BASI UNAABIWA HAWA NDO MASTAR WA5 WA BONGO AMBAO WAMETOKA FAMILIA ZA KISHUA.
Hakuna mtu asiyejua maana ya watoto wa kishua basi kama yupo basi maana halisi ya neno hili ni wale watoto waliozaliwa kwenye familia zinazojiweza au unaweza kuita familia Bora. Mara nyingi wasanii...
View ArticleDUH HUU MWAKA WA FROLA MBASHA, CHEKI ALIVYOCHANWA NA LEMUTUZ. NI NOMA
ANOTHER TIME BOMB IN THE WAITING HII CINEMA ILIANZA KAMA MCHEZO MCHEZO LAKINI KAMA UNAISOMA KWA MAKINI SASA IT IS SLOWLY TURNING UGLY TENA POLE POLE NA HUKU WANANCHI TUKIANGALIA KWA MACHO YETU, NA...
View ArticleDUH, UMEMWONA MKE MTARAJIWA WA HEMED PHD???? CHEKI PICHA ZAKE HAPA NI NOMA!
muna akiwa kwenye pozi tataMsanii wa filamu nchini Hemedy aka PHD mwenye mikogo kuzidi mabilioni ya Dr dre amesema baada ya kuchafua sana sasa anataka kutulia na kuoa kabisa.Hemedy alisema hayo...
View ArticleMSAMBAZAJI KUINUNUA FILAMU MPYA YA WEMA SEPETU KWA MIL.90 BILA KUNUNUA HAKI...
Wema Sepetu Habari mpya zilizoifikia Swahiliworldplanet ni kuwa kuna uwezekano mkubwa Wema Sepetu akalipwa shilingi mil.90 za kitanzania kwa kuiuza filamu yake mpya kwa msambazaji mmoja anayekuja juu...
View ArticleSOMA KILE KINACHOENDELEA KATI YA WEMA NA JOKETI
Kama mnavyojua tena mashosti hawa hapo awali walikuwa katika BIFU la kuchukuliana bwana ambae ni Diamond....Hii ilitokea baada ya Wema kumshutumu Jokate kutembea na mpenzi wake Diamond (Kabla Wema...
View ArticleBREAKING NEWS : TAZAMA PICHA ZA AJALI ILIYOTOKE MAKONGO MDA HUU NA KUUA WATU 17.
Gari aina ya Toyota Coaster inayofanya safari zake kati ya Ubungo na Tegeta jijini Dar es Salaam imepata ajali mbaya leo mchana baada ya kugongana na gari lingine na kusababisha vifo vya watu...
View ArticleHII SASA NI HATARI, MAJENEZA SASA KUTOZWA KODI YA ONGEZEKO LA THAMANI (VAT).
Katika mkakati wake wa kuhakikisha inakusanya kodi ipasavyo, Serikali imependekeza kutoza kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), katika maeneo mbalimbali, ikiwamo uuzaji wa majeneza. Katika miaka ya...
View ArticleHILI HALIKUBALIKI: BAADA YA MAMA WEMA KUDHALILISHWA MTANDAONI (INSTAGRAM)...
Mama Wema Watu wasio na maadili (hawa bilashaka ni malezi mabaya) leo hii kwenye mtandao wa INSTAGRAM waliweka picha ya mama yake Wema Sepetu (IliyoEditiwa)..na kuanza kumshushia maneno yasio na...
View ArticleKAMA UPENDI UDAKU ISHIA HAPA: HAYA NDIO MAISHA YA MASOGANGE HUKO SAUZI [PICHA...
Umecheki unywele huo..... Kama navyojua BIDADA Agnes Gerald aka Masogange...yupo SAUZI kimaisha zaidi.....Ila kama kawa kupitia mtandao wa kijamii wa INSTAGRAM tuponae pamoja....Sasa leo katika...
View ArticleCRAZY PHOTO: NENO MOJA KWA PICHA HIZI ZA SALAMA J
HiIi ni SELFIES za Salama Jabiri, Host wa kipindi cha televisheni kiitwacho MKASI kinachorushwa na EATV...SELFIES ni picha ambazo watu hujipiga wenyewe na kuziweka kwenye mitandao ya kijamii..mara...
View ArticleBAADA YA MZEE MENGI KUTOKEA KWENYE FORBES....K LYINI ATOA YAMOYONI
Siku moja baada ya Forbes kutoa jarida la Afrika yaani FORBES AFRICA... lenye picha ya Mzee Regnald Mengi kwenye ukurasa wa mbele....Mwanamama Jacqueline Ntuyabaliwe aka K-Lyinn amejitokeza na...
View ArticleDIAMOND PLATINUMZ ANAVYOLITENDEA HAKI JINA LA SUKARI YA WAREMBO..!
WALIOSEMA ujana ni maji ya moto hawakukosea. Mkali wao kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ni msanii ambaye ana idadi kubwa ya msururu wa wanawake ambao ametoka nao kimapenzi ambapo, wapo...
View ArticleMAY B MGAO WA UMEME UTAISHA, SASA KUANZISHWA TANESCO 2
Mpango wa kuligawa Shirika la Umeme (Tanesco) kuwa mashirika mawili umeiva, baada ya Serikali kupitisha Mkakati na Mwelekeo wa Sekta Ndogo ya Umeme (ESI).Mpango huo utekelezaji wake unaanza Agosti...
View ArticleKUMBE HIKI NDICHO KILICHOMFANYA WEMA KUNYOA UPARA.
Wengi walikuwa wanajiuliza kunani, haswa siku Wema Sepetu alipoamua kunyoa Dongo, huku kila mtu akitoka na story yake mwenyewe kwa mtazamo tofauti bila hata kujua sababu halisi ya uamuzi wake huo, ila...
View ArticleYULE MWANADADA CORAZONI AMETOA TENA PICHA MPYA AKIWA NA BINIKI (only men)
Huyu ni SOCIALITE kutoka KENYA, Nimsomi mwenye shahada ya SHERIA...Anaitwa CORAZON KWAMBOKA......Jana kupitia mitandao ya kijamii aweka picha hizi akiwa na BIKINI....kama kawa nami nakuretie hapa...
View ArticleR.O.M.A, MO MUSIC, TUNDA MAN WAANGUSHA BONGE LA SHOO COCO. TAZAMA PICHA HAPA
Mo Music akiwa na madensa wake wakianzisha shoo.Tunda Man akifanya yake jukwaani.R.O.M.A akikamilisha shoo kwa mzuka wa nguvu.Tunda Man akiwa amemkaribisha kwa muda mtaalam wa midundo ya mtaani, Msaga...
View ArticleHUYU NDIE MTANGAZAJI WA TV AMBAE NI HOT ZAIDI HAPA EAST AFRICA........JIONEE...
Anaitwa AGATHA ATITI kutoka Uganda, anatangaza habari kwenye Televisheni ya NBS....Tabasamu na umbo lake linawafanya watazamaji wasibadili station...hehehehehe..Kwamujibu wa wadau wanesema huyu ndio...
View ArticleANGALIA PICHA DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOANGUSHA BONGE LA SHOW JIJINI BRUSSEL
Diamond Platnumz akifanya mavituzz ukumbini na wacheza show wake wakiwa wanaendeleza manjonjo Waaaawwwoohh..ni umati haswaaa..kweli Diamond anapedwa Diamond Platnuz kijana mdogo mwenye mafanikio...
View Article