BANZA STONE KUREJEA JUKWAANI TAR 25 KUTAMBULISHWA RASMI NA EXTRA BONGO MBIONI...
Baada ya kuoguakwa muda mrefu na sasa akiwa anarejea katika hali yake banza stone amezana mazoezi na band yake ya extra bongo huku akitarajiwa kuweza kureja rasmi ulingoni kwenye jukwaa hilo kwa...
View ArticleBREAKING NEWS: MWANAMUZIKI FEROUZ AKAMATWA NA BANGI, TAZAMA PICHAAA>>>
Vijana ni nguvu kazi ya taifa, lakini vijana hao hao wanaweza kuwa chanzo cha taifa kutoendelea na kubomoka. Ubomoaji wa taifa huwa kwa namna nyingi ikiwemo uvivu, ufisadi, na kadha wa kadha. Lakini...
View ArticleSIKILIZA NA DOWNLOAD NGOMA KALI YA HANS RICCO FT M,POZ-(LETA NYINGINE)
NGOMA hii imerekodiwa katika Studio za Revolution Record's Chini ya Producer Konah, Nna imani hautojutia kutumia muda wako kusikiliza ngoma hii kali. Ebwanaeeee...! Ni bonge la...
View ArticleNI WEEK SASA,NUMBER 1 REMIX VIDEO IMETAZAMWA NA VIEWERS ZAIDI YA LAKI 2, SOMA...
Inatia faraja sana,pale unapofanya kitu na watu kutoa sapoti kwakile unafanya.Ni week moja sasatangu niweke kwenye acount yangu ya Youtubevideo ya number 1 remix,nikiwa na Davido tayari imetazamwa na...
View ArticleHUYU NDO YULE MZUNGU ALIYEZIMIKA NA MAUNO YA SNURA, TAZAMA PICHA ZAKE AKIWA...
Huu ni mwendelezo wa ie story ya mzungu aliyezimika na mauno ya snura na kuamua kumtafuta snura ili amfundishe kucheza style ya majanga. Kama hukuiona story ya kwanza unaweza isoma kwa kubofya...
View ArticleBASI UNAAMBIWA HAWA NDO WASHINDI WA MISS ZANZIBAR MWAKA 1960, HEBU WACHEKI...
Fani ya urembo imekua kivutio sana kwa watu wengi hapa bongo, moja ya matamasha yaliyona watazamaji wengi pindi mda wake unapofika ni tamasha la Miss Tanzania. Mashindano haya yamekua kivutio sana...
View ArticleUKIMUACHA FLAVIANA MATATA, BASI HUYU NDO MWANAMITINDO WA PILI KWA UMAARUFU...
Kwa wale msiomjua mwanadada huyu, anaitwa Miriam Odemba ni mtanzania na mwanamitindo maarufu sana si tu hapa bongo bali hata nchi za wenzetu huko. Amewahi kushika nafasi mbalimbali za urembo kwani...
View ArticleHII NDO TATOO ALIYOCHORA MSANII PREZOO KWA AJILI YA UKUMBUSHO WA MAREHEMU...
Na uhakika umeshaona wasanii au watu maarufu wakiwa na tattoo sehemu mbalimbali za miili yao. Wengi wao huchora tatoo hizo kwa sababu ya kitu flani au ukumbusho wa mtu au kitu flani. Msanii Prezoo kwa...
View ArticleMZEE MUASISI WA CCM AMCHANA WAZIRI MKUU MSTAAFU WARIOBA LIVE!! NI KUHUSU ISHU...
Moshi. Mwanasiasa mkongwe nchini, Peter Kisumo amesema haafiki mapendekezo yaliyomo katika rasimu ya pili ya Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano yanayopendekeza muundo wa Serikali tatu.Kisumo alisema...
View ArticleHUU NI UKATILI WA KUTISHA, MKE AKATWA MKONO NA MUMEWE HUKO GEITA!
Ikiwa ni muendelezo wa kukufichulia matukio ya Ukatili wa Kijinsia dhidi ya wanawake, kipindi cha Wanawake Live kinachorushwa na Televisheni ya EATV kila Jumanne saa tatu kamili usiku, wiki hii...
View ArticleNJAA YAWAKIMBIZA MJI MSANII JACK PENTEZEL NA MUMEWE WADAIWA KUSHINDA KULIPA...
Muigizaji wa filamu za kibongo nchini Jacqueline Pentezel na mumuwe, Gadner Dibibi wamedaiwa kuukimbia mji kufuatia kukutwa na ukata uliowafanya washindwe kumudu gharama za kuishi Mwananyamala Koma...
View ArticleWAZIRI PROF. MAGHEMBE AIPONDA TANESCO, ASEMA IMEJAA URASIMU MTUPU, ATAMANI...
WAZIRI wa maji, Prof Jumanne Maghembe ameelezea kukerwa kwake na shirika la umeme nchini (TANESCO) kwa madai limeshindwa kufikisha umeme vijijini na hivyo miradi ya maji kusuasua.Kadhalika waziri huyo...
View ArticleTAZAMA PICHA ZA KILICHOJIRI KATIKA SHEREHE YA KUTIMIZA MIAKA MIWILI YA MTOTO...
Last week Beyonce's daughter Blue Ivy Carter turned two and the singer shares pictures from her birthday celebration plus a few from New Years Eve... Pics from New Years Eve...
View ArticleWAZIRI MWINGINE ALAZWA ,RAIS KIKWETE AMTEMBELEA HOSPITAL
Rais Jakaya Kikwete akimjulia hali, Waziri Mkuu wa zamani, Cleopa David Msuya katika hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam, leo.Rais Jakaya Kikwete na mkewe, Mama Salma Kikwete wakimjulia hali Waziri...
View ArticleLADY JAYDEE AWACHANA WALE WANAOTAPELIWA FACEBOOK KWA JINA LAKE, SOMA...
Lady Jay Dee Huu ndio ujumbe wake.'Watu wanaendelea kuibiwa na wananilalamikia mimi, ndugu zangu wapendwa kuweni makini sana, Mimi sina account yoyote inayotoa mikopo facebook... Kuweni makini, kuweni...
View Article