HAKUNA KAMA DIAMOND TANZANIA, HII NDO GARI YAKE MPYAAAAAAAAA. INAUZWA ZAIDI...
Hahaaaa kweli diamond noma sana, wanaosema ana hela kibao hawajakosea kabisa kwani kwa mafanikio aliyonayo na anaendelea kupata sidhani kama atafilisika leo. Najua kuna wengi mnaweza bisha na kusema...
View ArticleBAADA YA MAINDA KUTANGAZA KUOKOKA NA KUMRUDIA MUNGU, HUYU NDO MSANII MWINGINE...
Salome Ndumbagwe Mesayo ‘Thea’.WASANII wa filamu, Ruth Suka ‘Mainda’ na Salome Ndumbagwe Mesayo ‘Thea’ sasa wameonekana kujikita zaidi kwenye mafunzo ya kiroho baada ya hivi karibuni kunaswa kwenye...
View ArticleDUNIA IMEISHA, SASA KANYE WEST KUANZISHA DINI YAKE. HAYA NDO MAAJABU YA DINI...
Attention! Dini mpya kabisa duniani inaitwa Yeezianity . Jina hili linafanana na album mpya ya kanye inayoitwa Yeezus ambayo ni combination ya nickname yake ya Ye na jina la Jesus. Tayari kuna...
View ArticleNISHA ASHINDWA KUKAA KIMYA KUHUSU SKENDO YA KUTOA MIMBA INAYOMKABILI, AAMUA...
MTAYARISHAJI na mwigizaji wa Bongo Movie, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka akidai kuwa maendeleo yake katika filamu yamemtengenezea maadui. Akizungumza na Mwanaspoti, Nisha alisema maadui hao wamefikia...
View ArticleMZEE KITIME AAMUA KUA MUIGIZAJI WA FILAMU, HIZI NDO SABABU ZILIZOMFANYA...
WENGI wanamfahamu, John Kitime kuwa ni msanii wa muziki wa muziki wa dansi na shughuli nyinginezo za kijamii lakini sasa ameamua kuonyesha kipaji chake kingine cha kuigiza. Kitime ambaye amewahi...
View ArticleKAMPENI ZA UDIWANI MBUNGE WA CHADEMA AJIKUTA AKIJIHUTUBIA MWENYEWE NA...
Wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni za chadema kata ya Nduli, Iringa, leo Mbunge wa Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa (kushoto) akimnadi mgombea udiwani wa kata ya Nduli Ayub Mwemba leo wakati...
View ArticleBAADA YA KUTANGAZA KUGOMBEA UBUNGE 2015, DIVA ATANGAZA KUOLEWA SIKU ZA...
Ikiwa zimepita siku chache tu tangu baada ya habari za kufukuzwa kazi kwa mwanadada mwenye sauti yenye mvuto pengine kuliko watangazaji wote wa kike mwanadada Loveness Love aka Diva. Mwanadada huyo...
View ArticleCHUCHU HANS ASHINDWA KUVUMILIA KUANDIKWA VIBAYA NA HILI GAZETI...............
Je ni kweli baadhi ya magazeti huandika story za kujitungia ili wapate mshiko katika mauzo ya magazeti hayo????? Nimesema hivyo baada ya kumbana mwanadada Chuchu Hans kuhusiana na ishu iliyoandikwa na...
View ArticleLADY JAY DEE AFURAHIA KUFIKISHA FANS LAKI 2 KWENYE UKURASA WA FB..ATOA DINNER...
Hatimae imefikia idadi ya 200,000, (laki mbili) Kila mtu ambae yupo kwenye hii page anastahili kupata hii nafasi ila sababu watu laki 2 hatuwezi kwenda dinner wote kwa pamoja naomba nitaje wachache...
View ArticleBIRDMAN WA YMCMB AFUNIKA MBAYA KWA HILI JUMBA LAKE JIPYA LA KIFAHARI, TAZAMA...
Hii ni swiming pool kama utaicheki poa upande wa kulia kuna bonge moja la TV
View ArticleHATIMAYE YULE MBONGO ALIYEKAMATWA MAREKANI KWA KOSA LA KUBAKA BIBI WA MIAKA...
Steve Konyagi Mwaka 2010 kwenye mwezi wa 11 Steve Konyagi Mtanzania anayeishi mji wa Lynn Massachesetts nchini Marekani alishitakiwa na Mtanzania mwenzake (jina kapuni) kwamba amembaka demu wake...
View ArticleHATIMAYE MASOGANGE AMTAJA ALIYE MTUMA MZIGO WA DAWA ZA KULEVYA
HATIMAYE yule Video Queen wa Bongo, Agnes Gerald Waya ‘Masogange’ aliyepatikana na hatia ya kuingiza nchini Afrika Kusini malighafi haramu aina ya ephedrine, amemtaja mtu aliyemtuma mzigo huo kuwa ni...
View ArticleMWASITI AANIKA MAISHA YAKE ! AZUNGUMZIA UMRI,NDOA,KUZAA NA KUANZA MAPENZI....
Mkongwe katika gemu la muziki wa Bongo Fleva, Mwasiti Almas.MKONGWE katika gemu la muziki wa Bongo Fleva, Mwasiti Almas amefunguka ‘exclusive’ kuhusiana na maisha yake kwa jumla ambapo kwenye masuala...
View ArticleMTOTO WA RAIS KIKWETE AFUNGA NDOA, TAZAMA PICHA NA STORI
Shamra shamra na nderemo zilitawala jana kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City wakati Miraji Kikwete, mtoto wa Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete alipofunga ndoa na Alma Mahmoud.Sherehe hizo zilianza...
View Article