Quantcast
Channel: BongoClan Tanzania™
Browsing all 3623 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIJUI ILIKUAJE HADI MASTAR HAWA WAKANASWA WAKIWA NA MWONEKANO HUU, HEBU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jioni njema wapendwa

Tunapenda kuwatakia jioni njema wapenzi wote wa website hii

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA PICHA 10 RAIS OBAMA AKISHEREKEKEA BIRTHDAY YA MKEWE MICHELLE PAMOJA NA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LADY JAYDEE AAMUA KUONYESHA MKOKO WAKE MPYAAAAA WA BEI MBAYA, UNAWEZA UCHEKI...

Hahaaaa kweli wanaosema wasanii wabongo si wote wenye njaa kama wengi tuzaniavyo, ni juzijuzi tu hapa msanii Diamond Platnumz kavuta mkoko aina ya Toyota Land cruiser V8. Kitendo hicho Diamond kununua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNAAMBIWA MSANII JAGUAR KUTOKA KENYA ALIKUJA TANZANIA NA NDEGE YAKE BINAFSI,...

Jaguar msanii wa Kenya anatajwa kama masanii mwenye mafanikio kwenye muziki na kwenye biashara binafsi.Jaguar pamoja na team yake walikuja Dar kwa ajili ya promotion ya wimbo wake mpya “Kioo”.Unaambiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA PICHA ZA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA ENEO LA MAKOMELO MLIMA SEKENKE NA KUUA...

 Ajali hii ilitokea maeneo ya mlima Sekenke ambapo gari ilimgonga mmoja wa wananchi wa eneo hilo nakusababisha kifo chake papo hapo, jambo lililosababisha wananchi wa eneo hilo kuamua kufunga barabara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA PICHA 3 ZA MWONEKANO MPYA WA STUDIO YA BAUCHA RECORDS

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HILI NDO JAMBO LA KUSHANGAZA KATIKA SHEREHE YA SIKU YA KUAZALIWA YA...

Dah hii sijui ndo imekua fashion au????? Siku za hivi karibuni kumetokea ka mtindo ka kutengenezwa keki zenye maumbo ya ajabu sana. Moja kati ya maumbo hayo ni keki zenye maumbo ya viungo vya mzazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JE WAJUA WANAWAKE WANAONGOZA KWA VITAMBI (UTAFITI USIO RASMI)

Miaka ya tisini ( 90) kurudi nyuma ilikuwa nadra sana kukuta mwanamke ana kitambi. Ukimkuta mwanamke anatumbo kubwa wakati huo, lazima atakuwa ana mimba. Hali sasa inatisha. Wanawake wengi wana vitambi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPENZI WA PREZZO STARLISHA TILLYA AWEKA MTANDAONI JUMBE ZA PREZZO...

Wakati huu unaweza kuwa wakati wa kucheka kiaina kwa Huddah Monroe ambaye kwa kipindi kirefu alinyimwa raha na tambo za mrembo wa kitanzania aishie Marekani, Starlisha Tillya aka Chagga Barbie au The...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIVA LOVENESS AMCHANA STARLISHA KIANA KWA KUANIKA MESSAGE PRIVATE ZA PREZZO...

Mtangazaji matata wa Clouds Fm Anayejulikana kwa jina la Loveness Diva jana usiku katika kipindi chake Alifunguka kiana kuhusu wapenzi wanapogombana na kuanza kuweka mitandaoni Private Message...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OBAMA NOMA SANA, AFUNGUKA NA KUSEMA BANGI NI BORA KULIKO POMBE. SOMA...

President Barack Obama wa Marekani amesema kuvuta bangi ni salama zaidi kuliko kunywa pombe lakini akawasisitizia mabinti zake kwamba hilo sio wazo zuri pia ambapo kwa mujibu wa gazeti la The Mirror,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

INTERVIEW ALIYOIFANYA MWEZI ULIOPITA LESEGO MOTSEPE ‘LETTY MATEBANE’ WA...

Taarifa zilizotoka zinasema Motsepe ambae alijitangaza kuishi na virusi vya UKIMWI mwishoni mwa mwaka 2011 amekutwa amefariki saa tano asubuhi nyumbani kwake.Hii picha hapa na hiyo ya juu ni wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMANDA POSH NOMA SANA, HUU MTOKO NOMA SANA. JIONEE MWENYEWE HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ROSE NDAUKA ASHANGAZWA NA TUNDAMAN, BAADA YA KUJISIFU KUWA WAPENZI, ASEMA...

MSANII wa filamu nchini Rose Ndauka ashangazwa na kauli ya msanii wa muziki wa bongo Fleva Tunda Man ya kujitangazia kuwa alishawahi kuwa naye  katika mahusiano na kuwa ni mwanamke wa kwanza kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA JUX YAFUNGIWA KUPIGWA TV STATION ZA BONGO KISA VIPANDE HIVI VYA...

Ni mara chache kusikia video flani ya bongofleva haichezwi kwenye vituo vya TV kwa sababu ya wamiliki wa vituo hivyo kuona haina maadili hivyo haiwezi kuruhusiwa kuonyeshwa kwa mamilioni ya Watanzania....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDO KUFURU YA PESA YA MCHEZAJI..'SAMUEL ETO’O' HAYA NDIYO MAGARI YA...

Huyu ni Mka Cameroon anayesakata Kabumbu la kulipwa huko barani Ulaya, kwa sasa anaichezea Timu ya Chelsea, Pia Samuel ni mchezaji wa timu ya Taifa ya Cameroon. Eto'o hivi karibuni ameonekana kutisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASOGANGE ANAONGOZA KUTUPIA PICHA ZA UTATAAAAA MTANDAONI, JIONEE MWENYEWE HAPA

Video Queen , Agness Gerard ' Masogange' anayeongoza kutupia picha nyingi kwa siku katika Mtandao wa ISTAGRAM.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYU NDO MTANZANIA WA KWANZA ALIYEPATA NAFASI KUCHEZA TIMU YA COLORADO RAPIDS...

Albert Edward jezi nyekundu na bukta nyeupe # 2 mgongoni Name: Albert Edward Position: Defender Age: 22 Date of Birth: November 19th, 1991 Birth Place: Dar es Salaam, Tanzania Citizenship: Australian...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JINA LA WEMA SEPETU LATUMIKA KUTAPELI, MATAPELI WADAI KUTOA MIKOPO

MISS Tanzania 2006, Wema Sepetu ameingizwa katika mtandao wa kitapeli bila mwenyewe kufahamu, ambapo watu kadhaa wamejikuta wakiingizwa mjini kwa madai ya kukopeshwa fedha. Asasi inayomtumia Miss...

View Article
Browsing all 3623 articles
Browse latest View live