TAZAMA PICHA ZA OMMY DIMPOZ ALIPOTUA OAKLAND MAREKANI KWA AJILI YA KUPIGA...
Juu na chini ni msanii anayekimbiza Bongo kwa sasa Ommy Dimpoz pozi kwa pozi akiwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa San Francisco mara tu baada ya kutua California tayari kwa makamuzi ya nguvu siku ya...
View ArticleLULU KUFIKISHWA MAHAKAMANI FEBRUARY 17 MWAKA HUU, NI KUHUSU KESI YA KUUA BILA...
MSANII wa filamu nchini, Elizabeth Michael 'Lulu' ambaye anakabiliwa na kesi ya kuuwa bila kukusudia msanii mwenzake 'Steven Kanumba atasomewa mashtaka yake Februari 17, mwaka huu ambapo atasomewa...
View ArticleTAZAMA PICHA NA HABARI KAMILI KUHUSU BASI LA ZUBERI KUPINDUKA SINGIDA HII HAPA
Mmoja wa majeruhi akiongea na waandishi wa habari katika Hospitali ya mkoa mjini Singida.Basi la Zuberi T.119 AZZ lilokuwa likitokea Mwanza kuelekea jijini Dar-es-salaam na kupinduka katika eneo la...
View ArticleAY AKANA KUA YEYE NDO HUA ANAMWANDIKIA NYIMBO MSANII JAGUAR, HIKI NDO...
Nchini Kenya kumekuepo na minongono kua msanii AY amekua akimwandikia nyimbo Jaguar kutoka Kenya. Hii imetokana na ukaribu mkubwa walionao wasanii hao. Kwa mujibu wa chanzo chetu nchini Kenya...
View ArticleLE MUTUZ AWASHUKIA JAMAA WA TELEX MARKETING NA KUWAIITA MATAPELIZZZ!! WAPO...
@ LE MUTUZ LIVE STRAIGHT TALK!!:- KUNA WABONGO WALIOISHI NJE WANAOJARIBU KUWADANGANYA WENZAO WA HAPA HOME ETI KUNA NJIA RAHISI ZA KUTENGENEZA PESA KWA KUTUMIA TELEX MARKETING NA MANENO MANENO...
View ArticleSTYLE MPYA YA SNURA YA USHAHARIBU IMESHAANZA KUWABAMBA WATANZANIA - SNURA
Akiongea na blog hii hit maker wa wimbo wa majanga Snura Mushi amesema style yake mpya ya ya ushaharibu... imeshakuwa gumzo mtaani na kila siku anatumiwa picha za watu mbalimbali wakiweka ishara ya...
View Article(SAD NEWS) MWALIMU AJINYONGA CHOONI
Mwalimu wa shule ya msingi Mwang’osha kata ya Nyamalongo wilayani Shinyanga, Christipian Mafuru (24) amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa madai ya msongo wa mawazo. Mafuru amabe alitumia kamba ya...
View ArticleSTEVE NYERERE UENYEKITI WA BONGO MOVIES WAANZA KUMTOKEA PUANI..WAWA MCHUNGU
Steve Nyerere Amesema Inamuwia vingumu kufanya kazi kutoka na kukosa ushirikiana kutoka kwa wana bongo Movies wenzake ..Amehabarisha kuwa kuna baadhi walio mchagua kuwa mwenye kiti wao ili wamzalilishe...
View ArticleBreaking News!!!! CCM WAPIGA MWANDISHI WA HABARI HUKO BUNDA SOMA HABARI HII...
Habari tulizozipata hivi punde kutoka Bunda mkoani Mara mwandishi wa gazeti la Mwananchi Christopher Maregesi amepigwa kisha kuporwa vifaa vyake vya kazi na wafuasi wa CCM Imeelezwa kuwa chanzo cha...
View ArticleGODBLESS LEMA AMKWIDA SHATI KIGOGO WA CCM NDANI YA KITUO CHA POLISI...
Godbless Lema akiongozwa na wafuasi wake.Wakati uchaguzi mdogo wa udiwani wa kata ya Sombetini katika Jiji la Arusha, ukitarajiwa kufanyika kesho, hali imeanza kuwa tete baada ya Katibu wa Chama Cha...
View ArticleWALICHOKIONGEA WEUSI JUU YA VIDEO YAO ‘NJE YA BOX’ KUCHEZWA CHANNEL O.
Jana ilikuwa siku nzuri kwenye historia ya muziki ya kundi la Weusi linaloundwa na wasanii watano kutoka Kaskazini mwa Tanzania, Arusha, baada ya video ya wimbo wao ‘Nje ya Box’ kuchezwa Channel O.Joh...
View ArticleHUYU NDIYE MSANII WA KWANZA ANAITIKISA DODOMA,SASA KAA MKAO WA KULA, JACO...
Jaco beats au maarufu kama Kilaza ni msanii ambaye naongoza kwa kufanya vizuri Mjini Dodoma, kiukweli amewaacha mbali sana wasanii wenzake kiasi ya kwamba amekuwa gumzo hadi kwa wasanii wenzake,hivi...
View ArticleMUUZA MAGAZETI AJITOKEZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KALENGA KWA TIKETI YA CHADEMA
Bw. Aidan PugiliWAKALA wa magazeti mjini Iringa Aidan Pugili (34), amejitokeza kuwania ubunge katika jimbo la Kalenga mkoani Iringa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).Uchaguzi mdogo...
View ArticleWEMA AWASHANGAA WANAOMPONDA JOKATE BAADA YA KUMALIZA TOFAUTI ZAO, SOMA...
Mwigizaji Wema Sepetu, amewashangaa wanaomponda Jokate Mwegelo kwa kumaliza tofauti baina yao akisema kuwa hawatendi haki na wanaingilia uhuru wa wasanii hao.Kauli ya Wema imekuja siku chache baada ya...
View Article