iliyokusudiwa ndo Ikawa Hivi Mjini Wakati Miley Cyrus Akiwa kwenye "Stage" Vancouver Canada.(getty images)Miley Cyrus Akiwa Amevaa Gauni Yenye Mapambo ambayo inasemekana ni Matawi ya...
View ArticleSOMA ALICHOSEMA DIAMOND PLATINUMZ BAADA YA NGOMA YAKE YA MY NUMBER ONE FT...
Leo ni siku kubwa sana kwa msanii wa kizazi kipya Diamond Platinumz na washabiki wake, pamoja na wana-Bongo flava, ambao kila siku tunatamani kuona mziki huu wa nyumbani unavuka mipaka na kwenda mbali,...
View Article