HAKUNA MWENYE UMBO KAMA HILI AFRIKA NZIMA
Wanasema uzuri wa mwanamke ni mzigo wake wanyuma...kama ndio hivyo na kuhakikisha kuwa huyu ndie mwanamke mzuri zaidi Duniani.. Nimekutana na hizi picha ONLINE na nikaamua kushea nawe!! Natangaza...
View ArticleUNAWEZA KUELEZEA HILI UMBO JIPYA NI NAMBA NGAPI?!!
Hogera sana kwakuweza kupunguza uzito...watu hawawezi jua umetumia muda na jitihada gani kufika hapo ulipofikia... ZAIDI
View ArticleJOKATE: MWANADADA WAKWAZA TANZANIA KUMUIGA BEYONCE
Kama kawaida wenzetu wapo mbele na huwa FASHENI nyingi za kuvaa, kunyoa, kuongea,kutembea na LAIFU STAILI kwa ujumla tunaiga toka STETI....Sioni ajabu kwa mwanadada Jokate kuiga mtindo wa Nywele za...
View ArticleKIZAZI KILICHOPOTEA: MAOMBI YAKO YANAITAJIKA!!!!
Inatubidi tuwaombee na kuwaonya hawa mabinti...kabla hawajaharibu kabisa maisha yao ya baadaye!!!..Hizi tabia za kuwaiga kina LEDI GAGA sisi hazitufai jamani... ZINAENDELEA HAPA
View ArticleMH.RAISI KIKWETE AZUA JIPYA LA DIAMONDPLATNUMZ DODOMA. SOMA HAPA
Mh.Rais Kikwete ametokea kutaja tena jina la Diamond Platnumz, akiongelea mengi waliofanya kipindi walipokutana na mkali huo wa AfroPop, Diamond Platnumz, akiwa anafunguka wakati alipokuwa anaongea na...
View ArticleMHITIMU WA CHUO AVUA NGUO ZOTE JUKWAANI ALIPOITWA KUPEWA CHETI ZA KUMALIZA CHUO
Wasomi wanapokutana hasa katika zoezi la kutunukiwa cheti kama kielezo cha uhitimu wa ngazi fulani kuna vitu huwezi kuvifikiria kama vitatokea hata kidogo. Katika Jack Britt High School, North...
View ArticleMHITIMU WA CHUO AVUA NGUO ZOTE JUKWAANI ALIPOITWA KUPEWA CHETI ZA KUMALIZA CHUO
Wasomi wanapokutana hasa katika zoezi la kutunukiwa cheti kama kielezo cha uhitimu wa ngazi fulani kuna vitu huwezi kuvifikiria kama vitatokea hata kidogo. Katika Jack Britt High School, North...
View ArticlePICHA: LULU MICHAEL AFUNGA NDOA YA SIRI AZIANIKA PICHA ZA NDOA YAKE, 'ALREADY...
Elizabeth Michael aka Lulu is already taken! Na sasa ni mke halali wa ndoa kwa ndugu yetu….! Sentensi niliyoiandika hapo juu inaweza kuwa rahisi na ya kweli moja kwa moja kwa kuangalia picha za harusi...
View ArticleRAY C:NATAMANI KUZAA MTOTO......INGAWA STORI ZA LABOUR ZINATISHA LAKINI NA...
Husika na kichwa cha habari hapo juu!! Kutoka kwenye mtando wa INSTAGRAM dada yetu Rehema ameamua kufunguka yake ya moyoni kuhusu kutamani kuwa na mtoto.....Sina mengi soma mwenyewe hapo chini. Wako...
View ArticleBAADA YA AGNES MASOGANGE, SASA NI ZAMU YA WEMA SEPETU. YADAIWA NI MJAMZITO....
'Beautiful Onyinye' na kipenzi cha Diamond, Wema Sepetu sasa ni mjamzito. Baada ya misukosuko ya muda mrefu ikiwemo kuporwa na wasichana wenzake penzi lake la Diamond, sasa Wema amepata kile alichokuwa...
View ArticleINSTAGRAM JANA!! PICHA ZA WAREMBO MASTAA....K-LYINN, WOLPER, LULU, MASOGANGE,...
K Lyinn<<<<ENDELEA HAPA>>>>>
View ArticleWEMA KAJALA NDANI YA BEEF TENA, SOMA CHANZO HAPA
ZIKIWA zimepita wiki kadhaa tangu kuripotiwa kupatanishwa kwa mastaa wawili katika tasnia ya filamu Bongo, Wema Sepetu na Kajala Masanja, taarifa zisizo na shaka zilizotua kwenye meza ya Ijumaa...
View ArticleOMG!!! DAVIDO ANAMFANYAIA NINI HUYU SHABIKI?!!....[PICHA]
Bila ubishi wanawake wengi wanatamani wangekuwa huyo msichana.....hahahahha Ulalaa! Anyway, vidume sasa vipi huyu angekuwa ni demu wako ungemfanyaje?!TEMBELEA DOMOZEGE
View ArticleHAMISA: SIWEZI KUSHEA PENZI NA WEMA
KIAPO! Modo maarufu Bongo, Hamisa Mobeto amefunguka kuwa katika maisha yake, kamwe hawezi kushea penzi na mwigizaji Wema . Modo maarufu Bongo , Hamisa Mobeto. Akistorisha na Ijumaa Wikienda, Hamisa...
View ArticleKUMBE FLORA MBASHA NA MUMEWE KUMBE WANA LAANA YA ASKOFU KULOLA.
SAKATA la tuhuma za ubakaji zinazomkabili mume wa Flora Mbasha sasa limechukua sura mpya baada ya maovu yao mengine kuanikwa hadharani na ndugu wa Flora….. Msichana mmoja...
View ArticleRAIS KIKWETE KUWALETA TREY SONGZ NA USHER RAYMOND MWEZI UJAO KUZUNGUMZA NA...
Rais Kikwete na baadhi ya wasanii Rais Kikwete anatarajia kuwaleta nchini wanamuziki maarufu wa Marekani Usher Raymond na Trey Songz mwezi ujao yaani July.Wasanii hao watatumbuiza na pia kuzungumza na...
View ArticleBAADA YA MASOGANGE KUYATIKISA, HUDDAH WA KENYA AJIBU MAPIGO
Hawa dada zetu watatumaliza......Baaada ya Agnes Masogange kuturusha na Video Clips akiwa anatembe huku akitikisa mkia wake [UNAWEZA KUZIONA HAPA]....Mwanadada aliekuwa mshiriki wa BBA kutokea Kenya,...
View ArticleEXCLUSIVE WEMA AFUNGUKA KUHUSU SWALA LA MIMBA
Baada taarifa kuzagaa mitandaoni kuwa mwanadada Wema wa Sepetu ana UJAUZITO ...Hatimaye leo kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM ameamua kueleza ukweli kwa jambo hili ...kutakana na kile kilicho repotiwa...
View ArticleKWA MARA YA KWANZA WEMA SEPETU AONGELEA KUHUSU UJAUZITO WAKE, SOMA HAPA
Mchumba wa Diamond, Wema Sepetu amezunguzmia taarifa zilizotolewa na baadhi ya mitandao kuwa ana ujauzito. Wema amezikana taarifa leo hizo kupitia Instagram: Jamani hizi habari za mimi kuwa pregnant…....
View Article