Wema Sepetu apona ghafla kisa bata!!, Aunt Ezekiel ahusika
Madame Wema Sepetu jana usiku alipona ghafla baada marafiki zake kumshawishi waende kula bata...Marafiki hao wakiongozwa na Aunt Ezekiel walimfanya Wema ambae iliripotiwa hapo juzi kuwa anaumwa...
View ArticleKUTANA NA QUEEN WA XXL YA CLOUDS FM, FATMA HASSAN A.K.A DJ FETTY
Huyu ni moja kati ya wadada watangazaji waredio ambao ni wakali (wanaofanya vizuri) sana hapa TZ….Utakubaliana na mimi kuwa huyu ndio queen wa kipindi cha XXL kinachorushwa na Clouds FM redio….Mbali...
View ArticleANGALIA MADAWA YA KULEVYA YALIVYOMUHARIBU VIDEO QUEEN WA NGOMA YA ICE CREAM...
Hakuna asiye kumbuka how big video ya Noorah aka Baba styles ilivyosumbua TV za watu na ngoma yake ya Ice cream akimshirikisha Sumalee.Mkali huyo ambae aliweza kufanya show kibao katika mikoa mbali...
View ArticleTANYA AIGIZA AKIWA MTUPU KWENYE SCENE YA 'HOUSE OF LUNGULA'
Mwanadada Saraha Hassan a.k.aTanya kutoka Kenya ameigiza akiwa utupu kwenye moja kati ya vipande (scenes) za vichekesho vya mapenzi nchini Kenya, vijulikanavyo kama HOUSE OF LUNGULA...Vichekesho hivyo...
View ArticleNAY WA MITEGO AONGEA KUHUSU KUSAMBAA KWA PICHA YA MCHUMBA WAKE AKIVISHWA PETE...
Hatimaye Nay wa Mitego amezungumzia scandal iliyokuwa ikimhusu mchumba wake aitwaye Siwema ambaye mwezi uliopita ilisambaa video na picha kwenye mtandao wa Instagram inayomuonesha akivishwa pete na...
View ArticleOMMY DIMPOZ AFUNGUKA JUU YA MADAI YA WENGI KUA KAVAA VIATU VYA KIKE. SOMA HAPA
Picha ya cover la Vibe Magazine, lililotoka siku ya jana, imeonekana kutengeneza gumzo miongoni mwa raia kibao, hasa kutokana na suruali na viatu alivyokuwa amevaa msanii Ommy Dimpoz. watu wengi...
View ArticleWEMA ASHAURIWA AACHE UMAARUFU WA KUBEBWA NA SCANDAL.
MWENYEKITI wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ ameibuka na kumuonya Wema Sepetu kupiga kazi na kuepuka umaarufu bila kazi. Nyerere amemtaka Wema aachane na skendo za kila...
View ArticleHII NDIO JEURI YA DIAMOND AKIWA KAZINI, JUA MTONYO ANAOBEBA NA SPEND YAKE...
Waandaaji wa show nyingi wametokea kumlinganisha sana umaarufu wa Diamond na Davido bila kupata jibu kamili, na kama unadhani ni wasanii wa nje tu ndio wenye mahitaji makubwa katika kufanya show zao,...
View ArticleDIAMOND AFUNGUKA NA KUSEMA KUWA (SIJATOA WIMBO) KWANINI KASEMA HIVYO JITIRIRISHE
Moja ya nyimbo zangu ambazo ziko store hazija toka nimeikuta mtandaoni na sijui imefikaje, tena ikiwa kwenye mfumo wa Voicenote, yaani haina quality kabisaa… Tafadhari, kwa yoyote atakaeipata...
View ArticleKWA MUONEKANO YUPI HAPA NI MBUNGE MREMBO KULIKO WOTE KATI YA HAWA???
Urembo na mvuto kwenye macho ya binadamu huwezi kuvitenganisha. Wakati kule mjengoni Dodoma wakiendelea kupika bajeti ya serikali ya mwaka 2014/15, Over the Weekend tunakuletea Shindano la Nani...
View ArticleRIHANA KAMA WEMA SEPETU, WATU WAMSHANGAA ALIPOENDA KATIKA GAME YA CLIPPERS....
Rihanna ameonekana kufuatilia game nyingi za kikapu baada ya kumshangilia LeBron James kwenye game ya Nets vs Miami Heat iliyochezwa Miami, Riri alisafiri tena kwenda kutazama Game 3 ya Western...
View ArticleSTAA WA KIKE BONGO ATUPIA MTANDAONI PICHA YA UTATA..JE WAWEZA MTAMBUA NI NANI?
NI STAA GANI HUYU? Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua staa mmoja wa kike nchini anaejihusisha na ugizaji wa filamu za kibongo ameachia picha kimitego mtandai na kuzusha mjadala mzito. Habari...
View ArticleJACK WOLPER APIGA MWEREKA UKUMBINI BAADA YA KUNYWA POMBE KUPITA KIASI
Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe anadaiwa kuwa tilalila na kujikuta akipiga mwereka kwenye shughuli ya kibao kata cha mwigizaji mwenzake, Vanita Omary. Kwa mujibu wa ‘shushushu’...
View ArticleMSANII NATASHA NAYE AUGUA DENGUE NA KULAZWA...."NILIHISI NAAGA DUNIA KIUKWELI...
STAA mkongwe wa filamu Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ ameongeza listi ya mastaa ambao wameathirika na ugonjwa wa dengue (Dengue Fever). Akiongea na mwandishi wetu, Natasha alisema tangu Rais Jakaya...
View ArticleKUTANA NA JAMES MODEL ALIYEPENDEZESHA TANGAZO JIPYA LA BIA YA KILIMANJARO
Anaitwa James ni model kutoka kampuni ya Wandaz Lab na ndio alietokelezea katika tangazo jipya la bia ya Kilimanjaro. Na hizi ni picha za wakati wa utengenezaji wa tangazo hilo.
View ArticleAGNES MASOGANGE ATUA MIKONONI MWA SHABABI
Agnes Gerald aka mdada wa mibegi mikubwa....inasemekana atanoka (ana DATE) na jamaa ambae jina lake halijafahamika.....kutoka INSTAGRAM wawili hao wameonekana wakiwa wamepozi kimahaba..Jionee picha...
View ArticleKUBALI KATAA:UKIACHA SKENDO ZAKE UZURI WA IRENE UWOYA NI WA KUMTOA NYOKA...
She is so Flying , Uzuri wake umepitiliza Mipaka, Hata nyoka aliejificha pangoni miaka mia anaweza toka kushuhudia .....Nani Anabisha hapa tuone?
View ArticleSI MCHEZOO...LULU AKATA MAUNO BAADA YA KAZI YA KUSAKA VIPAJI HUKO...
Elizabeth Michael ametupia video clip hii kwenye ukurasa wake wa INSTAGRAM.....nakuandika,#thingswedoafterwork����������last nite was epic Bwahahahahahahahahah..! Hii inaitwa TEAM BABY...!loool....wat...
View ArticleBAADA YA KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YAKE SASA MADEE AJIPANGA KUACHIA WIMBO...
Rapper wa Manzese, Madee ambaye mwaka jana ulikuwa mwaka wa neeema zaidi kwake katika biashara ya muziki, hatimaye amemaliza ujenzi wa nyumba yake. Madee ameaonesha picha ya nyumba yake kwa ndani...
View ArticlePICHA ZA KITCHEN PARTY YA KIM KADASHIAN
Ikiwa zimebaki siku chache kwa Kim na Kanye West kufunga ndoa, Kim Kardashian ameonekana akitoka katika Hotel ya Peninsula katika mji wa Beverly Hills ambako sherehe hizo zijulikanazo kama Bridal...
View Article